
__
Rais wa Marekani aambia mataifa ambayo sasa hayana uwezo wa kupata mafuta ya ndege “Marekani haitaweza kuwasaidia tena, kama vile ambavyo hamukuwepo tulipowahitaji”.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 11:54:50
Siku kumi na tatu baada ya vita, Trump aliulizwa na Fox News Radio vita vitaisha lini. Alijibu kwamba hakufikiri kwamba vita “vingekuwa virefu”. Kuhusu kuimaliza, alisema “nitakapoihisi.”

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 11:01:53
Vita vya Iran vimefikia kilele katika bahari ya shamu, huko Bab al- Mandab , mlango bahari ambao ukifungwa unaweza kusababisha mzozo kamili wa nishati duniani.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 09:56:11
DR Congo wanakutana na Jamaica katika mchujo wa Kombe la Dunia, wakilenga kufuzu kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1974, mashindano yaliyobaki kumbukumbu kwa sababu ya madhila yanayoendelea nchini humo.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 06:33:06
Vita vya Iran vimesababisha bei ya mafuta kupanda na changamoto za usafiri wa meli, huku ikifungua njia mpya Tanzania.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:42:31
Donald Trump amedokeza kuwa anaweza kutuma wanajeshi kuchukua udhibiti wa kituo kikuu cha kuuza mafuta cha Iran.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 05:17:32
Kuuawa kwa kiongozi mkuu wa Iran,Ayatollah Ali Khamenei kuliwashtuwa wengi, haswa kwasababu ilikuwa siku ya kwanza ya vita baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:28:39
Kiungo wa kati wa Chelsea Enzo Fernandez yumo kwenye orodha ya walioteuliwa na Real Madrid, Juventus wanamtolea macho Manuel Ugarte wa Manchester United, huku Newcastle wakipata msukumo katika jitihada zao za kutaka kumbakisha Sandro Tonali.

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 11:33:53
Luis Moreno-Ocampo, mwendesha mashtaka mkuu wa kwanza wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anasema sheria za kimataifa ziliundwa ili kuwalinda raia na kuzuia nchi kuanzisha vita isipokuwa kwa kujilinda au kwa idhini ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 10:27:55
Wakati vita kati ya Iran, Marekani na Israel vikiingia siku yake ya thelathini, mkondo wa vita hivyo unashuhudia matukio ya haraka na mwelekeo unaobadilika zaidi

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 09:10:26
Satelaiti hizo huruhusu Israel kufuatilia kwa wakati halisi maeneo ya kurushia makombora ndani ya Tehran, na hivyo kuyaainisha na kuyashambulia kabla Israel haijashambuliwa

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 04:27:52
Katika gazeti la The Independent, makala ya Robert Fox inaangazia mwenendo wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, yenye kichwa “Hatimaye, Donald Trump ametambua kwamba Israel imemfanyia hila.”

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 03:51:34
'’Ikiwa Marekani inajua mahali ilipo urani hiyo, kwa nini ichague njia ya kijeshi?’’, mwandishi Mark Urban anauliza.

Jumapili, 29 Machi 2026 saa 11:51:01
Marekani na Iran zimeonyesha misimamo yake,na kuendelea kupimana nguvu kiasi hiki kunaleta athari gani?

Jumapili, 29 Machi 2026 saa 10:17:45
Hamasa ya kukusanya mchwa imeishangaza Kenya huku wasafirishaji haramu wakilenga kujipatia faida.

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 09:30:58
Wakati vita vya Iran vikiingia katika wiki yake ya nne, Umoja wa Falme za Kiarabu umeibuka kama shabaha ya wazi ya Tehran.

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 05:35:45
Kuendelea kwa Iran kuzuia meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz kumevuruga usambazaji wa mafuta, na akiba ya nchi nyingi za Afrika iko hatarini kuisha ifikapo katikati ya Aprili.

Ijumaa, 27 Machi 2026 saa 11:06:54
Kutoelewana kuko wazi. Washington inazungumzia maendeleo katika mazungumzo; Tehran inakataa kabisa. Lakini hili halihusu tu kutokubaliana; pia inaonyesha kutoaminiana.

Jumamosi, 14 Machi 2026 saa 12:03:28
Kisiwa hicho kidogo kina miundombinu muhimu ya nishati ya Iran.

Jumamosi, 28 Machi 2026 saa 12:26:42
Waasi wa Houthi kutoka Yemen ni miongoni mwa washirika wakuu wa Iran katika ukanda wa Mashariki ya Kati, na kwa muda mrefu wamekuwa wakijihusisha na mashambulizi ya hapa na pale dhidi ya Israel tangu vita vya Gaza vilipoanza Oktoba 2023.

Alhamisi, 26 Machi 2026 saa 03:42:22
Jeshi la Iran lilikuwa limeathiriwa na vita vya miaka mingi, na vikwazo vya Marekani vilimaanisha kwamba hakukuwa na njia rahisi ya kujenga upya jeshi lenye nguvu.

Jumatatu, 23 Machi 2026 saa 03:52:25
Maneno yanayozungumzwa na wanasiasa kwao yanaweza kuwa jukwaa la kisiasa tu lakini athari yake kwa umma ni zaidi ya hilo.

Jumatano, 11 Machi 2026 saa 03:36:09
Klabu ya mabilionea barani Afrika inazidi kutajirika huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa viongozi wakuu wa biashara katika eneo hilo umeongezeka.

Jumatano, 25 Machi 2026 saa 03:42:01
Mwezi mzima wa Machi unatambulika kuwa wa kitaifa katika uhamasishaji wa tatizo la kupooza kwa ubongo.

Jumanne, 24 Machi 2026 saa 03:17:41
Na ndani ya siku 20 tu za vita, idadi kubwa ya maafisa wa kijeshi, usalama na kisiasa wameuawa katika mashambulizi ya mfululizo ndani na nje ya Iran. Orodha hii inaangalia vigogo wakubwa

Jumatatu, 16 Machi 2026 saa 05:01:16
Aidha Trump hakutilia maanani kuwa kupanda kwa bei ya mafuta duniani, kutaiongezea Urusi mapato na kuisaidia kuimarika kiuchumi na katika vita dhidi ya Ukraine.

Jumanne, 10 Machi 2026 saa 10:42:18
Huku mashambulizi ya Marekani na Israel yakiendelea, uvumi unaongezeka kwamba makundi ya Wakurdi wa Iran walio na silaha walioko nchini Iraq hivi karibuni huenda wakavuka mpaka na kuingia vitani dhidi ya jamhuri ya Kiislamu. BBC imetembelea kundi moja la wapiganaji wa Kikurdi - kikosi cha wanawake wote.

Jumatano, 25 Februari 2026 saa 12:12:12
Msemaji huyo aliuawa kupitia shambulio la angani lililotekelezwa na FARDC eneo la Rubaya Jumanne usiku, shambulio ambalo liliwaacha viongozi kadhaa wa M23 na majeruhi.

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 09:59:14
Historia inaonyesha kwamba vita vyote vya Sudan vimekuwa vya muda mrefu na kudumu hadi miaka 20.

Jumanne, 24 Machi 2026 saa 11:09:02
Tangu vita kuanza, Iran imeonyesha kuwa iko tayari kufanya mashambulizi hadi kiwango ambacho kinaweza kusababisha mgogoro mkubwa wa nishati duniani.

Alhamisi, 12 Machi 2026 saa 06:14:21
Wataalamu wanasema muundo wa mamlaka ya Iran umewezesha utawala huo kustahimili misukosuko ya mara kwa mara

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 03:13:40
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Jumatano, 25 Machi 2026 saa 08:35:58
Viwango hivi hutolewa kila baada ya miaka mitatu kwa kupima maisha ya wakazi katika nchi 140, kwa kutazama mambo kama vile Pato la Taifa, huduma za kijamii, matarajio ya maisha, uhuru, ukarimu na kiwango cha ufisadi.

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 10:02:17
Kudhoofika kwa Hezbollah kulichangia kuondolewa kwa Bashar al-Assad, na kuicha Tehran upweke.

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumanne, 31 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatatu, 30 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 27 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 26 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki