
__
Mazungumzo ya Marekani na Iran yanaanza nchini Uswizi huku Tehran ikisema imefunga mlango wa bahari wa Hormuz

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 11:06:28
Katika kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja uliopita, marais wa Tanzania na Namibia wamekutana mara kadhaa, wamefanya ziara za pande zote na kuendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wao. Lakini kwa nini Tanzania inaweka nguvu Namibia?

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 07:43:39
Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamemweka Waziri Mkuu wa Israel katika hali ngumu kisiasa, yakivunja nguzo tatu kuu za taaluma ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kumwacha akikabiliwa na changamoto mpya ya usalama.

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 05:57:37
Ana ugonjwa nadra wa neva unaosababisha kila mtu anayemwona kuonekana kama rafiki ambaye amemfahamu kwa miaka mingi, akiwa na kumbukumbu zisizo wazi za sherehe au vicheko kazini.

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 05:30:52
Imani, mila na desturi za DR Congo zimefanya baadhi ya familia kuendelea kushinikiza kurejeshewa miili ya wapendwa wao waliofariki dunia kutokana na ebola hata pale ambapo kuna hatari ya kueneza maambukizi.

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 04:39:16
Chelsea wanazingatia kumsajili Florian Wirtz, Felix Nmecha yuko tayari kurejea England, na Aston Villa ni miongoni mwa wanaomtaka Nick Woltemade

__
Hii inafuatia makubaliano yaliyotiwa saini mapema wiki hii kati ya Marekani na Iran, yaliyolenga kumaliza mzozo huo.

__
Ujerumani imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Ivory Coast, waliotangulia kupitia kwa nahodha wake Cassie. Denis Undav akitokea benchi amefunga mabao yote ya Ujerumani, la pili akifunga dakika ya mwisho ya mchezo.

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58
Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 20:02:09
Kupitia Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024–2034) Tanzania imepanga kutumia dola za Marekani bilioni 1.75, kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.

Jumamosi, 20 Juni 2026 saa 07:37:50
Timu kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge inasema hii ni mara ya kwanza kwa chanjo kubuniwa na akili unde (AI) moja kwa moja na kisha kufanyiwa majaribio kwa wanadamu.

Jumamosi, 20 Juni 2026 saa 05:04:29
Mahakama ilitoa hukumu kuwa mwanaume huyo alimtishia na kumuogofya mkewe, na kumlazimisha kujiweka mitandaoni kwa nia ya kuwavutia wateja wanaotaka kushiriki ngono.

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 04:34:35
Kutafuna zaidi kunaweza kutoa faida nyingi, kutoka kwa kuboresha usagaji chakula na kusababisha ulaji wa chini wa kalori, kupunguza mafadhaiko na wasiwasi, na kuboresha uwezo wa utambuzi kwa kuimarisha ustadi wa kumbukumbu na kuongeza muda wa umakini.

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 14:54:48
Iran inadai kupewa zaidi ya dola bilioni 100 za fedha ambazo inasema inamiliki, lakini ambazo zimegandishwa au kuzuiwa nje ya nchi.

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 06:40:25
Kuvaa viatu ndani ya nyumba kunaweza kuwa hatari kwa afya?

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.

Jumatano, 17 Juni 2026 saa 04:42:57
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58
Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 04:51:08
Makubaliano ya Marekani na Iran ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano kati ya nchi hizo mbili yamesainiwa na sasa yameanza kutekelezwa, afisa mmoja kutoka ikulu ta White House ameiambia BBC.

Jumamosi, 13 Juni 2026 saa 07:09:19
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 04:55:40
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.

Jumatano, 3 Juni 2026 saa 09:49:54
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - “Yuda”. Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 10:49:41
Baadhi ya viongozi wa Marekani wanaiona mkataba huo kama mbaya zaidi ikilinganishwa na ule wa Barack Obama ulioafikiwa mwaka wa 2015, kwani hii ya sasa inaipa Iran nafuu zaidi.

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 05:44:09
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.

Jumapili, 14 Juni 2026 saa 09:49:47
Viwango vya jumla vya amani vilizorota katika nchi 99, ikiashiria mwaka wa kumi na mbili mfululizo wa kushuka kwa hali ya usalama ulimwenguni.

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 12:01:08
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.

Ijumaa, 12 Juni 2026 saa 09:54:07
Afrika imeshuhudia mabadiliko katika ukuaji wa kiuchumi kati ya Morocco na Afrika Kusini mwaka uliopita 2025, kulingana na Kielezo cha Maendeleo ya Viwanda cha Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB)

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 05:32:03
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama rais.

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 03:25:28
Waandamanaji wameweka tarehe 30 Juni kuwa siku ya mwisho kwa wahamiaji wote wasio na nyaraka halali kuondoka nchini.

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 05:22:17
Kijana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Ethiopia amekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuchukua hatua isiyo ya kawaida ya kumpeleka kuku wake mgonjwa katika hospitali inayotibu binadamu ili apatiwe matibabu.

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 04:31:38
Saratani za utumbo na matiti ndizo zinazojitokeza zaidi kwa vijana, zikiwa na jumla ya kesi 11,500 kwa mwaka, wakati saratani za kongosho na kibofu cha nyongo ni chache zaidi.

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 12:12:18
‘Kulinda nyoka si suala la uhifadhi wa viumbe pekee, bali pia ni hatua muhimu katika kuokoa maisha ya binadamu kupitia maendeleo ya dawa zinazotokana na sumu ya nyoka’, anasema mtaalam wa wanyama Taiwo Okikiola.

Jumatano, 10 Juni 2026 saa 15:28:45
Julai 30, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alizindua kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa urani katika eneo la Mkuju River, Namtumbo. Je, nchi hiyo inaandika hadithi mpya ya urani ya Mkuju barani Afrika?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 17 Juni 2026 saa 16:30:00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 16 Juni 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki