world-service-rss

BBC News Swahili

Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea kesho

Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea kesho

__

Kesi ya uhaini dhidi ya Kiongozi wa Upinzani nchini Tanzania imesikilizwa leo jijini Dar es Salamaa.

VAR inaharibu utamu wa soka?

VAR inaharibu utamu wa soka?

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 11:03:51

baada ya mechi za mwisho wa wiki za FA Cup na maamuzi mengi yaliyohusika ya utata, mjadala umeibuka kuhusu VAR. Ibaki au iondolewe? Uamuzi sahihi au kuharibu utamu?

Kwaresima: Kwa nini kipindi hiki ‘takatifu’ ni cha kipekee kwa Wakristo duniani?

Kwaresima: Kwa nini kipindi hiki 'takatifu' ni cha kipekee kwa Wakristo duniani?

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 09:53:23

Kufunga kwa wakatoliki hujikita sana kwa maisha ya kiroho na huruma ya mtu, kwa hivyo wakati wa kufunga si kubadilisha tu lishe,bali tabia na mienendo ya mtu.

Ifahamu sumu ya chura iliyotumika kumuua kiongozi wa upinzani wa Urusi Alexei Navalny

Ifahamu sumu ya chura iliyotumika kumuua kiongozi wa upinzani wa Urusi Alexei Navalny

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:06:05

Sumu, epibatidine, inaweza kupatikana kwa vyura porini Amerika Kusini au kutengenezwa katika maabara.

Mataifa ambayo muda wa kufunga Ramadhan utakuwa mrefu zaidi 2026

Mataifa ambayo muda wa kufunga Ramadhan utakuwa mrefu zaidi 2026

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:55:58

Mataifa yaliyo kusini mwa ikweta yatashuhudia mfungo wa muda mfupi.

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Murillo kuondoka Nottingham Forest?

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Murillo kuondoka Nottingham Forest?

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 03:11:32

Murillo anawaniwa na vilabu vya soka vya London, mchezaji mwenzake wa Nottingham Forest Morgan Gibbs-White huenda akaelekea Manchester City, na Everton inafukuzia Harry Wilson Fulham

Kukata uhusiano na mpenzi wako wa zamani ama kusalia kuwa marafiki. Jinsi ya kutatua tatizo hili

Kukata uhusiano na mpenzi wako wa zamani ama kusalia kuwa marafiki. Jinsi ya kutatua tatizo hili

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:45:56

Kuachana kimapenzi ni ngumu. Kutoka wakati mmoja hadi mwingine, unapoteza mtu ambaye ulishiriki naye kila kitu. Lakini kudumisha urafiki na mpenzi wako wa zamani kunaweza kuumiza vile vile.

Tunachokifahamu kuhusu wanajeshi 200 wa Marekani waliotumwa Nigeria

Tunachokifahamu kuhusu wanajeshi 200 wa Marekani waliotumwa Nigeria

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:41:22

Kundi la Boko Haram, wapiganaji wa Islamic State West Africa Province (ISWAP) na makundi mengine, yameongeza mashambulizi yao kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Je, ulikokulia kunaathiri vipi tabia yako?

Je, ulikokulia kunaathiri vipi tabia yako?

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:47:21

Je, ungekuwa mtu tofauti iwapo ungekulia mahali pengine?

Kwanini watu wasio na wenza ‘waseja’ hunukia tofauti

Kwanini watu wasio na wenza 'waseja' hunukia tofauti

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:43:46

Wanaume hunusa harufu ya mwili wa wanawake kuwa ya kuvutia zaidi wakati wa kipindi cha rutuba katika mzunguko wa hedhi, na isiyovutia sana wakati wa hedhi. Hali hii huenda iliwasaidia mababu zetu wa kale kutambua wenza bora wa kuzaa. Vilevile, viwango vya juu vya homoni ya testosteroni kwa wanaume vinaweza kuboresha harufu yao.

Zawadi za mashada ya maua ya pesa taslim zinazungumziwaje?

Zawadi za mashada ya maua ya pesa taslim zinazungumziwaje?

Jumamosi, 14 Februari 2026 saa 11:15:03

Wafanyabiashara hujipatia pesa haraka, wakiuza maua ambayo ndio tu yametoka mashambani, hasa ukizingatia kuwa Kenya ni mojawapo ya wazalishaji wakuu wa maua duniani.

Je, wajua hatari ya kutumia dawa za kupunguza maumivu bila ushauri wa daktari?

Je, wajua hatari ya kutumia dawa za kupunguza maumivu bila ushauri wa daktari?

Jumamosi, 14 Februari 2026 saa 03:49:43

Matumizi ya Brufen kwa wingi huleta uvimbe wa tumbo na baadaye vidonda vya tumbo

Siku ya kondomu na siku ya wapendanao: Je, upewe kondomu au maua?

Siku ya kondomu na siku ya wapendanao: Je, upewe kondomu au maua?

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 03:22:14

Februari 13 ya kila mwaka ni siku ya kondomu duniani, huadhimishwa siku moja kabla ya siku ya wapendanao maarufu kama Valentines Day.

Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania

Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 03:13:40

Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Trump apinga mpango wa Israel wa kunyakua maeneo ya Palestina

Trump apinga mpango wa Israel wa kunyakua maeneo ya Palestina

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 09:55:07

Hatu zilizotangazwa na Waziri wa Fedha Bezalel Smotrich na Waziri wa Ulinzi Israel Katz ni pamoja na kuondoa sheria za muda mrefu zinazowazuia Wayahudi kununua ardhi katika Ukingo wa Magharibi.

Maisha ya wafugaji Kenya, Somalia yalivyo hatarini ukame ukizidi kusambaa

Maisha ya wafugaji Kenya, Somalia yalivyo hatarini ukame ukizidi kusambaa

Jumamosi, 7 Februari 2026 saa 06:43:23

Ukame unaoendelea katika Pembe ya Afrika sasa umeenea hadi maeneo ambayo hapo awali hayakuwa yakikumbwa sana na majanga ya ukame.

Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo

Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo

Jumamosi, 7 Februari 2026 saa 09:48:02

Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani kwa miaka mingi.

Nini kitatokea iwapo Marekani itaishambulia Iran?

Nini kitatokea iwapo Marekani itaishambulia Iran?

Ijumaa, 30 Januari 2026 saa 03:05:05

Marekani inaonekana iko tayari kuishambulia Iran ndani ya siku chache. Ingawa malengo yanayowezekana yanaweza kutabirika kwa kiasi kikubwa, matokeo hayatabiriki.

Kisiwa ambacho wenyeji hawaruhusiwi kujivinjari katika fukwe zake

Kisiwa ambacho wenyeji hawaruhusiwi kujivinjari katika fukwe zake

Alhamisi, 12 Februari 2026 saa 05:31:46

Wavuvi waliokuwa wakiishi karibu na eneo hilo ghafla walizuiwa kuchota hata maji mahali ambapo walikuwa wakiegesha boti zao kwa vizazi.

Kutana na wanawake wanaolinda chui porini

Kutana na wanawake wanaolinda chui porini

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 03:03:11

Wanawake mashujaa wanakabiliana na baridi kali ili kuhesabu na kuhifadhi mnyama wa porini ambaye awali alikuwa unachukuliwa kama tishio katika vijiji vyao.

Mambo 5 makubwa yaliyofichuliwa kutoka kwenye mamilioni ya faili za Epstein

Mambo 5 makubwa yaliyofichuliwa kutoka kwenye mamilioni ya faili za Epstein

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 09:50:23

Ufichuzi huo unakuja wiki sita baada ya Rais Donald Trump, kuamuru kwamba nyaraka zote zinazohusiana na Epstein zitolewe kwa umma.

Kwanini Israel imekaa kimya wakati Trump akitoa vitisho vipya dhidi ya Iran?

Kwanini Israel imekaa kimya wakati Trump akitoa vitisho vipya dhidi ya Iran?

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 04:29:36

Huku uvumi wa kimataifa kuhusu ongezeko la uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika Mashariki ya Kati, viongozi wa Israel wameendelea kuonesha ukimya usio wa kawaida.

Mambo 4 yaliyobadilika Venezuela tangu Maduro kuondolewa madarakani

Mambo 4 yaliyobadilika Venezuela tangu Maduro kuondolewa madarakani

Jumapili, 8 Februari 2026 saa 10:54:10

Maduro na Flores wanasubiri katika seli zao katika Kituo cha Magereza cha Metropolitan huko Brooklyn (MDC), Machi 17, tarehe ya kufikishwa kwao mbele ya mahakama ya shirikisho.

Kwanini Marekani imebadili msimamo kuhusu mataifa yanayoongozwa kijeshi Afrika Magharibi?

Kwanini Marekani imebadili msimamo kuhusu mataifa yanayoongozwa kijeshi Afrika Magharibi?

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 07:00:32

Marekani inaashiria kwamba kurejesha demokrasia sio kipaumbele tena na iko tayari kufanya kazi na Burkina Faso, Mali na Niger.

Kwanini serikali ya DRC inaikataa ripoti ya Human Rights Watch (HRW)?

Kwanini serikali ya DRC inaikataa ripoti ya Human Rights Watch (HRW)?

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 05:15:04

DRC imekanusha madai yaliyochapishwa katika ripoti ya Human Rights Watch kuhusu usalama wa eneo la Uvira kwa kusema kuwa madai yao hayakuwa ya kweli, na yamechukuliwa nje ya muktadha wa kisheria na kiusalama.

Je, Marekani inajiandaa kuishambulia tena Iran?

Je, Marekani inajiandaa kuishambulia tena Iran?

Alhamisi, 29 Januari 2026 saa 06:41:48

Marekani, yenye jeshi lenye nguvu zaidi duniani, tayari imeshawahi kuonyesha uwezo wake wa kuishambulia Iran. Mnamo Juni mwaka jana, ilitekeleza operesheni iliyopewa jina Operation Midnight Hammer, iliyolenga vituo vya nyuklia vya Iran.

Aliwahi kuwakosoa viongozi wa Afrika wanaong’ang’ania madaraka. Sasa ataongoza muhula wa saba

Aliwahi kuwakosoa viongozi wa Afrika wanaong'ang'ania madaraka. Sasa ataongoza muhula wa saba

Jumatatu, 12 Januari 2026 saa 04:53:27

Raia wa Uganda walio na umri wa chini ya miaka 40 - na ambao ni zaidi ya robo tatu ya watu - wamemfahamu rais mmoja tu.

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24

Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 12 Februari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 10 Februari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki