world-service-rss

BBC News Swahili

Iran, Marekani zaripoti wimbi jipya la mashambulizi ya anga Ghuba

Iran, Marekani zaripoti wimbi jipya la mashambulizi ya anga Ghuba

__

Washington na Tehran walishambulia vituo vya kijeshi vya kila mmoja karibu na Mlango wa Hormuz

Kombe la Dunia halitakuwa kama ulivyozoea, kuna sheria 7 mpya

Kombe la Dunia halitakuwa kama ulivyozoea, kuna sheria 7 mpya

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 10:47:57

Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi wa FIFA, Pierluigi Collina, amesema baadhi ya mabadiliko hayo tayari yameidhinishwa, huku mengine yakitarajiwa kutumika rasmi wakati wa mashindano hayo makubwa zaidi ya soka duniani.

Rosana Kathure: “Ningejua anayenioa atanikata jicho, nisingeolewa”

Rosana Kathure: "Ningejua anayenioa atanikata jicho, nisingeolewa"

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 04:36:38

Rosana anasema mume wake alikuwa akimuambia maneno makali kila walipokwazana lakini yeye aliyachukulia kirahisi.

Vita vya siri vya GPS vinavyotikisa usafiri wa anga duniani

Vita vya siri vya GPS vinavyotikisa usafiri wa anga duniani

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 06:02:12

Katika Ghuba ya Uajemi, kulikuwa na ongezeko kubwa la ndege zilizoripoti kuathiriwa na udanganyifu wa GPS baada ya kuanza kwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran Mwezi Februari tarehe 28.

Afrika kuanza kutumia Su-34M, ndege mpya za kivita za Urusi

Afrika kuanza kutumia Su-34M, ndege mpya za kivita za Urusi

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 05:26:35

Su-34M ni ndege ya kivita ya Urusi ambayo ni ya mashambulizi ya masafa marefu , iliyotengenezwa kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini, baharini na pia kujilinda angani.

PSG kombe Arsenal pesa, msimu wa mabingwa ulivyofungwa

PSG kombe Arsenal pesa, msimu wa mabingwa ulivyofungwa

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 02:58:35

PSG imetwaa ubingwa wa Ulaya mara mbili mfululizo. Kwa Arsenal, licha ya kupoteza fainali kwa penati, safari yao ya kuvutia ilibeba maana kubwa zaidi ya kisoka na kifedha, kutokana na mfumo mpana wa malipo wa UEFA.

Tazama: Polisi walivyokabiliana na mashabiki wa PSG jijini Paris

Tazama: Polisi walivyokabiliana na mashabiki wa PSG jijini Paris

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 07:02:09

Polisi nchni Ufaransa walirusha vitoa machozi kutawanya umati wa watu katikati mwa jiji la Paris.

Kwanini Trump anaishinikiza Uturuki kujiunga na Mkataba wa Abraham?

Kwanini Trump anaishinikiza Uturuki kujiunga na Mkataba wa Abraham?

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 06:09:36

Moja ya vizingiti vikubwa vinavokabili uhusiano wa kidiplomasia kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu ni mtazamo wake dhidi ya Wapalestina.

PSG bingwa Ulaya, yaichapa Arsenal kwa penati

PSG bingwa Ulaya, yaichapa Arsenal kwa penati

__

Arsenal imeshindwa kubeba taji lao la kwanza kabisa la Ligi ya Mabingwa Ulaya tangu klabu hiyo ilipoanzishwa miaka karibu 140 iliyopita, PSG imeweza kutetea taji hilo ililolitwaa msimu uliopita.

Jinsi matumizi ya mabaya ya Saudi Arabia yalivyofikia kikomo

Jinsi matumizi ya mabaya ya Saudi Arabia yalivyofikia kikomo

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 05:58:20

Mradi wa dira ya maendeleo ya 2030 wa MBS ulionekana kuwa hadithi za kisayansi. Sasa uhalisia ume

Kutafuna chakula vizuri kunaimarisha ubongo wako - Utafiti

Kutafuna chakula vizuri kunaimarisha ubongo wako - Utafiti

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 04:34:35

Kutafuna zaidi kunaweza kutoa faida nyingi, kutoka kwa kuboresha usagaji chakula na kusababisha ulaji wa chini wa kalori, kupunguza mafadhaiko na wasiwasi, na kuboresha uwezo wa utambuzi kwa kuimarisha ustadi wa kumbukumbu na kuongeza muda wa umakini.

Ni sarafu gani zilifaidika na vita vya Iran na zipi zilitetereka?

Ni sarafu gani zilifaidika na vita vya Iran na zipi zilitetereka?

Jumamosi, 30 Mei 2026 saa 06:48:44

Wakati vita vya Marekani na Israel na Iran vilipoanza mwishoni mwa Februari, haikuwa Mashariki ya Kati pekee iliyohisi matokeo.

Maswali 5 magumu kuhusu moto katika bweni shuleni Kenya

Maswali 5 magumu kuhusu moto katika bweni shuleni Kenya

Jumamosi, 30 Mei 2026 saa 05:11:03

Baadhi ya wazazi bado wanahangaika kujua kuhusu walipo watoto wao, huku serikali ikijitahidi kuonyesha kuwa imechukua hatua licha ya kuendelea kukosolewa vikali.

“Tulikuwa tunatafuta watoto wetu gizani” - Simanzi baada ya wanafunzi 16 kufa kwenye moto Kenya

"Tulikuwa tunatafuta watoto wetu gizani" - Simanzi baada ya wanafunzi 16 kufa kwenye moto Kenya

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 13:14:17

Wanafunzi 16 wamethibitika kufariki baada ya moto mkubwa kuzuka katika bweni la shule hiyo usiku wa kuamkia Alhamisi, Mei 28, 2026, huku wengine wakijeruhiwa walipokuwa wakijaribu kujiokoa kupitia madirishani au kukimbia gizani.

Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni ‘vigogo’ 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani

Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 05:44:09

Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.

Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania

Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 04:54:13

Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.

WARIDI WA BBC: ‘Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne’

WARIDI WA BBC: 'Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne'

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 02:55:17

Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.

Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?

Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 02:38:19

Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.

Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?

Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?

Alhamisi, 21 Mei 2026 saa 02:59:11

Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?

Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria

Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria

Jumatano, 20 Mei 2026 saa 02:37:50

Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.

Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?

Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?

Jumanne, 19 Mei 2026 saa 04:33:40

Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.

J-10C Fighters: Nini kinazifanya ndege hizi za kivita kuwa hatari zaidi?

J-10C Fighters: Nini kinazifanya ndege hizi za kivita kuwa hatari zaidi?

Jumatatu, 18 Mei 2026 saa 03:44:29

Moja ya sababu kubwa zinazofanya J-10C kupewa hadhi ya ndege hatari ni uwezo wake wa kushambulia adui kabla hata ya kuonekana kwenye rada za kawaida.

Mzozo wa Iran: Kwanini Trump anatishia kuishambulia Oman?

Mzozo wa Iran: Kwanini Trump anatishia kuishambulia Oman?

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 09:44:14

Kauli ya Trump inasemekana kuwashangaza waangalizi wa eneo hilo kwa sababu Oman kwa muda mrefu imekuwa ikizingatiwa kuwa mmoja ya washirika wa karibu wa Marekani katika eneo la Ghuba.

CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?

CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?

Jumatatu, 18 Mei 2026 saa 02:47:55

Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.

Iran na Marekani kwenye vita yenye washindi wawili

Iran na Marekani kwenye vita yenye washindi wawili

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 04:55:32

Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.

Je, kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga ni ndoto inayowezekana?

Je, kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga ni ndoto inayowezekana?

Jumatano, 6 Mei 2026 saa 02:54:45

Pendekezo la ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta huko Tanga, Tanzania limeibua mjadala mpana wa kisiasa na kiuchumi Afrika Mashariki, likifufua upya hoja ya utegemezi wa mafuta kutoka nje.

Baada ya ripoti ya Jaji Chande njia tatu zitakazoamua mustakabali wa Tanzania

Baada ya ripoti ya Jaji Chande njia tatu zitakazoamua mustakabali wa Tanzania

Jumamosi, 25 Aprili 2026 saa 10:55:57

Tanzania ina njia tatu za kuchagua kuhusu mustakabali wake, kufuatia ripoti ya Jaji Chande. BBC imezichambua njia hizo na kile kinachofuata Tanzania baada ya ripoti hiyo ya matukio ya Oktoba 29, 2025

Maswali muhimu kuhusu ripoti ya Oktoba 29 yanayohitaji majibu

Maswali muhimu kuhusu ripoti ya Oktoba 29 yanayohitaji majibu

Ijumaa, 24 Aprili 2026 saa 04:23:22

Maswali kadhaa muhimu yanaendelea kujitokeza miongoni mwa wananchi na wadau nchini Tanzania yakilenga si tu kuelewa yanayozunguka kilichotokea Oktoba 29, bali pia kilichoripotiwa na tume na mustakabali wa kesho

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24

Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 1 Juni 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 29 Mei 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 28 Mei 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 27 Mei 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki