world-service-rss

BBC News Swahili

Seneti ya Marekani kupiga kura ya kumdhibiti Trump kuhusu Venezuela

Seneti ya Marekani kupiga kura ya kumdhibiti Trump kuhusu Venezuela

__

Siku chache zimepita baada ya vikosi vya Marekani kumkamata Rais wa Venezuela Nicolas Maduro katika shambulio la kijeshi lililotokea Caracas.

‘Hatuuzwi’: Wakaazi wa Greenland waelezea hofu yao huku Trump akipanga kulitwaa eneo hilo

'Hatuuzwi': Wakaazi wa Greenland waelezea hofu yao huku Trump akipanga kulitwaa eneo hilo

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 11:59:33

Wakaazi wa Greenland wameiambia BBC kwamba hawana haja ya kuwa Wamarekani White House ikirejelea nia yake ya kulichukua eneo hilo.

Mapinduzi yaliyofeli Burkina Faso: Serikali yavunja kimya chake

Mapinduzi yaliyofeli Burkina Faso: Serikali yavunja kimya chake

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 11:05:01

Hapo awali ilikuwa vyanzo vya karibu na serikali ya Burkinabe ambavyo viliwasilisha habari kuhusu jaribio la mapinduzi lililofeli wikendi iliyopita.

Hatua ya Trump Venezuela yaishangaza China - Je, ni tishio kwa biashara zake?

Hatua ya Trump Venezuela yaishangaza China - Je, ni tishio kwa biashara zake?

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 03:24:07

Hatua ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro inaiweka China, ambayo haishabikii machafuko katika njia panda.

Mambo 7 unayopaswa kujua kabla ya kununua gari

Mambo 7 unayopaswa kujua kabla ya kununua gari

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 05:14:03

Kumiliki gari ni ndoto kwa wengi, lakini katika nchi nyingi kufanikisha ndoto hiyo huja kwa gharama kubwa.

Je, Venezuela ina jukumu gani katika ulanguzi wa dawa za kulevya duniani?

Je, Venezuela ina jukumu gani katika ulanguzi wa dawa za kulevya duniani?

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 10:00:17

Nicolas Maduro alikuwa bado hajatua Marekani baada ya kukamatwa kwake Venezuela wakati Donald Trump alipoonya kwamba Mexico na Colombia zinaweza kuwa shabaha zinazofuata katika kampeni yake dhidi ya dawa za kulevya

Kwanini Trump anaitaka Greenland, inamaanisha nini kwa wanachama wa Nato?

Kwanini Trump anaitaka Greenland, inamaanisha nini kwa wanachama wa Nato?

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 03:56:43

Madai ya mara kwa mara ya rais wa Marekani kudhibiti Greenland yanaweza kutishia muungano wa kijeshi wa Nato.

Kwa nini Maduro alifungwa macho na kuzibwa masikio alipokamatwa?

Kwa nini Maduro alifungwa macho na kuzibwa masikio alipokamatwa?

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 11:59:10

Picha ya kwanza ya Nicolás Maduro baada ya kuzuiliwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani Jumamosi hii itasalia katika kumbukumbu ya wengi.

Ni nchi zipi zinaweza kulengwa na Trump baada ya Venezuela?

Ni nchi zipi zinaweza kulengwa na Trump baada ya Venezuela?

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 09:51:22

Trump ametoa vitisho vingi dhidi ya mataifa mengine katika siku za hivi karibuni.

Jinsi majasusi na makomando wa Marekani walivyomnasa Maduro

Jinsi majasusi na makomando wa Marekani walivyomnasa Maduro

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 04:08:48

Operesheni hiyo ya aina yake iliyopewa jina la “Operation Absolute Resolve” inaonyesha jinsi vikosi vya Marekani vilivyoingia kwenye makazi ya Rais wa Venezuela na kumteka.

Trump anataka mafuta ya Venezuela, Je, mpango wake utafanikiwa?

Trump anataka mafuta ya Venezuela, Je, mpango wake utafanikiwa?

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 12:01:26

Donald Trump ameapa kuingia katika hifadhi ya mafuta ya Venezuela baada ya kumkamata Rais Nicolás Maduro na kusema Marekani “itaendesha” nchi hiyo hadi kipindi “salama” cha mpito.

Cilia Flores ni nani, na sababu za kukamatwa kwake akiwa na Maduro ni zipi?

Cilia Flores ni nani, na sababu za kukamatwa kwake akiwa na Maduro ni zipi?

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 10:44:28

Ameonekana kwa muda mrefu kama kiongozi mwenye ushawishi mkubwa, Flores pia amekabiliwa na tuhuma za ufisadi na upendeleo wa kifamilia.

Ni nani anaongoza Venezuela sasa na kipi kitakachofuata?

Ni nani anaongoza Venezuela sasa na kipi kitakachofuata?

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 06:56:24

Delcy Rodríguez, mshirika wa karibu wa kiongozi wa Venezuela aliyekamatwa, Nicolás Maduro, ameteuliwa kuwa rais wa mpito.

Maduro ni nani na kwanini Marekani imemkamata?

Maduro ni nani na kwanini Marekani imemkamata?

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 13:35:32

Milipuko ilisikika katika mji mkuu wa Caracas wakati Rais Nicolas Maduro alipokamatwa na jeshi la Marekani

Kutoka Noriega hadi Maduro fahamu viongozi waliowahi kukamatwa au kuangushwa na Marekani

Kutoka Noriega hadi Maduro fahamu viongozi waliowahi kukamatwa au kuangushwa na Marekani

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 12:16:55

Historia ya kisiasa ya Marekani imejaa visa vingi vya kuvamia nchi za kigeni ili kukamata viongozi. Tukio la sasa la kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, linadhihirisha mtindo huu.

Yafahamu mataifa yanayosherehekea Krismasi leo Januari 7

Yafahamu mataifa yanayosherehekea Krismasi leo Januari 7

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 07:21:38

Tofauti ya Krismasi ya Orthodox haiishii kwenye tarehe pekee.

Uchambuzi: Hatua ya Trump Venezuela inazisafishia njia tawala za kiimla duniani

Uchambuzi: Hatua ya Trump Venezuela inazisafishia njia tawala za kiimla duniani

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 03:57:17

Trump anaonekana kuamini kwamba yeye ndiye anayetunga sheria, na wengine hawawezi kuwa na haki au upendeleo kama wake

Januari imeanza, unaijua asili ya majina ya miezi 12 ya mwaka?

Januari imeanza, unaijua asili ya majina ya miezi 12 ya mwaka?

Jumamosi, 3 Januari 2026 saa 08:44:24

Kalenda tunayotumia leo imepitia mageuzi na marekebisho kadhaa kwa maelfu ya miaka, tangu asili yake katika ustaarabu wa kale wa Kirumi.

Kuishi kwa hofu ya Lakurawa - kundi la wanamgambo lililoshambuliwa na Trump nchini Nigeria

Kuishi kwa hofu ya Lakurawa - kundi la wanamgambo lililoshambuliwa na Trump nchini Nigeria

Jumapili, 4 Januari 2026 saa 08:15:50

“Hatuwezi kuishi kwa uhuru. Huweze hata kusikiliza muziki” - wakazi waiambia BBC kuhusu utawala wa wanamgambo.

Marais watano wa Afrika walioondoka madarakani kwa hiari

Marais watano wa Afrika walioondoka madarakani kwa hiari

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 05:02:19

Tangu uhuru, baadhi ya viongozi wameondolewa madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na mauaji. Katika mazingira haya, visa vya marais wa Afrika kuondoka kwa hiari katika nafasi ya juu ya utawala ni nadra.

Je, siasa za Kenya 2026 zinaanzaje bila Raila Odinga?

Je, siasa za Kenya 2026 zinaanzaje bila Raila Odinga?

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 09:34:28

Mwaka huu Kenya ilimpoteza mmoja wa watu wake mashuhuri kwa jina la Raila Amolo Odinga, mmoja wa wanasiasa waliodumu nchini humo, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 80.

Habari 10 zilizosomwa sana BBC mwaka 2025

Habari 10 zilizosomwa sana BBC mwaka 2025

Ijumaa, 26 Desemba 2025 saa 03:47:25

Kwa mwaka 2025, BBC Swahili kupitia mfumo wake wa uchambuzi wa usomaji Telescope ilishuhudia ongezeko kubwa la wasomaji katika habari zilizogusa siasa, uchaguzi, usalama, michezo na ubunifu barani Afrika.

MQ-9A Reaper: Ndege isiyo na rubani hatari zaidi duniani

MQ-9A Reaper: Ndege isiyo na rubani hatari zaidi duniani

Jumanne, 30 Desemba 2025 saa 11:53:31

Kwa mujibu wa taarifa rasmi na picha zilizochapishwa hivi karibuni, sasa kuna ndege saba za aina ya MQ-9A Reaper zinazofanya kazi katika eneo la Caribbean, ishara ya wazi ya kuimarika kwa ufuatiliaji wa anga.

Kwanini Israel imezishambulia nchi hizi 7?

Kwanini Israel imezishambulia nchi hizi 7?

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 02:55:01

Kupitia ripoti za Armed Conflict Location and Event Data (ACLED), kati ya Januari 1 hadi Desemba 5, 2025, Israel imefanya takribani mashambulizi 10,631, katika nchi zisizopungua saba duniani, ikiwa nchi iliyofanya mashambulizi kwenye nchi nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu.

Krisimasi ni nini na ni kwanini Wakristo wanaisherehekea?

Krisimasi ni nini na ni kwanini Wakristo wanaisherehekea?

Alhamisi, 25 Desemba 2025 saa 04:11:56

Kila mwaka, duniani kote, Wakristo wengi husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo Siku ya Krismasi, tarehe 25 Disemba. Ni siku - na msimu - ulioyojaa nyimbo za Krismasi, kupamba miti, kupeana zawadi na karamu . Na, kati ya sherehe zote, unaweza kujiuliza: Ni nini maana halisi ya Krismasi? Au, kwa nini kuna utamaduni wa Krismasi? Je, una uhusiano gani na Yesu?

Watu maarufu duniani waliofariki 2025

Watu maarufu duniani waliofariki 2025

Jumatatu, 22 Desemba 2025 saa 09:21:28

Wakati tukielekea mwisho wa mwaka 2025, tudurusu vifo vya watu mashuhuru katika mwaka huu, ambao walikuwa maarufu katika kazi zao, kuanzia dini hadi michezo.

Meli 5 zenye uwezo mkubwa wa kijeshi duniani

Meli 5 zenye uwezo mkubwa wa kijeshi duniani

Jumatano, 24 Desemba 2025 saa 11:19:13

Vita vya karibuni kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mizozo ya Iran na Israel vinaonyesha kuwa nguvu ya meli inategemea zaidi ufahamu wa kiteknolojia, mfumo wa ulinzi, na uwezo wa kushambulia kwa haraka, kuliko ukubwa wa jadi au idadi ya wanajeshi. Ndiyo maana uwekezaji wa meli za kivita unakuwa jambo la kimkakati duniani.

Jinsi ya kujilinda dhidi ya walaghai mitandaoni msimu wa Krismasi

Jinsi ya kujilinda dhidi ya walaghai  mitandaoni msimu wa Krismasi

Ijumaa, 19 Desemba 2025 saa 03:42:54

Walaghai wa mtandaoni hawana mipaka wanaweza kuwa popote, lakini hupendelea watu wanaonunua bidhaa mtandaoni.

Je, M23 wamejiondoa Uvira kweli? Hali ilivyo sasa Mashariki mwa DRC

Je, M23 wamejiondoa Uvira kweli? Hali ilivyo sasa Mashariki mwa DRC

Jumatatu, 22 Desemba 2025 saa 03:14:26

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inasema kuwa kujiondoa kwa waasi kulikotangazwa ni ‘ujanja’ wenye lengo la kupotosha timu ya upatanishi ya Marekani.

Zifahamu familia 5 tajiri zaidi duniani

Zifahamu familia 5 tajiri zaidi duniani

Alhamisi, 18 Desemba 2025 saa 03:21:39

Mwaka jana, utajiri wa familia hii ulikuwa dola bilioni 432, lakini mwaka huu umeongezeka kwa dola bilioni 81 na kuendelea kuwa familia tajiri zaidi duniani.

Nchi 10 tajiri zaidi duniani mwaka 2025

Nchi 10 tajiri zaidi duniani mwaka 2025

Jumatano, 31 Desemba 2025 saa 11:01:18

Kwa mujibu wa ripoti ya UBS Global Wealth 2025, iliyotumiwa na mtandao wa Forbes, tathmini ya kupata nchi 10 tajiri dunaini inajumuisha thamani ya mali za kaya kama nyumba, ardhi, akiba benki, hisa na uwekezaji, baada ya kutoa madeni.

Kipi kitamzuia Putin asiendelee na vita Ukraine?

Kipi kitamzuia Putin asiendelee na vita Ukraine?

Jumatatu, 15 Desemba 2025 saa 10:56:47

Kuna chochote - kinachoweza kubadilisha mawazo ya Putin, ambacho Ukraine, Marekani, Ulaya au hata China, zinaweza kufanya?

Mkataba wa amani wa ‘kihistoria’ wa Trump ulivyovunjwa baada ya waasi kuuteka mji muhimu DRC

Mkataba wa amani wa 'kihistoria' wa Trump ulivyovunjwa baada ya waasi kuuteka mji muhimu DRC

Jumapili, 14 Desemba 2025 saa 08:57:35

Kundi la waasi la M23 linasema “limelikomboa kikamilifu” jiji muhimu la Uvira katika shambulio ambalo Marekani na mataifa ya Ulaya yanasema linaungwa mkono na Rwanda.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 2 Januari 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 1 Januari 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 1 Januari 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 8 Januari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 7 Januari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 6 Januari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatatu, 5 Januari 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki