
__
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche anaendelea kutoa ushahidi wake akiulizwa maswali na Lissu

__
Waasi wa Houthi wamedhibiti Kisiwa cha Perim katika Mlango-bahari wa Bab al-Mandab, kulingana na chanzo cha habari.

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 11:55:51
Wachambuzi wanahoji iwapo ofa ya mwaka wa uchaguzi iliyotolewa na rais wa Marekani inaweza kutekelezeka, ni halali au inawezekana kumudu gharama zake.

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 09:57:48
Ndege za doria za baharini aina ya P-8A Poseidon, meli za kutoa msaada na usambazaji pamoja na vikosi vya kutegua mabomu ni miongoni mwa chaguo zinazoweza kutumwa.

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 04:54:37
Ethel Caterham, mwenye miaka 117, ndiye mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani aliye hai. Makala haya yanaangazia maisha yake pamoja na watu wengine waliowahi kushikilia rekodi hiyo, akiwemo Jeanne Louise Calment aliyefikisha miaka 122.

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 05:51:14
Picha hizi ni sehemu ya kesi ya kisheria iliyofunguliwa na familia za waathirika wa mashambulizi ya 9/11 dhidi ya Saudi Arabia, na hazijawahi kuwekwa hadharani hapo awali.

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 02:57:18
Mshambuliaji wa Tanzania Clara Luvanga amejiunga na Washington Spirit akitokea klabu ya Saudi Arabia, Al-Nassr, katika usajili unaoaminika kuwa miongoni mwa usajili wenye gharama kubwa zaidi katika historia ya soka la wanawake.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 15:02:35
Mahakama imeeleza kuwa si sahihi kuwaita mashahidi hao kwa madhumuni ya kuthibitisha iwapo walitishika au hawakutishika kutokana na kauli zinazolalamikiwa katika shauri hilo.

__
Kabla ya kuachiwa huru, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Dodoma aliomba Kaijage aelekezwe kuwa na tabia njema.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 11:00:59
Kuanzia kifaa cha huduma za afya kinachopima mate hadi mbwa roboti anayefanana na kiumbe aliyefufuka kutoka kwa wafu, CES 2025 imeanza kwa mtindo wa ajabu na usio wa kawaida kabisa.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 09:51:21
Licha ya hatua nyingi za kuvutia zilizopigwa, wanawake bado hawajawakilishwa kwa kiwango cha kutosha katika fani hizi.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 02:52:55
Tanzania imekuwa katika kipindi cha mijadala mikali kuhusu uelekeo wa siasa za nchi, hasa baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 na matukio yaliyofuatia.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 02:56:07
Utafiti wake ulitumia zaidi ya miaka mitatu, akishirikisha watafiti wabobevu ulimwenguni kupitia sampuli za vipepeo zaidi ya 200

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 05:01:26
Kunywa vinywaji kama chai na kahawa mara kwa mara kwenye halijoto kali sana huongeza hatari ya saratani ya bomba la chakula au korodani, inayojulikana kama saratani ya umio, kwa mujibu wa utafiti wa Uingereza.

__
Serikali ya Kenya imewapa raia wa kigeni siku 90 kukamilisha taratibu zinazohitajika ili kuishi, kufanya kazi na biashara nchini humo.

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 04:51:03
Zaidi ya watu 80 wamepoteza maisha kutokana na mashambulizi ya umati, uchunguzi wa BBC umebaini baada ya kukusanya takwimu kutoka mataifa sita barani Afrika.

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 03:57:06
Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 22:08:18
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.

Alhamisi, 27 Agosti 2026 saa 05:25:56
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 11:30:27
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 03:54:30
Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:05:01
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 03:20:31
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 06:21:36
Watafiti walichora miunganisho milioni 124 kati ya seli zote za neva katika ubongo wa nzi dume.

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 09:54:19
Licha ya Afrika kuchangia kwa kiwango kidogo katika mabadiliko ya tabianchi, bado ni miongoni mwa maeneo ambayo hayajajitayarisha vya kutosha kukabiliana na madhara yake ya moja kwa moja.

Jumatatu, 7 Septemba 2026 saa 05:47:39
Ingawa viumbe wengi wanajulikana kwa kuwatisha watu, ni mmoja tu anayeshikilia nafasi ya kuwa hatari zaidi. Hasa zaidi, kiumbe huyu ndiye anayesababisha vifo vya watu wengi zaidi.

Jumapili, 6 Septemba 2026 saa 08:13:19
Marekani inaonekana kuepuka kuingia katika vita vya muda mrefu na Iran, lakini ndani ya Israel kuna maoni kwamba, licha ya Iran kudhoofika, Uturuki inaweza kujaza ombwe lililoachwa na Iran.

Jumamosi, 5 Septemba 2026 saa 09:51:58
Iwe unapika rojo ya kuku ya Kihindi, biriani ya nyama ya ngamia ya Sudan, laksa ya Malaysia au macher jhol ya Bangladesh, vyote vina kitu kimoja cha msingi, manjano.

Jumapili, 30 Agosti 2026 saa 04:15:50
“Ni mji mzuri na wenye kukaribisha,” anasema Sunday, mmoja wa wateja wa Anik, ambaye amehamia hapo hivi karibuni akitokea Devon.

Jumapili, 6 Septemba 2026 saa 10:20:42
Ingawa watu wengi huiona ndoa kama siku ya sherehe na furaha tu, wataalamu wanasema kuwa ndoa ni zaidi ya hayo.

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 9 Septemba 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatatu, 7 Septemba 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki