__
Hamas imesema kuwa viongozi wake waliolengwa na shambulizi la anga katika mji mkuu wa Qatar Doha wamenusurika , lakini watu sita wameuawa katika shambulio hilo.
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 10:08:14
Maandamano nchini Nepal yaligeuka kuwa mbaya baada ya maelfu ya vijana kuandamana kupinga kuzuiwa kwa mitandao ya kijamii.
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 03:51:12
Shambulio la Doha linaashiria kwamba Benjamin Netanyahu atasonga mbele kwa nguvu katika nyanja zote, anaandika Jeremy Bowen.
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 03:01:07
“Kidogo nirukwe na akili. Karibu hata niwauwe watoto wote watatu. Lakini Mungu amenipa nguvu.”
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 05:00:09
Beki wa Tottenham Micky van de Ven analengwa na Real Madrid, kiungo wa kati wa Manchester United Kobbie Mainoo anataka kuhamia Napoli.
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 02:48:32
Mgombea wa CCM Samia anapambana na vyama 16 kumi na sita ambavyo jumla ya kura walizozipata wagombea wake wote katika uchaguzi uliopita ni nusu milioni ambazo hazifikii hata nusu ya kura ilizopata Chadema.
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 04:33:14
Ujenzi wa bwawa hilo umeleta watu pamoja katika taifa lenye msukosuko, licha ya mabishano nje ya nchi.
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 11:49:45
Kila mwaka kuna visa laki 5 vya kuumwa na nyoka kote ulimwenguni. Katika matukio laki 4, sehemu fulani ya mwili inapaswa kukatwa au kuna ulemavu wa kudumu.
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 09:47:53
“Iwapo microbiome ya mwili haina uwiano, hali hiyo inaweza kusababisha uvimbe wa ndani na wa mwili mzima, jambo linaloweza kusababisha njia ya hewa kuwa nyembamba, kuongezeka kwa homoni za msongo wa mawazo, pamoja na athari nyingine nyingi zinazoweza kuvuruga usingizi kwa muda mrefu.”.Anasema Prof. Jennifer Martin
Jumatatu, 8 Septemba 2025 saa 02:43:11
Ndege hizi ndogo zinaundwa na vijana 13 wakitanzania waliojifunza Tanzania na tayari wameunda ndege 9, na tano kati ya hizo zinatumika kikamilifu.
Jumatatu, 8 Septemba 2025 saa 09:49:59
Maonyesho ya picha za muziki za Dennis Morris na kumbukumbu zake za maisha ya London yanaonyeshwa kwa sasa.
Jumatatu, 8 Septemba 2025 saa 04:56:45
Eneo takatifu la Mlima Sinai nchini Misri ni kitovu cha mzozo usio takatifu kuhusu mipango ya kujenga mradi mkubwa mpya wa utalii.
Jumapili, 7 Septemba 2025 saa 08:53:59
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) imesitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums kwa muda wa siku 90 na pia kuzuia upatikanaji wa jukwaa hilo, kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni
Jumamosi, 6 Septemba 2025 saa 09:35:59
Kitengo maalum cha polisi katika jimbo la Baja California nchini Mexico kinawafuatilia - kwa mafanikio makubwa - wakimbizi wa Marekani ambao wanajaribu kujificha nchini Mexico. Kitengo hiki kimehamasisha maigizo ya video katika mtandao wa Netflix, lakini wanafanyaje kazi, na ni aina gani ya watuhumiwa wanawinda?
Jumatano, 3 Septemba 2025 saa 02:50:53
Mwanaharakati Edgar Mwakabela alitekwa na kuteswa - Katika mojawapo wa visa kadhaa vya utekaji nchini.
Jumatatu, 1 Septemba 2025 saa 03:24:03
Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Julai, 1992, mwaka huu itakuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya uchaguzi mkuu pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani.
Jumanne, 2 Septemba 2025 saa 03:27:20
Bila shaka kampeni za uchaguzi mara nyingi hutoa ahadi kedekede, na asilimia kubwa ya ahadi hizo ni nzuri. Ni mara chache sana kukutana ahadi mbaya za wanasiasa wakati wa kuelekea katika uchaguzi mkuu. Lakini utekelezwaji wa ahadi ni jambo jingine.
Ijumaa, 29 Agosti 2025 saa 02:58:30
Maamuzi makubwa kama kutengua uongozi wa vyama vya siasa, kutengua wagombea yanayofanywa na ofisi ya Msajili ndio yaliibua wasiwasi mwaka 2019, na kuvisukuma vyama 10 vya siasa kufungua kesi katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki (EACJ)
Jumapili, 31 Agosti 2025 saa 07:28:13
Wagombea wa CHAUMMA, Salum Mwalimu kwa urais na mgombea mwenza wake, Devotha Minja, ni waandishi wa habari maarufu wa Tanzania. Hii ndiyo mara ya kwanza katika historia ya Tanzania kwa wana habari wawili kupata fursa hii katika chama kimoja.
Alhamisi, 28 Agosti 2025 saa 03:00:40
Changamoto kubwa ya tiketi hii ya Samia na Nchimbi kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 ipo katika maeneo makubwa mawili ya kitaifa na kimataifa.
Jumatano, 27 Agosti 2025 saa 14:36:18
Tume huru ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imeteua rasmi majina ya wagombea 16 wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Jumanne, 26 Agosti 2025 saa 16:52:58
Katika uamuzi uliotolewa Agosti 26, 2025, Msajili alibainisha kuwa Mpina hakutimiza vigezo vya uanachama kwa mujibu wa kanuni za chama, akisema kuwa alijiunga ACT-Wazalendo nje ya muda uliopangwa na hivyo hakustahili kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.
Jumatatu, 25 Agosti 2025 saa 05:49:51
Katika orodha ya wagombea wa CCM, wapo ambao wametoka katika familia za vigogo wa chama cha Mapinduzi kutoka upande wa Tanzania bara na Zanzibar, kuanzia rais wa sasa na marais wastaafu, pia wanachama wengine wa ngazi ya juu katika chama hicho.
Jumamosi, 23 Agosti 2025 saa 19:31:54
Chama tawala nchini Tanzania, CCM, kimehitimisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wake wa ubunge kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, ambapo matokeo yake yameibua mshangao baada ya baadhi ya majina makubwa kuachwa nje na sura mpya kuteuliwa. Pia imeteua Katibu Mkuu mpya
Jumanne, 5 Agosti 2025 saa 03:57:22
Wabunge kadhaa waliokuwa wakitetea nafasi zao wamejikuta wakiangushwa na wajumbe wa chama hicho katika kura za maoni zilizofanyika Agosti 4, 2025, katika maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Jumatano, 30 Julai 2025 saa 02:59:58
Kuna tofauti ya takribani wapiga kura milioni 6.2 kati ya waliotangazwa kuwa kwenye daftari la wapiga kura (milioni 37.6) na wale waliotarajiwa kuwa na sifa ya kupiga kura, (milioni 31.4) kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022.
Jumanne, 29 Julai 2025 saa 12:53:45
Miongoni mwa waliokosa kurejea ni kigogo wa siasa na aliyewahi kuwa mgombea urais mwaka 2015, Januari Makamba, jina lake halikurudi katika Jimbo la Bumbuli.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 09:51:40
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na madiwani, utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 03:54:37
Kwa muda sasa, kuna mvutano mkubwa unaoendelea hadharani kati ya vyama viwili vikuu vya upinzani Tanzania, CHADEMA na ACT Wazalendo.
Ijumaa, 5 Septemba 2025 saa 03:42:54
Ripoti mpya ya Africa Wealth Report 2025, iinaonyesha kwa sasa, Afrika ina jumla ya mabilionea 25 kutoka nchi 7 pekee, Tanzania ikipenya. Bara hili pia lina centi-milionea 348 (wale wenye utajiri wa angalau dola milioni 100), na zaidi ya mamilionea 122,500.
Ijumaa, 5 Septemba 2025 saa 04:40:02
Ingawa leo hii ardhi ya Hijaz haina kabisa wafuasi wa Uyahudi na Ukristo au dini nyingine yoyote isipokuwa Uislamu,wanahistoria wengi wanaamini kwamba dini hizi mbili zina historia ya kale sana huko Makka na Madina, miji miwili mitakatifu ya Uislamu
Alhamisi, 4 Septemba 2025 saa 04:46:54
China imezindua idadi kubwa ya silaha mpya, ndege zisizo na rubani na vifaa vingine vya kijeshi katika gwaride kubwa ambalo waangalizi wengi wanaona kuwa ni ujumbe wa wazi kwa Marekani na washirika wake.
Ijumaa, 29 Agosti 2025 saa 04:50:33
Wakati Hermann Rothman, Myahudi Mjerumani anayefanya kazi katika shirika la ujasusi la Uingereza, alipoamka asubuhi ya 1945, hakujua jinsi ujumbe wake ulikuwa muhimu na wa kipekee.
Jumanne, 2 Septemba 2025 saa 05:47:54
Ndege aina ya Boeing B-29 ilikuwa mshambuliaji mahiri zaidi wa Vita vya Pili vya Dunia, na ilikuwa ghali zaidi kuiunda kuliko mabomu ya nyuklia iliyodondosha.
Alhamisi, 21 Agosti 2025 saa 04:21:16
Mwandishi huyo mwenye umri wa miaka 29 mara nyingi huangazia masuala ya maslahi ya binadamu yanayolenga kufichua ukosefu wa haki na kupaza sauti za jamii zilizotengwa.
Jumatano, 13 Agosti 2025 saa 13:02:45
Ikiwa ishara hizi zitatambuliwa kwa wakati, matibabu ya magonjwa yanayohusiana na figo yanaweza pia kuanza mapema.
Ijumaa, 5 Septemba 2025 saa 11:49:38
Ukanda wa ardhi kati ya Lithuania na Poland, unaojulikana kama Suwalki Gap, mara nyingi hujulikana kama sehemu dhaifu zaidi ya Nato. Wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaona eneo hilo kama kigezo kinachowezekana ikiwa kungekuwa na mzozo kati ya nchi za Nato na Urusi.
Jumatano, 3 Septemba 2025 saa 09:50:17
Kulingana na shirika la kijasusi la Korea Kusini, Ju Ae ndiye anayetarajiwa kuwa mrithi wa babake.
Jumatatu, 11 Agosti 2025 saa 02:58:38
Iwapo wewe ni mgeni katika ukanda wa Afrika ya Mashariki basi ninapotaja majina haya mawili , ni vigumu kuelewa kwa nini yametajwa katika sentensi moja.
Jumanne, 2 Septemba 2025 saa 10:44:47
Meli ya Titanic labda ndiyo meli maarufu zaidi katika historia, ambayo bado ina msukumo zaidi ya karne moja baada ya kuzama.
Jumamosi, 6 Septemba 2025 saa 05:16:54
Majengo ya kwanza ya Ziggurati yana umri mrefu zaidi ya piramidi za Wamisri, kuna mabaki ya majengo hayo huko Iraq na Iran.
Jumatatu, 1 Septemba 2025 saa 13:02:47
Watoto wawili wadogo wa Carolyne Odour walitoweka na baba yao mfuasi wa Paul Mackenzie aliyejitangaza kuwa Mchungaji.
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 10 Septemba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 9 Septemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 8 Septemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 5 Septemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 4 Septemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki