
__
Washington na Tehran walishambulia vituo vya kijeshi vya kila mmoja karibu na Mlango wa Hormuz

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 10:47:57
Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi wa FIFA, Pierluigi Collina, amesema baadhi ya mabadiliko hayo tayari yameidhinishwa, huku mengine yakitarajiwa kutumika rasmi wakati wa mashindano hayo makubwa zaidi ya soka duniani.

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 04:36:38
Rosana anasema mume wake alikuwa akimuambia maneno makali kila walipokwazana lakini yeye aliyachukulia kirahisi.

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 06:02:12
Katika Ghuba ya Uajemi, kulikuwa na ongezeko kubwa la ndege zilizoripoti kuathiriwa na udanganyifu wa GPS baada ya kuanza kwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran Mwezi Februari tarehe 28.

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 05:26:35
Su-34M ni ndege ya kivita ya Urusi ambayo ni ya mashambulizi ya masafa marefu , iliyotengenezwa kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini, baharini na pia kujilinda angani.

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 02:58:35
PSG imetwaa ubingwa wa Ulaya mara mbili mfululizo. Kwa Arsenal, licha ya kupoteza fainali kwa penati, safari yao ya kuvutia ilibeba maana kubwa zaidi ya kisoka na kifedha, kutokana na mfumo mpana wa malipo wa UEFA.

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 07:02:09
Polisi nchni Ufaransa walirusha vitoa machozi kutawanya umati wa watu katikati mwa jiji la Paris.

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 06:09:36
Moja ya vizingiti vikubwa vinavokabili uhusiano wa kidiplomasia kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu ni mtazamo wake dhidi ya Wapalestina.

__
Arsenal imeshindwa kubeba taji lao la kwanza kabisa la Ligi ya Mabingwa Ulaya tangu klabu hiyo ilipoanzishwa miaka karibu 140 iliyopita, PSG imeweza kutetea taji hilo ililolitwaa msimu uliopita.

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 05:58:20
Mradi wa dira ya maendeleo ya 2030 wa MBS ulionekana kuwa hadithi za kisayansi. Sasa uhalisia ume

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 04:34:35
Kutafuna zaidi kunaweza kutoa faida nyingi, kutoka kwa kuboresha usagaji chakula na kusababisha ulaji wa chini wa kalori, kupunguza mafadhaiko na wasiwasi, na kuboresha uwezo wa utambuzi kwa kuimarisha ustadi wa kumbukumbu na kuongeza muda wa umakini.

Jumamosi, 30 Mei 2026 saa 06:48:44
Wakati vita vya Marekani na Israel na Iran vilipoanza mwishoni mwa Februari, haikuwa Mashariki ya Kati pekee iliyohisi matokeo.

Jumamosi, 30 Mei 2026 saa 05:11:03
Baadhi ya wazazi bado wanahangaika kujua kuhusu walipo watoto wao, huku serikali ikijitahidi kuonyesha kuwa imechukua hatua licha ya kuendelea kukosolewa vikali.

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 13:14:17
Wanafunzi 16 wamethibitika kufariki baada ya moto mkubwa kuzuka katika bweni la shule hiyo usiku wa kuamkia Alhamisi, Mei 28, 2026, huku wengine wakijeruhiwa walipokuwa wakijaribu kujiokoa kupitia madirishani au kukimbia gizani.

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 05:44:09
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 04:54:13
Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 02:55:17
Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 02:38:19
Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.

Alhamisi, 21 Mei 2026 saa 02:59:11
Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?

Jumatano, 20 Mei 2026 saa 02:37:50
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.

Jumanne, 19 Mei 2026 saa 04:33:40
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.

Jumatatu, 18 Mei 2026 saa 03:44:29
Moja ya sababu kubwa zinazofanya J-10C kupewa hadhi ya ndege hatari ni uwezo wake wa kushambulia adui kabla hata ya kuonekana kwenye rada za kawaida.

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 09:44:14
Kauli ya Trump inasemekana kuwashangaza waangalizi wa eneo hilo kwa sababu Oman kwa muda mrefu imekuwa ikizingatiwa kuwa mmoja ya washirika wa karibu wa Marekani katika eneo la Ghuba.

Jumatatu, 18 Mei 2026 saa 02:47:55
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 04:55:32
Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.

Jumatano, 6 Mei 2026 saa 02:54:45
Pendekezo la ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta huko Tanga, Tanzania limeibua mjadala mpana wa kisiasa na kiuchumi Afrika Mashariki, likifufua upya hoja ya utegemezi wa mafuta kutoka nje.

Jumamosi, 25 Aprili 2026 saa 10:55:57
Tanzania ina njia tatu za kuchagua kuhusu mustakabali wake, kufuatia ripoti ya Jaji Chande. BBC imezichambua njia hizo na kile kinachofuata Tanzania baada ya ripoti hiyo ya matukio ya Oktoba 29, 2025

Ijumaa, 24 Aprili 2026 saa 04:23:22
Maswali kadhaa muhimu yanaendelea kujitokeza miongoni mwa wananchi na wadau nchini Tanzania yakilenga si tu kuelewa yanayozunguka kilichotokea Oktoba 29, bali pia kilichoripotiwa na tume na mustakabali wa kesho

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki