
__
Siku chache zimepita baada ya vikosi vya Marekani kumkamata Rais wa Venezuela Nicolas Maduro katika shambulio la kijeshi lililotokea Caracas.

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 11:59:33
Wakaazi wa Greenland wameiambia BBC kwamba hawana haja ya kuwa Wamarekani White House ikirejelea nia yake ya kulichukua eneo hilo.

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 11:05:01
Hapo awali ilikuwa vyanzo vya karibu na serikali ya Burkinabe ambavyo viliwasilisha habari kuhusu jaribio la mapinduzi lililofeli wikendi iliyopita.

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 03:24:07
Hatua ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro inaiweka China, ambayo haishabikii machafuko katika njia panda.

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 05:14:03
Kumiliki gari ni ndoto kwa wengi, lakini katika nchi nyingi kufanikisha ndoto hiyo huja kwa gharama kubwa.

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 10:00:17
Nicolas Maduro alikuwa bado hajatua Marekani baada ya kukamatwa kwake Venezuela wakati Donald Trump alipoonya kwamba Mexico na Colombia zinaweza kuwa shabaha zinazofuata katika kampeni yake dhidi ya dawa za kulevya

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 03:56:43
Madai ya mara kwa mara ya rais wa Marekani kudhibiti Greenland yanaweza kutishia muungano wa kijeshi wa Nato.

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 11:59:10
Picha ya kwanza ya Nicolás Maduro baada ya kuzuiliwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani Jumamosi hii itasalia katika kumbukumbu ya wengi.

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 09:51:22
Trump ametoa vitisho vingi dhidi ya mataifa mengine katika siku za hivi karibuni.

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 04:08:48
Operesheni hiyo ya aina yake iliyopewa jina la “Operation Absolute Resolve” inaonyesha jinsi vikosi vya Marekani vilivyoingia kwenye makazi ya Rais wa Venezuela na kumteka.

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 12:01:26
Donald Trump ameapa kuingia katika hifadhi ya mafuta ya Venezuela baada ya kumkamata Rais Nicolás Maduro na kusema Marekani “itaendesha” nchi hiyo hadi kipindi “salama” cha mpito.

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 10:44:28
Ameonekana kwa muda mrefu kama kiongozi mwenye ushawishi mkubwa, Flores pia amekabiliwa na tuhuma za ufisadi na upendeleo wa kifamilia.

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 06:56:24
Delcy Rodríguez, mshirika wa karibu wa kiongozi wa Venezuela aliyekamatwa, Nicolás Maduro, ameteuliwa kuwa rais wa mpito.

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 13:35:32
Milipuko ilisikika katika mji mkuu wa Caracas wakati Rais Nicolas Maduro alipokamatwa na jeshi la Marekani

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 12:16:55
Historia ya kisiasa ya Marekani imejaa visa vingi vya kuvamia nchi za kigeni ili kukamata viongozi. Tukio la sasa la kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, linadhihirisha mtindo huu.

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 07:21:38
Tofauti ya Krismasi ya Orthodox haiishii kwenye tarehe pekee.

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 03:57:17
Trump anaonekana kuamini kwamba yeye ndiye anayetunga sheria, na wengine hawawezi kuwa na haki au upendeleo kama wake

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 08:44:24
Kalenda tunayotumia leo imepitia mageuzi na marekebisho kadhaa kwa maelfu ya miaka, tangu asili yake katika ustaarabu wa kale wa Kirumi.

Jumapili, 4 Januari 2026 saa 08:15:50
“Hatuwezi kuishi kwa uhuru. Huweze hata kusikiliza muziki” - wakazi waiambia BBC kuhusu utawala wa wanamgambo.

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 05:02:19
Tangu uhuru, baadhi ya viongozi wameondolewa madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na mauaji. Katika mazingira haya, visa vya marais wa Afrika kuondoka kwa hiari katika nafasi ya juu ya utawala ni nadra.

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 09:34:28
Mwaka huu Kenya ilimpoteza mmoja wa watu wake mashuhuri kwa jina la Raila Amolo Odinga, mmoja wa wanasiasa waliodumu nchini humo, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 80.

Ijumaa, 26 Desemba 2025 saa 03:47:25
Kwa mwaka 2025, BBC Swahili kupitia mfumo wake wa uchambuzi wa usomaji Telescope ilishuhudia ongezeko kubwa la wasomaji katika habari zilizogusa siasa, uchaguzi, usalama, michezo na ubunifu barani Afrika.

Jumanne, 30 Desemba 2025 saa 11:53:31
Kwa mujibu wa taarifa rasmi na picha zilizochapishwa hivi karibuni, sasa kuna ndege saba za aina ya MQ-9A Reaper zinazofanya kazi katika eneo la Caribbean, ishara ya wazi ya kuimarika kwa ufuatiliaji wa anga.

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 02:55:01
Kupitia ripoti za Armed Conflict Location and Event Data (ACLED), kati ya Januari 1 hadi Desemba 5, 2025, Israel imefanya takribani mashambulizi 10,631, katika nchi zisizopungua saba duniani, ikiwa nchi iliyofanya mashambulizi kwenye nchi nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu.

Alhamisi, 25 Desemba 2025 saa 04:11:56
Kila mwaka, duniani kote, Wakristo wengi husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo Siku ya Krismasi, tarehe 25 Disemba. Ni siku - na msimu - ulioyojaa nyimbo za Krismasi, kupamba miti, kupeana zawadi na karamu . Na, kati ya sherehe zote, unaweza kujiuliza: Ni nini maana halisi ya Krismasi? Au, kwa nini kuna utamaduni wa Krismasi? Je, una uhusiano gani na Yesu?

Jumatatu, 22 Desemba 2025 saa 09:21:28
Wakati tukielekea mwisho wa mwaka 2025, tudurusu vifo vya watu mashuhuru katika mwaka huu, ambao walikuwa maarufu katika kazi zao, kuanzia dini hadi michezo.

Jumatano, 24 Desemba 2025 saa 11:19:13
Vita vya karibuni kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mizozo ya Iran na Israel vinaonyesha kuwa nguvu ya meli inategemea zaidi ufahamu wa kiteknolojia, mfumo wa ulinzi, na uwezo wa kushambulia kwa haraka, kuliko ukubwa wa jadi au idadi ya wanajeshi. Ndiyo maana uwekezaji wa meli za kivita unakuwa jambo la kimkakati duniani.

Ijumaa, 19 Desemba 2025 saa 03:42:54
Walaghai wa mtandaoni hawana mipaka wanaweza kuwa popote, lakini hupendelea watu wanaonunua bidhaa mtandaoni.

Jumatatu, 22 Desemba 2025 saa 03:14:26
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inasema kuwa kujiondoa kwa waasi kulikotangazwa ni ‘ujanja’ wenye lengo la kupotosha timu ya upatanishi ya Marekani.

Alhamisi, 18 Desemba 2025 saa 03:21:39
Mwaka jana, utajiri wa familia hii ulikuwa dola bilioni 432, lakini mwaka huu umeongezeka kwa dola bilioni 81 na kuendelea kuwa familia tajiri zaidi duniani.

Jumatano, 31 Desemba 2025 saa 11:01:18
Kwa mujibu wa ripoti ya UBS Global Wealth 2025, iliyotumiwa na mtandao wa Forbes, tathmini ya kupata nchi 10 tajiri dunaini inajumuisha thamani ya mali za kaya kama nyumba, ardhi, akiba benki, hisa na uwekezaji, baada ya kutoa madeni.

Jumatatu, 15 Desemba 2025 saa 10:56:47
Kuna chochote - kinachoweza kubadilisha mawazo ya Putin, ambacho Ukraine, Marekani, Ulaya au hata China, zinaweza kufanya?

Jumapili, 14 Desemba 2025 saa 08:57:35
Kundi la waasi la M23 linasema “limelikomboa kikamilifu” jiji muhimu la Uvira katika shambulio ambalo Marekani na mataifa ya Ulaya yanasema linaungwa mkono na Rwanda.

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 1 Januari 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 1 Januari 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki