world-service-rss

BBC News Swahili

Lissu ahamishiwa gereza la Ukonga baada ya saa 24 za ‘sintofahamu alipo’

Lissu ahamishiwa gereza la Ukonga baada ya saa 24 za 'sintofahamu alipo'

__

Hatua hii inakuja siku moja baada ya chama hicho kueleza kuondolewa kwa kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani kutoka gereza la Keko, Dar eś salaam bila maelezo rasmi na haijulikani alipelekwa wapi

Simba vs Stellenbosch: Vita ya utamaduni, ndoto na uhalisia Zanzibar

Simba vs Stellenbosch: Vita ya utamaduni, ndoto na uhalisia Zanzibar

Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 14:35:49

Ni nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho la CAF, inayokwenda kuandika historia kwa pande zote

Unajua unavyozeeka? Fahamu njia rahisi ya kujua namna unavyozeeka

Unajua unavyozeeka? Fahamu njia rahisi ya kujua namna unavyozeeka

Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 11:15:56

Karibu 30% ya watu zaidi ya umri wa miaka 65 huanguka kila mwaka, na idadi hiyo inaongezeka hadi karibu 50% kwa watu zaidi ya umri wa miaka 80.

Je, ushuru wa Trump kuathiri michezo duniani?

Je, ushuru wa Trump kuathiri michezo duniani?

Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 06:33:01

Je, vita vya kibiashara vinaweza kuathiri ulimwengu wa michezo?

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Man United macho kwa Semenyo, City kwa Gibbs-White

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Man United macho kwa Semenyo, City kwa Gibbs-White

Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 04:18:04

Manchester City wanaongoza mbio za kumsajili Morgan Gibbs-White wa Nottingham Forest, huku Manchester United ikiwataka Antoine Semenyo wa Bournemouth na Tyler Dibling wa Southampton.

Vikosi vya SADC kuondoka DRC kupitia Rwanda hadi Tanzania

Vikosi vya SADC kuondoka DRC kupitia Rwanda hadi Tanzania

__

Rwanda imekubali kuruhusu wanajeshi wa jumuiya ya SADC waliokuwa wakipambana na waasi mashariki mwa DRC kuondoka kupitia ardhi yake hadi Tanzania, ripoti zasema.

Pasaka: Ni nini na huadhimishwaje?

Pasaka: Ni nini na huadhimishwaje?

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 10:16:08

Inaashiria Yesu kufufuka kutoka kwa wafu, baada ya kufa msalabani.

China ‘yaipiga pabaya’ Marekani yatumia madini adimu kama silaha

China 'yaipiga pabaya' Marekani yatumia madini adimu kama silaha

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 09:50:10

Madini adimu ni kundi la madini 17 yenye mfanano wa kikemikali ambazo ni muhimu sana katika utengenezaji wa bidhaa nyingi za teknolojia ya hali ya juu.

Mzozo wa Elon Musk na Afrika Kusini juu ya Starlink

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 11:32:16

Ili kufanya kazi nchini Afrika Kusini, Starlink inahitaji kupata mtandao na leseni, ambazo zote zinapaswa umiliki wa 30% uende kwa watu weusi.

Stinger: Kombora la Marekani la ulinzi wa anga linalotungua droni na helikopta

Stinger: Kombora la Marekani la ulinzi wa anga linalotungua droni na helikopta

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 03:54:05

Kombora la Stinger lina urefu wa mita 1.52. Kombora lenyewe lina uzito wa kilo 10.1. Lakini kombora hilo na mfumo wake wa kulirusha kwa pamoja ya uzito wa takriban kilo 15.2.

Fahamu majengo 10 marefu zaidi barani Afrika 2025

Fahamu majengo 10 marefu zaidi barani Afrika 2025

Ijumaa, 11 Aprili 2025 saa 02:55:33

Ni idadi ndogo tu ya miji mikuu ya kifedha na kibiashara iliojivunia mandhari kubwa, kama vile Cairo, Johannesburg, Lagos na Nairobi.

Kwanini baadhi ya watu wazima hunywa maziwa ya mama?

Kwanini baadhi ya watu wazima hunywa maziwa ya mama?

Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 03:42:47

Wanasayansi wanakubali kwamba maziwa ya mama hutoa virutubisho na kingamwili kwa watoto na ni muhimu kwa ukuaji wao.

Jinsi Urusi inavyonyakua nyumba za raia wa Ukraine huko Mariupol

Jinsi Urusi inavyonyakua nyumba za raia wa Ukraine  huko Mariupol

Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 09:53:50

Mamlaka ya Urusi imeteka maelfu ya makazi kutoka kwa wakaazi wa Ukraine waliotorioka mjini Mariupol, uchunguzi wa BBC Verify umegundua kuwa jiji hilo linaadhimisha miaka mitatu ya kukaliwa.

Wasichana walivyogeukia ufumaji mazulia baada ya marufuku ya shule Afghanistan

Wasichana walivyogeukia ufumaji mazulia baada ya marufuku ya shule Afghanistan

Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 13:55:00

Tangu kundi la Taliban kunyakua mamlaka mwaka 2021, wasichana wenye umri wa zaidi ya miaka 12 wamezuiwa kupata elimu, na wanawake kutoka kwenye kufanya kazi nyingi.

Sababu na uwezo wa China kwenda jino kwa jino na Marekani katika ushuru wa bidhaa

Sababu na uwezo wa China kwenda jino kwa jino na Marekani katika ushuru wa bidhaa

Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 03:57:07

Marekani ni soko kubwa kwa China, mwaka jana tu nchi hiyo iliuza bidhaa za thamani zaidi ya $400 bilioni nchini Marekani

Uchaguzi Tanzania 2025: Chadema ‘yasusia’ kusaini kanuni za maadili

Uchaguzi Tanzania 2025: Chadema 'yasusia' kusaini kanuni za maadili

Jumamosi, 12 Aprili 2025 saa 11:35:17

Kati ya vyama 19 vya siasa vilivyosajiliwa Tanzania, 18 vimesaini kanuni hizo, na Chadema pekee ndicho kilichosusia.

Mataifa 5 tajiri na masikini zaidi barani Afrika 2025 - IMF

Mataifa 5 tajiri na masikini zaidi barani Afrika 2025 - IMF

Jumapili, 13 Aprili 2025 saa 06:07:41

Shirika la Fedha Duniani IMF limetoa orodha ya mwaka 2025 ya nchi tajiri zaidi na masikini barani Afrika.

Wafahamu viongozi watano wa upinzani Afrika walioshtakiwa kwa uhaini hivi karibuni

Wafahamu viongozi watano wa upinzani Afrika walioshtakiwa kwa uhaini hivi karibuni

Jumatatu, 14 Aprili 2025 saa 03:44:48

Kesi inayofanana na kesi ya TunduLissu wa Tanzania, wawili kati yao walitoka jela na moja kwa moja kushinda urais

Nchi 10 zenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi Afrika 2025

Nchi 10 zenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi Afrika  2025

Alhamisi, 10 Aprili 2025 saa 10:12:44

Ripoti ya hivi majuzi iliofanywa na mtandao wa Marekani wa Global firepower {GFP} ilitathmini nguvu za kijeshi za nchi 145 ulimwenguni, kwa kuzingatia ukubwa wa vifaa, Idadi ya wanajeshi , uwezo wake, fedha, jiografia na rasilimali.

Tundu Lissu ni nani? Mambo 7 yanayomtambulisha mwanasiasa huyu wa Tanzania mwenye misimamo mikali

Tundu Lissu ni nani? Mambo 7 yanayomtambulisha mwanasiasa huyu wa Tanzania mwenye misimamo mikali

Ijumaa, 11 Aprili 2025 saa 04:59:41

April 10, 2025 Lissu, alifikishwa Mahakamani Jijini Dar es Salaam kwa kesi mbili zenye makosa manne, matatu ya uchochezi na moja la uhaini

Uchambuzi wa Titanic ulivyogundua kuhusu saa za mwisho za meli kabla ya kuzama

Uchambuzi wa Titanic ulivyogundua  kuhusu saa za mwisho za meli kabla ya kuzama

Jumatano, 9 Aprili 2025 saa 09:17:49

Uchambuzi wa kina wa uchunguzi kwa kidijitali wa Titanic umefichua mapya kuhusu saa za mwisho za meli iliyokuwa hatarini.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 15 Aprili 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki