
__
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwa sasa Mlango Bahari wa Hormuz ni eneo la Marekani na Iran inaonekana haipo tayari kufikia makubaliano.

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 09:00:03
Francis Clifford Smith aliandaliwa “mlo wake wa mwisho” mara nane tofauti. Hata hivyo, utekelezaji wa hukumu yake uliahirishwa katika kila moja ya nyakati hizo, na akawa mfungwa aliyekaa gerezani kwa muda mrefu zaidi nchini Marekani kabla ya kufariki dunia mwezi Juni akiwa na umri wa miaka 101.

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 06:33:47
Mnamo tarehe 9 Agosti 1945, bomu la plutonium liliangushwa katika mji wa Nagasaki nchini Japan, na hivyo kuhitimisha Vita vya Pili vya Dunia.

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 08:43:32
Idadi ya wanawake wanaotaka kuhifadhi mayai yao ya uzazi imeongezeka zaidi ya mara sita kati ya mwaka wa 2014 na 2024, kutoka 6,090 hadi 38,930.

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 06:08:19
Nywele bandia zinazoongezewa kwenye nywele, zinazotumiwa na mamilioni ya wanawake duniani kote zinaweza kuwa na kemikali zinazohusishwa na saratani ya matiti, kuvurugika kwa mfumo wa homoni na hatari kwa mfumo wa uzazi, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa.

__
Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu imeahirishwa kwa muda hadi Jumatatu wiki ijayo atakapoendelea kujitetea mbele ya mahakama.

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 11:30:27
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 08:02:12
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na kumkuta ana kesi ya kujibu

__
Iran imesema itajibu vikali vitisho vipya kutoka kwa Marekani, baada ya Marekani kusema inapania kuweka vikwazo vikali zaidi vya kifedha dhidi ya Iran, vitakavyoporomosha utawala wa taifa hilo.

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 04:37:41
Magharibi mwa Ukraine, nyuma ya kuta ndefu na safu za malango yaliyofungwa, kuna kambi iliyojaa wanaume waliotekwa wakiipigania Urusi.

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 03:29:14
Leo uwanja wa vita unaelekea kwa kasi kwenye silaha zisizoonekana, kupitia akili unde, sumakuumeme, na anga ya juu.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:53:02
Kampuni zinazojihusisha na nyanja ya akili mnemba (AI) hutoa madai mapana kuhusu uwezo wa zana zao kuchukua nafasi ya nguvu kazi ya binadamu.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:05:01
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 11:42:37
Msimu wa Ligi Kuu wa 2026-27 bado haujaanza, lakini tayari umeweka historia.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 05:58:14
Madaktari nchini Sri Lanka wamemwondolea mwanamume jiwe la kibofu lenye uzito wa kilo 3.1 ambalo wanaamini kuwa ndilo kubwa zaidi la aina yake kuwahi kurekodiwa.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 04:58:16
Apple inatimiza miaka 50, safari yenye mafanikio makubwa, changamoto na bidhaa zilizobadilisha dunia. Tunaangazia bidhaa zilizoifanya Apple kuwa kampuni tunayoijua leo.

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 03:20:31
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 08:26:14
Kazungu alitekwa tarehe 04 Agosti akiwa nyumbani kwake akijiandaa kuoga, ambapo watekaji walimchukua kwa nguvu, kumuingiza katika gari aina ya Land Cruizer na kuzunguka naye kwa masaa mengi, kwa mwendo wa kasi huku akiwa amefungwa kitambaa cheusi usoni na pingu mikononi.

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 09:46:52
Hivi karibuni, Elon Musk alitangaza mpango wa kujenga mji kwenye Mwezi; alisema kuwa mpango huo unaweza kutekelezwa ndani ya muda usiozidi muongo mmoja na kwamba mji huo utakuwa na uwezo wa kukua na kuendelea kwa kujitegemea.

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 02:07:35
Arsenal yaingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Kenan Yildiz, Atletico Madrid wanaharakisha kukamilisha dili la Nicolas Jackson, huku Manchester City ikiwa kwenye mazungumzo ya kumsajili Allan Elias.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 03:47:43
Marekani inapanua matumizi ya droni za mashambulizi Mashariki ya Kati. Lakini “Falcon Strike Force” ni nini, na kwa nini Washington inatafuta washirika wa kikanda kujiunga na mpango huo?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 04:25:13
Iran na Marekani zimeingia katika hatua mpya ya mvutano, huku makubaliano yakikwama na vita vya kiuchumi vikiongezeka. Nani atalegeza kamba?

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 10:54:11
Sayansi inaonyesha kuwa ni wakati wa kutafakari upya na kuchukua udhibiti wa umri wa miili yetu. Hivi ndivyo unavyoweza kupunguza kasi, kusimamisha, na huenda hata kurudisha nyuma saa yako ya kibiolojia.

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 03:11:14
Kwa miaka mitatu, mwanasayansi huyo amekuwa akiwafuatilia simba katika Serengeti, akijifunza maisha yao mmoja baada ya mwingine, huku akikabili hatari za kuwa karibu nao.

Jumatatu, 17 Agosti 2026 saa 11:56:36
Mkazi mmoja anasema kuwa katika eneo la Kingsport, Tennessee, lililoko katika ukanda wa milima ya Appalachian, kuna makanisa mengi kiasi kwamba inaonekana kana kwamba kuna kanisa katika kila barabara.

Jumatatu, 17 Agosti 2026 saa 04:01:48
Wakati wa vita vya Iran/Iraq katika miaka ya 1980, inaaminika kwamba ndege za kivita za Iran aina ya F-14 zilisababisha vifo vya takriban watu 150 katika mapigano ya angani.

Jumamosi, 8 Agosti 2026 saa 07:11:46
Vyama vya upinzani nchini Namibia, na CHADEMA cha Tanzania vimepinga uwepo wa majaji wa nje, kwa mantiki mbalimbali ikiwmeo uhuru wa kimahakama Namibia na hofu ya kutopatikana ukweli kwa Tanzania.

Jumatano, 12 Agosti 2026 saa 03:41:16
Tatizo la kung’oka au kunyoyoka nywele linakadiriwa kuwaathiri watu milioni 160 duniani kote.

Jumanne, 11 Agosti 2026 saa 11:35:52
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti kuwa Donald Trump alibadilisha ndege kwa siri wakati akiondoka kwenye mkutano wa kilele wa NATO nchini Uturuki mwezi uliopita, kutokana na tishio linalowezekana kutoka Iran

Alhamisi, 6 Agosti 2026 saa 09:28:36
Watu wengi huvutiwa na wanyama wenye sura kama za watoto - fikiria macho makubwa, pua ndogo, nyuso za mviringo. Ni kwa sababu tunawajali watoto wetu.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 10:42:42
Msimu wa 2026-27 utashuhudia idadi kubwa ya sheria mpya, ambazo nyingi zinalenga kushughulikia suala la kuvurugwa kwa kasi ya mchezo na kuufanya mchezo huo uwe wa kasi zaidi.

Alhamisi, 13 Agosti 2026 saa 11:14:44
Kuanzia mende hadi nzi, kuna mengi tunayoweza kujifunza kutokana na mienendo yao kuhusu jinsi ya kufanya maamuzi bora.

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 05:40:26
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaweza kujikuta wakitumia mahusiano kama njia ya kujipatia fedha, hali ambayo inaweza kuwaweka katika mazingira yenye changamoto za kiafya, kiakili na kijamii.

Ijumaa, 14 Agosti 2026 saa 03:45:43
Hawana hofu, hawachoki na hawahitaji kuwa na binadamu pembeni yao. Roboti hawa wanaingia vitani na kubadilisha namna mapigano yanavyofanyika.

Jumamosi, 11 Julai 2026 saa 11:09:49
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki