
Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 13:26:33
Akizungumza leo wakati wa kulifungua bunge, Rais Samia alisema kuwa vijana hao wengine walifuata mkumbwa hivyo waachiwe kwa utaratibu na kurejeshwa kwa familia zao.

__
Mawakili wa Trump wametishia kuishtaki BBC kwa fidia ya $1bn (£759m).

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 08:27:40
“Mimi umasikini wa Tanzania sijausoma kwenye kitabu nimeuishi, miaka takribani 32 nimeishi katika maisha hayo ya umasikini”, alisema Nchemba mara baada ya kuthibitishwa bungeni. “ Mwigulu anakuwa Waziri wa 12 tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania.

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 11:59:26
Haya ni majina ya timu za mpira wa miguu za Afrika, ambazo baadhi yake hubuniwa na waandishi wa habari wenye bashasha na ubunifu katika kuripoti ushujaa katika mchezi huu adhimu.

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 09:48:32
Sukari nyingi tunazotumia kila siku zimefichwa, na wengi wetu tunakula zaidi ya kiwango kinachopendekezwa.

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 06:57:32
Wabunge wa Marekani wamefichua zaidi ya kurasa 20,000 za hati kutoka kwa mali ya mfadhili aliyefedheheshwa na mhalifu wa ngono Jeffrey Epstein, ikiwemo baadhi zinazomtaja Rais Donald Trump.

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 03:32:22
Manchester United wanatazamia dili la Januari kwa Karim Adeyemi, Chelsea kuandaa ofa ya kumnunua Julian Alvarez na Liverpool na Tottenham kumnasa Antoine Semenyo.

__
Mudavadi alibainisha kuwa inakadiriwa kwamba mitandao ya usajili ingali inaendelea na kazi hiyo nchini Kenya na Urusi.

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 09:58:01
Kwa ujumla, siku za hivi karibuni, matamko kutoka Umoja wa Mataifa yamekuwa yakipuuzwa au kutokuchukuliwa kwa uzito unaostahili.

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 12:02:38
Mambo muhimu bado hayajatatuliwa, kama vile kupokonya silaha Hamas, ujenzi mpya na utawala wa baadaye wa Gaza, au kupelekwa kwa kikosi cha usalama cha kimataifa katika eneo hilo.

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 04:35:23
Kwa miongo kadhaa, Tanzania imekuwa mfano wa amani na utulivu katika ukanda uliojaa migogoro. Lakini hivi karibuni iamani yake imeingia majaribuni

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 11:58:04
Ingawa roboti hizi zinachukuliwa kuwa za kuburudisha, ushahidi unaonyesha hatari zake ni kubwa.

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 09:35:42
Homa ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa ambukizi yanaongoza kwa kusabisha vifo vingi miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.

__
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za binadamu ameitaka Tanzania kuchunguza madai haya mazito ya ukiukaji wa haki za binadamu, kikamilifu na kwa uwazi, na kuwawajibisha wale waliohusika.

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 10:50:37
Mwezi Oktoba, picha zinaonyesha mwanaume akiwa amefungwa mikono na miguu na kuning’inizwa kichwa chini miguu juu kwenye minyororo ya chuma.

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 03:18:21
Je, ushindi wa viongozi hawa huakisi kweli kukubalika kwao au kuna mambo mengine ya haramu nyuma ya pazia yanayosukuma ushindi huu?

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 03:09:25
Ili kuzuia kisitokee kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 , Tanzania lazima ichague aina ya maridhiano yenye mizizi katika ukweli, uwajibikaji na matumaini ya pamoja. Nchi za Afrika Kusini, Rwanda, Kenya, Chile au Colombia ni mifano mizuri ya aina mbalimbali za maridhiano ambayo Tanzania inaweza kujifunza.

Jumatatu, 10 Novemba 2025 saa 03:16:03
Zaidi ya vijana 400 wamefikishwa Mahakamani katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kwa makosa ya uhaini na kuharibu mali kutokana na maandamano ya siku tatu, kuanzia Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi mkuu.

__
Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche alikamatwa zaidi ya wiki tatu zilizopita bila kufikishwa mahakamani, na hata familia yake haikujua alipo.

Jumamosi, 8 Novemba 2025 saa 05:35:05
Jeshi la polisi nchini Tanzania limetangaza msako mkali wa kuwatafuta watu wanaowatuhumu kwa kupanga kuratibu na kutekeleza maandamano ya vurugu ya Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 katika mikoa mbalimbali nchini humo

Ijumaa, 7 Novemba 2025 saa 09:59:41
Ni takriban juma moja sasa tangu Tanzania imalize uchaguzi mkuu wake. Hata hivyo matukio yaliyofanyika nchini humo wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 bado yanaendelea kujadiliwa ndani na nje ya Tanzania.

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 14:36:42
Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025 ulishindwa kukidhi viwango vya kidemokrasia vya jumuiya hiyo,

Jumamosi, 1 Novemba 2025 saa 07:59:16
Soma kuhusu matukio muhimu yaliyoibua kipindi kibaya cha machafuko ya hivi karibuni katika historia ya Tanzania .

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 08:54:05
Kutoka kuwa afisa wa maendeleo na serikali ya mkoa wa Zanzibar hadi Raisi wa Jamhuri ya Tanzania. Mfahamu Samia Suluhu Hassan.

Jumanne, 28 Oktoba 2025 saa 04:48:24
Oktoba 29, 2025, ni siku muhimu kwa Tanzania. Ni siku ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani tukio la kikatiba linalotazamwa kama kilele cha demokrasia ya taifa. Lakini mwaka huu, siku hiyo hiyo imechukua sura mbili. Uchaguzi wengine wakiitisha maandamano.

Ijumaa, 31 Oktoba 2025 saa 07:09:44
Kwa mara ya kwanza kabisa maandamano yameshuhudiwa siku ya uchaguzi katika baadhi ya sehemu za Tanzania nchi ambayo ilikuwa imejiwekea hadhi ya ujamaa.

Jumatatu, 27 Oktoba 2025 saa 08:44:06
Rais Samia Suluhu Hassan hana ushindani thabiti kwenye uchaguzi unaokaribia.

Jumatatu, 27 Oktoba 2025 saa 04:56:10
Katika kila jukwaa la siasa, utasikia maneno ya maombi; katika kila madhabahu, maneno ya haki, amani, uadilifu au uwajibikaji. Lugha hizi, zenye mizizi ya kiimani, mara nyingi huibua mijadala ya kisiasa

Jumamosi, 25 Oktoba 2025 saa 08:33:28
Ualbino, ambao unaathiri takriban watu 30,000 nchini Tanzania, ni tatizo la kimaumbile ambalo hupunguza melanini – inayoifanya ngozi, macho na nywele kuwa na rangi.

Ijumaa, 24 Oktoba 2025 saa 02:49:48
Katiba ya sasa ya Tanzania haiwaruhusu raia wa nchi hiyo kuwa na uraia pacha. Sheria hiyo iliyopitishwa mwaka 1965 inasema Mtanzania mwenye uraia wa nchi nyingine anapotimiza umri wa miaka 18 anapoteza uraia wake wa Tanzania moja kwa moja.

Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 03:26:27
Wakati Tanzania ikielekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, kuna ahadi za wagombea urais ambazo huzusha mijadala mikubwa miongoni mwa wananchi. Mijadala hii huibuka kwa sababu nyingi ya ahadi hizi huonekana ni ngumu kutekelezeka au ni vituko.

Jumatano, 15 Oktoba 2025 saa 02:53:13
Wakati huu Tanzania ikijiandaa na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, na kampeni za wagombea mbalimbali zikiendelea. Swali linaloibuka: Je, ilani za vyama vya siasa zinazingatia mahitaji ya vijana?

Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 02:59:15
Zimesalia wiki mbili pekee kabla ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kufanyika Oktoba 29, 2025.

Jumatatu, 6 Oktoba 2025 saa 02:54:26
Upinzani wenye nguvu umezongwa na kila aina ya kashikashi hata umekwama kushiriki uchaguzi kikamilifu. Uhuru wa vyombo vya habari bado ni suala lenye utata.

Jumatano, 8 Oktoba 2025 saa 03:52:34
Ingawa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uchaguzi wa Zanzibar hujitofautisha kwa njia nyingi za kipekee zinazofanya matokeo yake kuwa na uzito mkubwa zaidi ya kura.

Jumatatu, 10 Novemba 2025 saa 11:07:43
Tanzania bado imegubikwa na matokeo ya ghasia mbaya zaidi za baada ya uchaguzi, mgogoro ambao umetikisa sifa yake ya muda mrefu kama mwanga wa amani na utulivu barani Afrika.

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 11:23:33
Kusainiwa kwa makubaliano ya Syria kujiunga na “Muungano wa Kimataifa wa Marekani wa Kupambana na ISIS” katika Mashariki ya Kati, kuboresha uhusiano na Israel, na kuijenga upya Syria itakuwa miongoni mwa malengo muhimu zaidi ya ziara hii.

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 04:56:32
Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar amesema kuwa Israel haitakubali kuwepo kwa wanajeshi wa Uturuki huko Gaza.

__
Kiongozi huyo wa muda mrefu wa Uganda anayalaumu “makundi ya kigeni” kwa kuchochea machafuko.

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 05:38:24
Musk ametoa mabilioni ya dola katika hisa kwa mashirika ya misaada na kuahidi mamilioni zaidi kwa mashirika mbalimbali, kulingana na nyaraka za kisheria za Marekani.

Jumapili, 9 Novemba 2025 saa 08:30:09
Urais wa miaka tisa wa Jacob Zuma, uliojaa utata, ulikoma mwaka wa 2018 huku kukiwa na madai mengi ya ufisadi, yote yakikanushwa.

Jumanne, 4 Novemba 2025 saa 08:43:12
Mohamed Hamdan Dagolo aidha ataongoza eneo lililojitenga ama atachukua udhibiti wa nchi nzima, Wasudan wanasema.

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 13:06:35
Ni siku ya sita sasa ambapo mtandao wa intaneti umeminywa nchini Tanzania.

Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 09:50:46
Ushawishi wa Raila Odinga ambaye alikuwa kiongozi mwanzilishi wa ODM, haukuwa na kifani.

Jumanne, 7 Oktoba 2025 saa 09:57:15
Kabla ya Polepole kuripoti kwa DCi Jumatatu ya Octoba 6, 2025 Taanzania iliamka na taarifa za kutekwa kwake na watu wasiofahamika ambao wanaripotiwa kuvamia nyumbani kwa Polepole usiku, kuvunja milango tofauti na kuondoka naye kwenda sehemu isiyojulikana.

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki