__
Rais wa Marekani amekubali vita vya Ukraine “ilikuwa vigumu kutatua” baada ya siku kadhaa za mazungumzo ya kiwango cha juu.
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 09:40:23
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu pia ameunga mkono mpango huo, ambao unalenga kuwahamisha hadi watu milioni moja kuishi katika makazi mapya katika Ukingo wa Mto Jordan hatua inayotazamwa kama ishara ya kuendelea kwa sera za ujenzi wa makazi ambazo zimekuwa chanzo cha mvutano wa muda mrefu katika eneo hilo.
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 06:22:30
Ingawa ni vyema kuwa mwangalifu na kudumisha usafi, kama vile kuepuka vyoo vichafu, lakini bakteria wa chooni si jambo ambalo linapaswa kukukosesha usingizi.
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 03:54:33
Ikiwa Marekani itaamua kupunguza misaada yake au kujiondoa kabisa je, mataifa ya Ulaya yanaweza kuziba pengo hilo? Jibu, kwa sasa, linaonekana kuwa hapana isipokuwa Ulaya itoe msaada mkubwa zaidi kuliko inavyofanya sasa.
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 03:30:03
Mshambulizi wa Chelsea, Nicolas Jackson yumo kwenye orodha ya wanaotaka kujiunga na Aston Villa, Chelsea wanawania kumsajili kiungo wa RB Leipzig Xavi Simons na fowadi wa Manchester United Alejandro Garnacho, na Tottenham kumtazama Maghnes Akliouche wa Monaco.
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 10:04:41
“Nia, pengine, ilikuwa kutoa uhalali wa kimataifa kwa taifa jipya lililoundwa ambalo liliibuka kutoka kwa vita vya umwagaji damu miaka michache iliyopita,” anasema Gherman, akimaanisha mzozo wa 1948-1949 ambapo Israeli ilishinda Jumuiya ya Waarabu na kunyakua nusu ya eneo ambalo lilikuwa limetengwa kwa Jimbo la baadaye la Palestina.
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 11:51:44
Lakini si huduma za afya pekee zinazochangia maisha marefu ya wakazi. Sera nyingine kama vile usafiri wa umma unaohamasisha kutembea na kufanya mazoezi kila siku, pamoja na juhudi za kuhakikisha nchi inakuwa safi na nzuri, huwapa wakazi hali ya usalama na utulivu.
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 04:51:02
Viongozi kadhaa wa Ulaya pia walisafiri kwa ndege hadi Washington kuhudhuria mkutano huo, siku chache baada ya Trump kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska kwa mkutano ambao haukufanikiwa kuleta usitishaji vita.
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 05:40:04
Hata hivyo, mgeni asitarajie mapokezi ya vicheko vya shangwe au gumzo la furaha anapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Helsinki, au anaposhuka kutoka meli ya kitalii kwenye bandari za Bahari ya Baltiki. Watu wa Finland ni wakweli, wapole na wa kawaida
Jumatatu, 18 Agosti 2025 saa 10:56:01
Mkutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska unaendelea kutawala vichwa vya habari katika magazeti ya Uingereza, Marekani na Urusi, na uchambuzi unaeleza kuwa Marekani imeshindwa
Jumatatu, 18 Agosti 2025 saa 08:00:21
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa linasema kuna aina zaidi ya 50,000 za mimea inayoliwa, na mimea 15 tu ndio hutoa 90% chakula kinacholiwa na idadi kubwa ya watu duniani. Mchele, ngano, na mahindi, inaongoza katika orodha.
Jumatatu, 18 Agosti 2025 saa 04:30:39
Usiku mmoja mnamo 2016, Msichana huyu wa miaka 22 alikuwa akiondoka kwenye duka la Gucci huko Madrid, ambapo alifanya kazi kama muuzaji, alipokutana na kijana “aliyemvutia”.
Jumatatu, 18 Agosti 2025 saa 05:08:07
Zelensky alisema siku ya Jumanne kwamba Ukraine “haitaondoka Donbas, kwani Moscow itatumia eneo hilo kama njia ya kushambulia nchi nzima.”
Jumamosi, 16 Agosti 2025 saa 08:21:08
Badala ya kukaa nyumbani wakikabiliwa na shinikizo la kijamii na kifamilia, baadhi yao sasa wanachagua kutumia fedha zao kulipia huduma ya kuingia kwenye ofisi za kuigiza kazi maeneo yanayoitwa kwa mzaha “Makampuni ya kuigiza kazi.”
Alhamisi, 14 Agosti 2025 saa 11:55:26
Katika siku za hivi karibuni, mfanyabiashara wa Kipalestina Samir Halila amekuwa akitajwa zaidi katika vyombo vya habari vya Kiarabu na kimataifa, huku kukiwa na mazungumzo juu ya uwezekano wa kuchukua utawala wa Ukanda wa Gaza baada ya vita kumalizika.
Alhamisi, 14 Agosti 2025 saa 10:00:40
Kwa mujibu wa Burt, Gaza kwa sasa ni “jinamizi la kiusalama” kwa chombo chochote cha kusimamia. Ukanda huo, amesema, umejaa magenge, silaha, na uhalifu. “Kazi ya kwanza itakuwa ni kuzuia uporaji, kuondoa silaha mikononi mwa raia, na kurejesha hali ya kawaida. Hili linaweza kuchukua muongo kutekelezwa ipasavyo.”
Jumatano, 13 Agosti 2025 saa 13:02:45
Ikiwa ishara hizi zitatambuliwa kwa wakati, matibabu ya magonjwa yanayohusiana na figo yanaweza pia kuanza mapema.
Jumatano, 13 Agosti 2025 saa 02:58:25
Mwanamke mmoja kutoka India amegunduliwa na ujauzito katika ini lake badala ya mfuko wa uzazi.
Jumatatu, 11 Agosti 2025 saa 02:58:38
Iwapo wewe ni mgeni katika ukanda wa Afrika ya Mashariki basi ninapotaja majina haya mawili , ni vigumu kuelewa kwa nini yametajwa katika sentensi moja.
Jumapili, 10 Agosti 2025 saa 04:55:49
Virutubisho huwa kama suluhu za haraka za changamoto za afya, zikisaidia usingizi bora, ngozi inayong’aa, umakini ulioboreshwa, na maisha marefu zaidi.
Ijumaa, 8 Agosti 2025 saa 04:52:34
Ndege kubwa ya kijeshi ni muhimu kwa kusafirisha askari, vifaa, magari ya kivita, na misaada ya kibinadamu. Uwezo wa kubeba mizigo, urefu wa ndege, na ukubwa wa mabawa yake, ni vigezo vikuu vinavyofafanua ukubwa huo.
Jumanne, 29 Julai 2025 saa 12:53:45
Miongoni mwa waliokosa kurejea ni kigogo wa siasa na aliyewahi kuwa mgombea urais mwaka 2015, Januari Makamba, jina lake halikurudi katika Jimbo la Bumbuli.
Jumatano, 30 Julai 2025 saa 11:10:16
Katika kile kinachoonekana kama mwendelezo wa sera za kulinda uchumi wa ndani, Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi marufuku dhidi ya shughuli 15 za kibiashara kwa raia wa kigeni. Amri hii imezua hisia kali ndani na nje ya mipaka ya taifa hilo.
Jumanne, 29 Julai 2025 saa 11:47:22
Ukiacha mauaji ya mamia ya wakristo Makanisani mwaka huu na mwaka jana, takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya 6,000 waliuawa huko Beni kati ya 2013 na 2021, huku zaidi ya 2,000 wakipoteza maisha huko Bunia mwaka 2020 pekee wengi wao wakiwa Wakristo.
Ijumaa, 15 Agosti 2025 saa 13:16:02
Uingereza ilisema jana kwamba kwa muda mrefu imekuwa ikiweka wazi kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na kwamba Tehran imeshindwa kutoa hakikisho la kuaminika kuhusu mpango huo
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 06:00:39
Humphrey Polepole, Josephat Gwajima ama Lugaha Mpina ni majina ya viongozi wa sasa wanaonekana kuikosoa CCM kutoka ndani, lakini wapo vigogo wakubwa waliowahi ‘kuasi’ na kuitikisa zaidi CCM.
Alhamisi, 7 Agosti 2025 saa 03:02:44
Luhaga Mpina amemshinda Mgombea mwenzake Kalikawe aliyepata kura 46 sawa na asilimia 7.7 na sasa atapeperusha bendera ya ACT katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, mgombea mwenza akiwa Bi. Fatma Ferej.
Jumatano, 30 Julai 2025 saa 02:59:58
Kuna tofauti ya takribani wapiga kura milioni 6.2 kati ya waliotangazwa kuwa kwenye daftari la wapiga kura (milioni 37.6) na wale waliotarajiwa kuwa na sifa ya kupiga kura, (milioni 31.4) kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 09:51:40
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na madiwani, utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 03:54:37
Kwa muda sasa, kuna mvutano mkubwa unaoendelea hadharani kati ya vyama viwili vikuu vya upinzani Tanzania, CHADEMA na ACT Wazalendo.
Jumatatu, 7 Julai 2025 saa 03:59:29
Tangu Bunge la 12 la Tanzania kukamilisha rasmi shughuli zake tarehe 27 Juni 2025. Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kumesheheni picha za watia nia hasa katika nafasi ya Ubunge
Ijumaa, 24 Januari 2025 saa 05:24:56
2025 ni mwaka unaotarajiwa kutawaliwa na matukio mengi ya kisiasa nchini Tanzania kutokana na uwepo wa uchaguzi mkuu wa urais wa Muungano na Zanzibar. Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Madiwani katika kata zipatazo 4,000 nchi nzima.
Ijumaa, 27 Juni 2025 saa 04:02:50
Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limehitimisha rasmi shughuli zake Juni 27, 2025 na Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia alilitunuku hotuba ya mwisho. Litavunjwa rasmi Agosti 03 litakapohitimisha ukomo wake kikatiba.
Jumanne, 10 Juni 2025 saa 04:07:29
Hizi ni siasa na harakati zisizo na silaha, bali hashtags, ujumbe, picha, sauti na video. Harakati zisizo na maandamano wala matusi, bali machapisho mitandaoni.
Jumamosi, 28 Juni 2025 saa 05:56:27
Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekamilisha rasmi shughuli zake tarehe 27 Juni 2025 kwa Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia. Litavunjwa rasmi Agosti 03, 2025 litakapokamilisha kipindi chake kikatiba.
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 20 Agosti 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 19 Agosti 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 18 Agosti 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 15 Agosti 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 14 Agosti 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki