world-service-rss

BBC News Swahili

UN inaonya viongozi wa Sudan Kusini kuwa wanahatarisha kuvunjika kwa makubaliano ya mpango wa amani

UN inaonya viongozi wa Sudan Kusini kuwa wanahatarisha kuvunjika kwa makubaliano ya mpango wa amani

__

Uchunguzi wa ripoti hiyo ulibaini kuwa mnamo mwaka 2024 mifumo ile ile ya ukiukwaji mkubwa katika maeneo yale yale, mara nyingi inahusisha ofisi zile zile za umma na za kijeshi.

Miaka mitano ya Covid-19: Fahamu nchi ambazo hazikufungia watu ndani

Miaka mitano ya Covid-19: Fahamu nchi ambazo hazikufungia watu ndani

Jumapili, 9 Machi 2025 saa 04:48:39

Ugonjwa huu, uliua mamilioni ya watu duniani kote

Fahamu virusi hatari vinavyotokana na kinyesi cha panya

Fahamu virusi hatari vinavyotokana na kinyesi cha panya

Jumapili, 9 Machi 2025 saa 10:46:01

Mara nyingi dalili huanza kwa uchofu, homa na maumivu ya misuli, hii hufuatwa kwa maumivu ya kichwa, kisunzi, baridi mwilini na matatizo ya tumbo.

Wasiwasi waibuka Trump kukifanya Kiingereza kuwa lugha rasmi Marekani

Wasiwasi waibuka Trump kukifanya Kiingereza kuwa lugha rasmi Marekani

Jumapili, 9 Machi 2025 saa 05:44:11

Kati ya wazungumzaji bilioni 1.52 wa lugha ya Kiingereza duniani, karibu robo (19.74%) wapo Marekani.

Maporomoko ya jaa la Kiteezi Uganda yangeweza kuepukika?

Maporomoko ya jaa la Kiteezi Uganda yangeweza kuepukika?

Jumapili, 9 Machi 2025 saa 09:20:20

Maporomoko ya ardhi katika jaa la Kiteezi Agosti mwaka jana yaliua watu 30, akiwemo rafiki yake Sanya Kezia.

Tetesi za soka Jumapili: Man United imearifiwa gharama ya kumsajili Jean-Philippe Mateta

Tetesi za soka Jumapili: Man United imearifiwa gharama ya kumsajili Jean-Philippe Mateta

Jumapili, 9 Machi 2025 saa 03:42:02

Tottenham iko tayari kuwasilisha ombi la takriban pauni milioni 33.6 kumsajili winga wa Bournemouth raia wa Ghana Antoine Semenyo

Wimbi la mashambulizi ya Urusi lawaua watu 20 na kujeruhi makumi, Ukraine yasema

 Wimbi la mashambulizi ya Urusi lawaua watu 20 na kujeruhi makumi, Ukraine yasema

__

Takriban watu 20 wameuawa na wengine kama 30 kujeruhiwa kufuatia wimbi la mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine usiku kucha

Ndoa ya kisiasa ya Raila na Ruto itabadili vipi siasa za Kenya?

Ndoa ya kisiasa ya Raila na Ruto itabadili vipi siasa za Kenya?

Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 09:55:36

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, sio mgeni katika mchezo wa karata za kisiasa za ndani na nje ya taifa hilo la Afrika Mashariki. Katika miaka zaidi ya arobaini ambayo amekuwa akipiga siasa zake ndani ya Kenya, hajakosa kufanya maamuzi ya kisiasa yaliyowaacha wengi vinywa wazi.

Je, tembe za aspirini tumaini jipya kwa wagonjwa wa saratani?

Je, tembe za aspirini tumaini jipya kwa wagonjwa wa saratani?

Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 12:46:49

Je, dawa ya kupunguza maumivu ya gharama nafuu ya aspirini inaweza kuzuia kuenea kwa ugonjwa kama saratani? Wanasayansi wamegundua hivyo.

Jinsi wanawake hawa vikongwe walivyokabiliana na historia ya ukoloni na kushinda

Jinsi wanawake hawa vikongwe walivyokabiliana na historia ya ukoloni na kushinda

Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 03:17:22

Wanawake watano walioibiwa kutoka kwa familia zao wakiwa watoto kwa kuwa machotara walishinda kesi yao ya kisheria ya kulipwa fidia dhidi ya serikali ya Ubelgiji mnamo Desemba 2024. Huu ni uamuzi wa kihistoria ambao wataalamu sasa wanasema unaweza kusababisha fidia zaidi. Mmoja wao anazungumza na mwandishi wa BBC Kaine Pieri.

Hupaswi kufanya mambo haya ikiwa unakosa usingizi

Hupaswi kufanya mambo haya ikiwa unakosa usingizi

Jumanne, 11 Februari 2025 saa 06:43:18

Ukosefu wa usingizi ni tatizo ambalo linaweza kuwapata wengi wetu wakati fulani wa maisha, lakini kwa baadhi ya watu, linapita na kuwa tatizo kubwa zaidi.

Waumini wa dini wanaoamini katika kufunga hadi kufa

Waumini wa dini wanaoamini katika  kufunga hadi kufa

Jumapili, 2 Machi 2025 saa 09:42:43

Wiki tatu baada ya kugundulika kuwa na saratani ya shingo ya kizazi, Sayer Devi Modi mwenye umri wa miaka 88 aliamua kutotafuta matibabu. Badala yake, alichagua kufunga hadi kufa.

Je, ni kweli Illuminati ‘wanaudhibiti’ ulimwengu kwa siri?

 Je, ni kweli Illuminati 'wanaudhibiti' ulimwengu kwa siri?

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 07:47:06

Ujerumani inahusishwa na asili ya Illuminati. Kulikuwa na kundi la ajabu lililoitwa Bavarians. Hii ilianza mnamo 1776. Watu wenye elimu walikusanyika na kukosoa utaratibu na muundo wa kidini.

Je, Rwanda inaweza kujitegemea bila misaada?

Je, Rwanda inaweza kujitegemea bila misaada?

Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 11:23:22

Inakadiriwa kuwa Rwanda inapokea zaidi ya dola bilioni 1 ya msaada wa kigeni.

Tunayofahamu kuhusu mkataba wa kisiasa kati ya Rais Ruto na Raila

 Tunayofahamu kuhusu mkataba wa  kisiasa kati ya Rais Ruto na Raila

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 11:37:07

Rais William Ruto na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kiongozi mkongwe wa upinzani wametia saini mkataba wa kufanya kazi baada ya wiki kadhaa za mashauriano nchini kote kuhusu mkataba huo wa kisiasa.

Unajua joto kali la chumbani ni hatari kwa figo na moyo wako?

Unajua joto kali la chumbani ni hatari kwa figo na moyo wako?

Jumatano, 5 Machi 2025 saa 13:23:14

Shirika la Afya Duniani (WHO) linapendekeza kuwa joto la chumbani liwe angalau 18°C (64.4°F) ili kulinda afya dhidi ya madhara ya baridi

Barua ya maridhiano ya Zelensky kwa Trump inaonyesha hana chaguo jingine

Barua ya maridhiano ya Zelensky kwa Trump inaonyesha hana chaguo jingine

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 09:58:53

Mazungumza ya malumbano huko Washington katika Ikulu ya rais, na Trump “kusitisha” misaada ya kijeshi ya Marekani, kumemlazimu Zelensky kupigia goti dira ya amani ya Trump.

Idjwi: Kisiwa katikati ya uwanja wa vita DRC, lakini ndicho salama zaidi

Idjwi: Kisiwa katikati ya uwanja wa vita DRC, lakini ndicho salama zaidi

Jumatano, 5 Machi 2025 saa 09:52:05

Kisiwa cha Idjwi nchini DRC kimekuwa kikipokea mamilioni ya watu wanaoathirika na vita nchini humo na nchi jirani ya Rwanda

Je, Ulaya ina ubavu wa kuisaidia Ukraine kijeshi ikiwa Marekani itakaa pembeni?

Je, Ulaya ina ubavu wa kuisaidia Ukraine kijeshi ikiwa Marekani itakaa pembeni?

Jumatatu, 3 Machi 2025 saa 13:10:40

Baada ya mzozo ulioibuka Ikulu ya Marekani, kati ya Rais Donald Trump na Zelensky, umeweka rehani uhusiano wa Marekani na Ukraine kuhusu kumaliza vita vya Ukraine

Wafahamu wanamgambo ‘wanaochochea uhasama’ baina ya DRC na Rwanda

Wafahamu wanamgambo 'wanaochochea uhasama' baina ya DRC na Rwanda

Alhamisi, 27 Februari 2025 saa 03:53:07

Kama umekuwa ukifuatilia mzozo unaoendelea wa DRC, bila shaka umesikia herufi FDLR zikitajwa mara kwa mara hasa Rwanda inapohusika. Lakini je, FDLR ni akina nani hasa?

Dakika 10 za majibizano kati ya Trump na Zelensky katika Ikulu ya Marekani

Dakika 10 za majibizano kati ya Trump na Zelensky katika Ikulu ya Marekani

Jumamosi, 1 Machi 2025 saa 11:00:21

Ujumbe wa Zelensky ulikata kiini cha kile ambacho wakosoaji wanasema ni makosa ya kimsingi ya Trump katika kushughulika na Urusi.

Nenda hospitali ukiona mambo haya kwenye sikio lako

Nenda hospitali ukiona mambo haya kwenye sikio lako

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 12:38:28

Mtaalamu wa masikio, koo na pua Moses Ayodele Akinola anazungumzia mambo mbalimbali yanayoathiri masikio na kusababisha upotevu wa kusikia.

Nani anayeiongoza Vatican wakati Papa amelazwa hospitalini?

Nani anayeiongoza Vatican wakati Papa amelazwa hospitalini?

Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 03:37:21

Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88 amekuwa akipitia maambukizi ya mfumo wa upumuaji kwa zaidi ya wiki moja.

Mohammed Iqbal Dar: Mjue mbunifu wa jina ‘Tanzania’ aliyeaga dunia

Mohammed Iqbal Dar: Mjue mbunifu wa jina 'Tanzania' aliyeaga dunia

Jumanne, 4 Machi 2025 saa 11:54:39

Kwa zaidi ya miaka 10 Iqbal Dar amekuwa akisumbuliwa na maradhi yaliyomfanya ashindwe kutembea.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 5 Machi 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 4 Machi 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki