
__
Kauli hiyo imekuja wakati ambapo bado kuna sintofahamu kuhusu uwezekano wa kufanyika kwa mazungumzo mapya ya kumaliza vita kati ya pande hizo mbili huko Pakistan.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 09:56:27
Njia hii ya bahari huunganisha bahari ya kusini mwa China, ambapo husafirisha theluthi tatu ya biashara zote duniani.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 11:01:03
Togo inapania kuwahimiza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, kuja na ramani ambayo inaelezea ukubwa halisi wa bara Afrika na kutupilia mbali ramani ya Mercator.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 04:10:33
Hatma ya mazungumzo kati ya Iran na Marekani imeingia katika hali ya sintofahamu kubwa huku muda wa kusitisha mapigano ukikaribia kuisha.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 05:56:13
Marekani na Iran zote zimetumia vizuizi vya majini katika vita hivi. Historia inatufundisha nini kuhusu vizuizi hivi?

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 03:47:48
Ingawa Sultan anasema wageni wanakaribishwa katika eneo la jangwa la Slowjamastan, kwa sasa hakuna sehemu ya kulala kwa wageni wanaotaka kukaa usiku.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 02:51:30
Newcastle United wako tayari kumuuza Anthony Gordon kwenda Bayern Munich kwa dau la pauni milioni 75, huku Manchester United wakimfuatilia kwa karibu Aurelien Tchouameni na Yan Diomande kumrithi Mo Salah Liverpool.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 09:08:13
Vipimo vya DNA na mchakato wa kisheria umefanikiwa kuwabaini baba wa watoto 20 wanajeshi wa Uingereza waliozaliwa karibu na kambi ya jeshi la Uingereza nchini Kenya.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 14:04:56
Marekani imekamata meli ya mizigo iliyokuwa na bendera ya Iran katika eneo la Ghuba kama sehemu ya kutekeleza zuio la majini, Donald Trump asema.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 10:27:48
Tofauti na mwaka wa 1968, mwaka 2026 satelaiti nyingi zimekuwa zikipiga maelfu ya picha za dunia kila siku.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 05:51:27
Historia inaonyesha kwamba kwa Wakatoliki wengi nchini Marekani, siasa huja kabla ya imani.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 04:51:23
Mimea huwa ya kijani kwa sababu ina chlorophyll, ambayo hufyonza nishati ya mwanga. Katika mchakato wa usanisinuru au photosynthesis, nishati hii hubadilisha hewa ya carbondioxide kuwa oksijeni.

__
Akionya kuwa hakutakuwa tena na “huruma” iwapo mazungumzo yatashindikana, Trump amesema madaraja na vituo hivyo vya umeme “vitaanguka haraka, na vitaanguka kwa urahisi.”

Jumapili, 19 Aprili 2026 saa 12:06:59
Katika kikao chao cha kwanza na wanahabari baada ya kurejea Ijumaa iliyopita, Reid Wiseman, Victor Glover, Christina Koch na Jeremy Hansen walisema walienda angani kama marafiki na wakarudi wakiwa na uhusiano wa karibu sana.

Jumamosi, 18 Aprili 2026 saa 09:22:21
Ni miongoni mwa watu wachache ambao waliwaunganisha viongozi wa Marekani na Iran kupitia mawasiliano ya simu, akipitisha ujumbe kati ya pande hizo mbili kama mpatanishi anayeaminika.

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 04:57:31
'’Sio paka wakula panya, ni rafiki anayekutoa msongo wa mawazo’’, Muthoni Nyokabi, daktari wa mifugo anaiambia BBC.

Jumatano, 15 Aprili 2026 saa 03:59:52
Marekani itategemea meli zake za majini kudhibiti bandari za Iran, na hivyo kuzuia uwezo wa Tehran kufaidika na mauzo ya mafuta nje ya nchi katika jaribio la kuweka shinikizo kwa nchi hiyo. Itawezekana?

Alhamisi, 16 Aprili 2026 saa 03:14:56
BBC imefichua sekta ya kificho inayowatoza wahamiaji maelfu ya pauni ili kuwasaidia kukwepa mfumo wa kutoa hifadhi.

Jumapili, 19 Aprili 2026 saa 09:46:16
Ni silaha ya bei nafuu, inayoweza kutupwa ambayo inaweza kuzalishwa kwa urahisi na kwa wingi. Silaha ambayo haihitaji rubani, haihitaji ardhi adimu, na inaweza kuzalishwa hata chini ya shinikizo la kiuchumi la kizuizi kilichowekwa dhidi ya Iran.

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 09:53:26
Serikali ya Colombia imetangaza mipango ya kuwaua hadi viboko 80 kati ya mamia ya “viboko wa kokeni” waliotokana na dume mmoja na majike watatu walioingizwa nchini na mfanyabiashara wa dawa za kulevya Pablo Escobar kwa ajili ya bustani yake binafsi ya wanyama.

Jumanne, 14 Aprili 2026 saa 12:58:52
Mazungumzo dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamezidi kuwa magumu baada ya juhudi za kumaliza vita kati ya pande hizo mbili nchini Pakistan kumalizika bila makubaliano.

Jumapili, 12 Aprili 2026 saa 06:21:45
Kabla ya mazungumzo hayo, kulikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa Pakistan na wadau wa kimataifa kwamba huenda yakaleta mwanga wa suluhisho la kudumu.

Jumatatu, 13 Aprili 2026 saa 04:40:07
Leo XIV anataka dunia ielekeze macho yake katika bara lenye umuhimu mkubwa kwa mustakabali wa Kanisa Katoliki, amesema msaidizi wake.

Jumamosi, 11 Aprili 2026 saa 07:53:51
Ikiwa Iran itajaribu kutoza ada kwa meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz, swali kuu ni kama Marekani, nchi za Magharibi, na washirika wa kikanda watakubali hatua hiyo.

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 08:33:02
Leo Aprili 9, 2026, imetimia mwaka mmoja tangu Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA), kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa mashtaka ya uhaini na uchochezi.

Ijumaa, 10 Aprili 2026 saa 03:57:52
Kulingana na mamlaka ya nishati duniani EIA, Iran ina hifadhi kubwa ya mafuta ghafi duniani.

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 09:59:26
Mwaka wa 1968, Bill Anders, mmoja wa wanamisheni wa Apollo 8, alipiga picha ya Dunia ambayo iliandika historia, kuathiri maisha ya wengi, na kuhamasisha kizazi kizima.

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 05:22:21
Licha ya kuwepo na makubaliano, vita vinaweza kuendelea baada ya vipengele vilivyokubaliwa kutotekelezwa.

Jumatatu, 6 Aprili 2026 saa 04:48:45
Operesheni za kuokoa marubani wa Marekani waliopotea au kuanguka zimekuwa chache katika miongo ya hivi karibuni.

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 10:24:36
Ila Pakistan ikiwa mwenyeji wa mazungumzo hayo, swali la kujiuliza ni iwapo matakwa muhimu za kila pande zitakubalika.

Jumanne, 7 Aprili 2026 saa 05:43:36
Lengo la misheni hii ilikuwa kuweka msingi kwa ajili ya kutua mwezini katika misheni ijayo ya Artemis III.

Jumanne, 7 Aprili 2026 saa 10:53:54
Wanunuzi walikuwa watu maarufu kama marais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan, Jimmy Carter na hoteli kubwa kama Hilton na Marriot.

Jumapili, 5 Aprili 2026 saa 10:09:12
Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea baada ya ndege ya kivita ya nchi hiyo kudunguliwa kusini mwa Iran.

Jumapili, 5 Aprili 2026 saa 04:47:33
Abrom Zabot anaongeza kuwa baadhi ya makadirio yanazungumzia trilioni za miaka, huku mengine yakihusisha muda mrefu zaidi.

Jumamosi, 4 Aprili 2026 saa 12:28:24
Wanamapinduzi waliamua kuwa siku igawanywe katika saa 10 badala ya 24. Kila saa ingekuwa na dakika 100 za desimali, na kila dakika ingegawanywa katika sekunde 100.

Ijumaa, 3 Aprili 2026 saa 04:08:52
Balozi wa zamani wa Marekani katika NATO, Ivo Dalder, akijibu hotuba hiyo, alisema kuwa kauli ya Trump imezua “mashaka kuhusu malengo ya vita” na kuacha maswali kadhaa muhimu bila majibu.

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 16 Aprili 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 15 Aprili 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki