world-service-rss

BBC News Swahili

Lissu hakuandaa mkutano uliomtia matatani - Heche

Lissu hakuandaa mkutano uliomtia matatani - Heche

__

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche anaendelea kutoa ushahidi wake akiulizwa maswali na Lissu

Wahouthi ‘wadhibiti’ kisiwa cha kimkakati kwenye njia muhimu ya meli duniani

Wahouthi 'wadhibiti' kisiwa cha kimkakati kwenye njia muhimu ya meli duniani

__

Waasi wa Houthi wamedhibiti Kisiwa cha Perim katika Mlango-bahari wa Bab al-Mandab, kulingana na chanzo cha habari.

Je, Trump ataweza kumpa kila Mmarekani dola 5,000 alizoahidi?

Je, Trump ataweza kumpa kila Mmarekani dola 5,000 alizoahidi?

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 11:55:51

Wachambuzi wanahoji iwapo ofa ya mwaka wa uchaguzi iliyotolewa na rais wa Marekani inaweza kutekelezeka, ni halali au inawezekana kumudu gharama zake.

Je, Korea Kusini inatuma wanajeshi katika Mlango wa Hormuz?

Je, Korea Kusini inatuma wanajeshi katika Mlango wa Hormuz?

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 09:57:48

Ndege za doria za baharini aina ya P-8A Poseidon, meli za kutoa msaada na usambazaji pamoja na vikosi vya kutegua mabomu ni miongoni mwa chaguo zinazoweza kutumwa.

Siri ya mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi duniani

Siri ya mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi duniani

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 04:54:37

Ethel Caterham, mwenye miaka 117, ndiye mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani aliye hai. Makala haya yanaangazia maisha yake pamoja na watu wengine waliowahi kushikilia rekodi hiyo, akiwemo Jeanne Louise Calment aliyefikisha miaka 122.

Video mpya zafichua siri kuhusu Msaudi anayehusishwa na shambulio la 9/11

Video mpya zafichua siri kuhusu Msaudi anayehusishwa na shambulio la 9/11

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 05:51:14

Picha hizi ni sehemu ya kesi ya kisheria iliyofunguliwa na familia za waathirika wa mashambulizi ya 9/11 dhidi ya Saudi Arabia, na hazijawahi kuwekwa hadharani hapo awali.

Mtanzania Clara Luvanga avunja rekodi ya usajili wa soka la wanawake duniani?

Mtanzania Clara Luvanga avunja rekodi ya usajili wa soka la wanawake duniani?

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 02:57:18

Mshambuliaji wa Tanzania Clara Luvanga amejiunga na Washington Spirit akitokea klabu ya Saudi Arabia, Al-Nassr, katika usajili unaoaminika kuwa miongoni mwa usajili wenye gharama kubwa zaidi katika historia ya soka la wanawake.

Kwa nini Mahakama haikuwaita Samia, Majaliwa na Mpango kutoa ushahidi?

Kwa nini Mahakama haikuwaita Samia, Majaliwa na Mpango kutoa ushahidi?

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 15:02:35

Mahakama imeeleza kuwa si sahihi kuwaita mashahidi hao kwa madhumuni ya kuthibitisha iwapo walitishika au hawakutishika kutokana na kauli zinazolalamikiwa katika shauri hilo.

Kaijage aachiwa huru, kuripoti kwa RCO mwaka mmoja

Kaijage aachiwa huru, kuripoti kwa RCO mwaka mmoja

__

Kabla ya kuachiwa huru, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Dodoma aliomba Kaijage aelekezwe kuwa na tabia njema.

Vifaa 10 vya kiteknolojia vya ajabu zaidi ambavyo mamilionea wanatarajiwa kununua mwaka huu

Vifaa 10 vya kiteknolojia vya ajabu zaidi ambavyo mamilionea wanatarajiwa kununua mwaka huu

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 11:00:59

Kuanzia kifaa cha huduma za afya kinachopima mate hadi mbwa roboti anayefanana na kiumbe aliyefufuka kutoka kwa wafu, CES 2025 imeanza kwa mtindo wa ajabu na usio wa kawaida kabisa.

Wanawake nguli 5 waliobadili dunia kupitia teknolojia

Wanawake nguli 5 waliobadili dunia kupitia teknolojia

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 09:51:21

Licha ya hatua nyingi za kuvutia zilizopigwa, wanawake bado hawajawakilishwa kwa kiwango cha kutosha katika fani hizi.

Mambo 7 yaliyotikisa mjadala wa siasa Tanzania

Mambo 7 yaliyotikisa mjadala wa siasa Tanzania

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 02:52:55

Tanzania imekuwa katika kipindi cha mijadala mikali kuhusu uelekeo wa siasa za nchi, hasa baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 na matukio yaliyofuatia.

Devolent Mtui: Mtanzania aliyegundua kipepeo mpya duniani

Devolent Mtui: Mtanzania aliyegundua kipepeo mpya duniani

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 02:56:07

Utafiti wake ulitumia zaidi ya miaka mitatu, akishirikisha watafiti wabobevu ulimwenguni kupitia sampuli za vipepeo zaidi ya 200

Je, chai, kahawa au maji ya moto vinaongeza hatari ya saratani?

Je, chai, kahawa au maji ya moto vinaongeza hatari ya saratani?

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 05:01:26

Kunywa vinywaji kama chai na kahawa mara kwa mara kwenye halijoto kali sana huongeza hatari ya saratani ya bomba la chakula au korodani, inayojulikana kama saratani ya umio, kwa mujibu wa utafiti wa Uingereza.

Warundi 600 wazuiliwa mpakani Kenya na Tanzania

 Warundi 600 wazuiliwa mpakani Kenya na Tanzania

__

Serikali ya Kenya imewapa raia wa kigeni siku 90 kukamilisha taratibu zinazohitajika ili kuishi, kufanya kazi na biashara nchini humo.

‘Wizi wa nyeti’: Jinsi mitandao ya kijamii ilivyochochea uvumi uliogeuka mauaji

'Wizi wa nyeti': Jinsi mitandao ya kijamii ilivyochochea uvumi uliogeuka mauaji

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 04:51:03

Zaidi ya watu 80 wamepoteza maisha kutokana na mashambulizi ya umati, uchunguzi wa BBC umebaini baada ya kukusanya takwimu kutoka mataifa sita barani Afrika.

Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?

Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 03:57:06

Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?

Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?

Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 22:08:18

Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.

Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia

Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia

Alhamisi, 27 Agosti 2026 saa 05:25:56

Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.

Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?

Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 11:30:27

Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?

‘Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito’

'Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito'

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 03:54:30

Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Je, Iran itaishambulia Ulaya?

Je, Iran itaishambulia Ulaya?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:05:01

Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.

Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?

Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 03:20:31

Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?

Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?

Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30

Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

Jinsi ubongo wa nzi unavyoweza kuelezea tabia ya binadamu

Jinsi ubongo wa nzi unavyoweza kuelezea tabia ya binadamu

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 06:21:36

Watafiti walichora miunganisho milioni 124 kati ya seli zote za neva katika ubongo wa nzi dume.

Hatari 5 zinazoitishia dunia 2026

Hatari 5 zinazoitishia dunia 2026

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 09:54:19

Licha ya Afrika kuchangia kwa kiwango kidogo katika mabadiliko ya tabianchi, bado ni miongoni mwa maeneo ambayo hayajajitayarisha vya kutosha kukabiliana na madhara yake ya moja kwa moja.

Viumbe 10 hatari zaidi duniani

Viumbe 10 hatari zaidi duniani

Jumatatu, 7 Septemba 2026 saa 05:47:39

Ingawa viumbe wengi wanajulikana kwa kuwatisha watu, ni mmoja tu anayeshikilia nafasi ya kuwa hatari zaidi. Hasa zaidi, kiumbe huyu ndiye anayesababisha vifo vya watu wengi zaidi.

Israel na Uturuki zikiingia vitani, nani ana nguvu zaidi?

Israel na Uturuki zikiingia vitani, nani ana nguvu zaidi?

Jumapili, 6 Septemba 2026 saa 08:13:19

Marekani inaonekana kuepuka kuingia katika vita vya muda mrefu na Iran, lakini ndani ya Israel kuna maoni kwamba, licha ya Iran kudhoofika, Uturuki inaweza kujaza ombwe lililoachwa na Iran.

Je, manjano ni tiba ya miujiza au imani tu?

Je, manjano ni tiba ya miujiza au imani tu?

Jumamosi, 5 Septemba 2026 saa 09:51:58

Iwe unapika rojo ya kuku ya Kihindi, biriani ya nyama ya ngamia ya Sudan, laksa ya Malaysia au macher jhol ya Bangladesh, vyote vina kitu kimoja cha msingi, manjano.

Je, unataka kuhamia Ulaya? - hii hapa siri

Je, unataka kuhamia Ulaya?  - hii hapa siri

Jumapili, 30 Agosti 2026 saa 04:15:50

“Ni mji mzuri na wenye kukaribisha,” anasema Sunday, mmoja wa wateja wa Anik, ambaye amehamia hapo hivi karibuni akitokea Devon.

Mambo ambayo binti anapaswa kujua kabla ya kuolewa

Mambo ambayo binti anapaswa kujua kabla ya kuolewa

Jumapili, 6 Septemba 2026 saa 10:20:42

Ingawa watu wengi huiona ndoa kama siku ya sherehe na furaha tu, wataalamu wanasema kuwa ndoa ni zaidi ya hayo.

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 9 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 8 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatatu, 7 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 11 Septemba 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 10 Septemba 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki