world-service-rss

BBC News Swahili

Trump aambia Uingereza na nchi nyingine ‘nendeni mkachukue mafuta yenu wenyewe’ huko Hormuz

Trump aambia Uingereza na nchi nyingine 'nendeni mkachukue mafuta yenu wenyewe' huko Hormuz

__

Rais wa Marekani aambia mataifa ambayo sasa hayana uwezo wa kupata mafuta ya ndege “Marekani haitaweza kuwasaidia tena, kama vile ambavyo hamukuwepo tulipowahitaji”.

Trump anapigana vita kwa kufuata hisia na hazifanyi kazi

Trump anapigana vita kwa kufuata hisia na hazifanyi kazi

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 11:54:50

Siku kumi na tatu baada ya vita, Trump aliulizwa na Fox News Radio vita vitaisha lini. Alijibu kwamba hakufikiri kwamba vita “vingekuwa virefu”. Kuhusu kuimaliza, alisema “nitakapoihisi.”

Je, Wahouthi watasababisha mshtuko mwingine wa soko la mafuta huko Bab al-Mandab?

 Je, Wahouthi watasababisha mshtuko mwingine wa soko la mafuta huko Bab al-Mandab?

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 11:01:53

Vita vya Iran vimefikia kilele katika bahari ya shamu, huko Bab al- Mandab , mlango bahari ambao ukifungwa unaweza kusababisha mzozo kamili wa nishati duniani.

“Hili ni zaidi ya soka” - DR Congo yapambania kuvunja ukame wa miaka 52 Kombe la Dunia

"Hili ni zaidi ya soka" - DR Congo yapambania kuvunja ukame wa miaka 52 Kombe la Dunia

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 09:56:11

DR Congo wanakutana na Jamaica katika mchujo wa Kombe la Dunia, wakilenga kufuzu kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1974, mashindano yaliyobaki kumbukumbu kwa sababu ya madhila yanayoendelea nchini humo.

Kwa nini Afrika inakabiliwa na uhaba wa mafuta licha ya utajiri wa bidhaa hiyo muhimu

Kwa nini Afrika inakabiliwa na uhaba wa mafuta licha ya utajiri wa bidhaa hiyo muhimu

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 06:33:06

Vita vya Iran vimesababisha bei ya mafuta kupanda na changamoto za usafiri wa meli, huku ikifungua njia mpya Tanzania.

Jinsi Marekani inavyoweza kujaribu kuteka kisiwa cha Kharg cha Iran

Jinsi Marekani inavyoweza kujaribu kuteka kisiwa cha Kharg cha Iran

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:42:31

Donald Trump amedokeza kuwa anaweza kutuma wanajeshi kuchukua udhibiti wa kituo kikuu cha kuuza mafuta cha Iran.

Marekani na Israel wamewaua viongozi wengi wa Iran, Je Trump anafanya mazungumzo na nani?

Marekani na Israel wamewaua viongozi wengi wa Iran, Je Trump anafanya mazungumzo na nani?

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 05:17:32

Kuuawa kwa kiongozi mkuu wa Iran,Ayatollah Ali Khamenei kuliwashtuwa wengi, haswa kwasababu ilikuwa siku ya kwanza ya vita baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Real Madrid kumsajili kiungo wa Chelsea Enzo Fernandez

Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Real Madrid kumsajili kiungo wa Chelsea Enzo Fernandez

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:28:39

Kiungo wa kati wa Chelsea Enzo Fernandez yumo kwenye orodha ya walioteuliwa na Real Madrid, Juventus wanamtolea macho Manuel Ugarte wa Manchester United, huku Newcastle wakipata msukumo katika jitihada zao za kutaka kumbakisha Sandro Tonali.

Vita vya Marekani, Israel na Iran vinaonyesha kuwa sheria za kimataifa za vita zimekiukwa

Vita vya Marekani, Israel na Iran vinaonyesha kuwa sheria za kimataifa za vita zimekiukwa

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 11:33:53

Luis Moreno-Ocampo, mwendesha mashtaka mkuu wa kwanza wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anasema sheria za kimataifa ziliundwa ili kuwalinda raia na kuzuia nchi kuanzisha vita isipokuwa kwa kujilinda au kwa idhini ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Je, kuna uwezekano gani kwa Marekani kuanzisha operesheni ya kijeshi ya ardhini Iran?

Je, kuna uwezekano gani kwa Marekani kuanzisha operesheni ya kijeshi ya ardhini Iran?

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 10:27:55

Wakati vita kati ya Iran, Marekani na Israel vikiingia siku yake ya thelathini, mkondo wa vita hivyo unashuhudia matukio ya haraka na mwelekeo unaobadilika zaidi

Je, Israel inatambua vipi maeneo ya kushambulia nchini Iran?

Je, Israel inatambua vipi maeneo ya kushambulia nchini Iran?

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 09:10:26

Satelaiti hizo huruhusu Israel kufuatilia kwa wakati halisi maeneo ya kurushia makombora ndani ya Tehran, na hivyo kuyaainisha na kuyashambulia kabla Israel haijashambuliwa

“Trump agundua Israel ilimdanganya “ - The Independent

"Trump agundua Israel ilimdanganya " - The Independent

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 04:27:52

Katika gazeti la The Independent, makala ya Robert Fox inaangazia mwenendo wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, yenye kichwa “Hatimaye, Donald Trump ametambua kwamba Israel imemfanyia hila.”

Hatima ya kilo 440 za urani iliyorutubishwa ya Iran ni ipi? – Uchambuzi

Hatima ya kilo 440 za urani iliyorutubishwa ya Iran ni ipi? – Uchambuzi

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 03:51:34

'’Ikiwa Marekani inajua mahali ilipo urani hiyo, kwa nini ichague njia ya kijeshi?’’, mwandishi Mark Urban anauliza.

Kwanini Iran inatoza ushuru meli kupita Mlango- Bahari wa Hormuz?

Kwanini Iran inatoza ushuru meli kupita Mlango- Bahari wa Hormuz?

Jumapili, 29 Machi 2026 saa 11:51:01

Marekani na Iran zimeonyesha misimamo yake,na kuendelea kupimana nguvu kiasi hiki kunaleta athari gani?

Mchwa mmoja kwa dola 220: Eneo jipya la biashara haramu ya wanyamapori

Mchwa mmoja kwa dola 220: Eneo jipya la biashara haramu ya wanyamapori

Jumapili, 29 Machi 2026 saa 10:17:45

Hamasa ya kukusanya mchwa imeishangaza Kenya huku wasafirishaji haramu wakilenga kujipatia faida.

Kwa nini UAE inalipa gharama kubwa zaidi kwa vita vya Iran?

Kwa nini UAE inalipa gharama kubwa zaidi kwa vita vya Iran?

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 09:30:58

Wakati vita vya Iran vikiingia katika wiki yake ya nne, Umoja wa Falme za Kiarabu umeibuka kama shabaha ya wazi ya Tehran.

Vita vya Marekani, Israel na Iran: Jinsi nchi za Afrika zinavyopambana na uhaba wa mafuta

Vita vya Marekani, Israel na Iran: Jinsi nchi za Afrika zinavyopambana na uhaba wa mafuta

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 05:35:45

Kuendelea kwa Iran kuzuia meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz kumevuruga usambazaji wa mafuta, na akiba ya nchi nyingi za Afrika iko hatarini kuisha ifikapo katikati ya Aprili.

Hatima ya mazungumzo ya Marekani na Iran katika kivuli cha kutoaminiana

Hatima ya mazungumzo ya Marekani na Iran katika kivuli cha kutoaminiana

Ijumaa, 27 Machi 2026 saa 11:06:54

Kutoelewana kuko wazi. Washington inazungumzia maendeleo katika mazungumzo; Tehran inakataa kabisa. Lakini hili halihusu tu kutokubaliana; pia inaonyesha kutoaminiana.

Kwa nini Marekani inalenga kukiteka kisiwa cha Kharg cha Iran?

Kwa nini Marekani inalenga kukiteka kisiwa cha Kharg cha Iran?

Jumamosi, 14 Machi 2026 saa 12:03:28

Kisiwa hicho kidogo kina miundombinu muhimu ya nishati ya Iran.

Waasi wa Houthi kujiunga vita ya Iran ina maana gani kwa dunia?

Waasi wa Houthi kujiunga vita ya Iran ina maana gani kwa dunia?

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 12:26:42

Waasi wa Houthi kutoka Yemen ni miongoni mwa washirika wakuu wa Iran katika ukanda wa Mashariki ya Kati, na kwa muda mrefu wamekuwa wakijihusisha na mashambulizi ya hapa na pale dhidi ya Israel tangu vita vya Gaza vilipoanza Oktoba 2023.

Silaha iliyoundwa na Iran inavyobadilisha vita vya anga duniani

Silaha iliyoundwa na Iran inavyobadilisha vita vya anga duniani

Alhamisi, 26 Machi 2026 saa 03:42:22

Jeshi la Iran lilikuwa limeathiriwa na vita vya miaka mingi, na vikwazo vya Marekani vilimaanisha kwamba hakukuwa na njia rahisi ya kujenga upya jeshi lenye nguvu.

Kenya inavyosogea kwenye siasa za maneno ya nguoni

Kenya inavyosogea kwenye siasa za maneno ya nguoni

Jumatatu, 23 Machi 2026 saa 03:52:25

Maneno yanayozungumzwa na wanasiasa kwao yanaweza kuwa jukwaa la kisiasa tu lakini athari yake kwa umma ni zaidi ya hilo.

Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026

Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026

Jumatano, 11 Machi 2026 saa 03:36:09

Klabu ya mabilionea barani Afrika inazidi kutajirika huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa viongozi wakuu wa biashara katika eneo hilo umeongezeka.

WARIDI WA BBC: ‘Namlea mwanangu anayenitegemea saa 24 bila kupumzika’

WARIDI WA BBC: 'Namlea mwanangu anayenitegemea saa 24 bila kupumzika'

Jumatano, 25 Machi 2026 saa 03:42:01

Mwezi mzima wa Machi unatambulika kuwa wa kitaifa katika uhamasishaji wa tatizo la kupooza kwa ubongo.

Viongozi wakuu 20 wa Iran waliouawa ndani ya siku 20 za vita

Viongozi wakuu 20 wa Iran waliouawa ndani ya siku 20 za vita

Jumanne, 24 Machi 2026 saa 03:17:41

Na ndani ya siku 20 tu za vita, idadi kubwa ya maafisa wa kijeshi, usalama na kisiasa wameuawa katika mashambulizi ya mfululizo ndani na nje ya Iran. Orodha hii inaangalia vigogo wakubwa

Makadirio mabaya ya Donald Trump kuhusu vita vya Iran

Makadirio mabaya ya Donald Trump kuhusu vita vya Iran

Jumatatu, 16 Machi 2026 saa 05:01:16

Aidha Trump hakutilia maanani kuwa kupanda kwa bei ya mafuta duniani, kutaiongezea Urusi mapato na kuisaidia kuimarika kiuchumi na katika vita dhidi ya Ukraine.

Wapiganaji wa Kikurdi: Kifahamu kikosi cha siri cha jeshi la wanawake pekee

Wapiganaji wa Kikurdi: Kifahamu kikosi cha siri cha jeshi la wanawake pekee

Jumanne, 10 Machi 2026 saa 10:42:18

Huku mashambulizi ya Marekani na Israel yakiendelea, uvumi unaongezeka kwamba makundi ya Wakurdi wa Iran walio na silaha walioko nchini Iraq hivi karibuni huenda wakavuka mpaka na kuingia vitani dhidi ya jamhuri ya Kiislamu. BBC imetembelea kundi moja la wapiganaji wa Kikurdi - kikosi cha wanawake wote.

Mzozo wa DRC: Kuuawa kwa Willy Ngoma kunaashiria nini?

Mzozo wa DRC: Kuuawa kwa Willy Ngoma kunaashiria nini?

Jumatano, 25 Februari 2026 saa 12:12:12

Msemaji huyo aliuawa kupitia shambulio la angani lililotekelezwa na FARDC eneo la Rubaya Jumanne usiku, shambulio ambalo liliwaacha viongozi kadhaa wa M23 na majeruhi.

Sudan: Pande zinazozozana zina sababu ya kuendelea kupigana

Sudan: Pande zinazozozana zina sababu ya kuendelea kupigana

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 09:59:14

Historia inaonyesha kwamba vita vyote vya Sudan vimekuwa vya muda mrefu na kudumu hadi miaka 20.

Vita vya Israel, Marekani na Iran: Mafuta na gesi vimekuwa silaha ya vita

Vita vya Israel, Marekani na Iran: Mafuta na gesi vimekuwa silaha ya vita

Jumanne, 24 Machi 2026 saa 11:09:02

Tangu vita kuanza, Iran imeonyesha kuwa iko tayari kufanya mashambulizi hadi kiwango ambacho kinaweza kusababisha mgogoro mkubwa wa nishati duniani.

Jinsi watawala wa Iran walivyojenga mfumo wa kuwaweka madarakani

Jinsi watawala wa Iran walivyojenga mfumo wa kuwaweka madarakani

Alhamisi, 12 Machi 2026 saa 06:14:21

Wataalamu wanasema muundo wa mamlaka ya Iran umewezesha utawala huo kustahimili misukosuko ya mara kwa mara

Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania

Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 03:13:40

Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Nchi tano zenye furaha zaidi duniani mwaka 2026

Nchi tano zenye furaha zaidi duniani mwaka 2026

Jumatano, 25 Machi 2026 saa 08:35:58

Viwango hivi hutolewa kila baada ya miaka mitatu kwa kupima maisha ya wakazi katika nchi 140, kwa kutazama mambo kama vile Pato la Taifa, huduma za kijamii, matarajio ya maisha, uhuru, ukarimu na kiwango cha ufisadi.

Washirika wa Iran waliosalia ni kina nani?

Washirika wa Iran waliosalia ni kina nani?

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 10:02:17

Kudhoofika kwa Hezbollah kulichangia kuondolewa kwa Bashar al-Assad, na kuicha Tehran upweke.

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24

Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 27 Machi 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 26 Machi 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki