world-service-rss

BBC News Swahili

DRC na Rwanda watia saini mkataba wa amani

DRC na Rwanda watia saini mkataba wa amani

__

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi na Paul Kagame wa Rwanda walipongeza makubaliano hayo yenye lengo la kumaliza mzozo uliodumu kwa miongo kadhaa katika eneo hilo.

Je, miamba ya ajabu inayopatikana kwenye sayari ni ishara ya uhai?

Je, miamba ya ajabu inayopatikana kwenye sayari ni ishara ya uhai?

Ijumaa, 5 Desemba 2025 saa 03:12:16

Hii ina maana kwamba vipimo vya ziada vinahitajika ili kubaini ikiwa kuna chanzo cha kibiolojia.

Tetesi za soka Ijumaa: Salah huenda akaelekea Saudia

Tetesi za soka Ijumaa: Salah huenda akaelekea Saudia

Ijumaa, 5 Desemba 2025 saa 03:37:06

Ligi Kuu ya Saudia bado iko katika nafasi ya kufadhili uhamisho wa Mohamed Salah endapo mshambuliaji huyo wa Misri ataamua kuondoka Liverpool.

Maandamano Tanzania: Marekani kutathmini upya uhusiano wake na taifa hilo

Maandamano Tanzania: Marekani kutathmini upya uhusiano wake na taifa hilo

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 15:27:19

Marekani imesema kuwa inatathimini upya uhusiano wake na Tanzania kufuatia mauaji ya raia wengi wakati wa uchaguzi mkuu wa hivi karibuni.

Putin asema Urusi itachukua eneo lote la Ukraine la Donbas kwa nguvu

Putin asema Urusi itachukua eneo lote la Ukraine la Donbas kwa nguvu

__

Putin alituma makumi ya maelfu ya wanajeshi nchini Ukraine mnamo Februari 2022 baada ya miaka minane ya mapigano kati ya watu wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Urusi na wanajeshi wa Ukraine katika eneo la Donbas.

Trump kuongoza utiaji saini wa makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda

Trump kuongoza utiaji saini wa makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 07:53:53

Viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda wako tayari kusaini makubaliano ya amani yanayolenga kumaliza mzozo wa muda mrefu katika eneo hilo.

Kwa nini mamilioni ya mapipa ya mafuta ya Iran yamekwama baharini?

Kwa nini mamilioni ya mapipa ya mafuta ya Iran yamekwama baharini?

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 13:22:03

Viwanda vidogo vya kusafishia mafuta nchini Chinma vimekuwa wanunuzi wakuu wa mafuta ghafi ya Iran.

Fujian: Meli ya kubeba ndege ya China inayoweza kuibua ushindani wa silaha baharini na Marekani

Fujian: Meli ya kubeba ndege ya China inayoweza kuibua ushindani wa silaha  baharini na Marekani

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 11:13:02

Chombo cha tatu cha kubeba ndege cha China, ambacho kilianza kuhudumu mnamo Novemba 2025, kitapita watangulizi wake wawili, wataalam wanasema, na kuifanya Beijing kukaribia kuafikia lengo lake la changamoto ya kutawala kwa Marekani katika eneo la magharibi la Pasifiki.

Je, yalikuwa mapinduzi ya ‘uongo’? Kilicho nyuma ya uvamizi wa kijeshi Guinea-Bissau

Je, yalikuwa mapinduzi ya 'uongo'? Kilicho nyuma ya uvamizi wa kijeshi Guinea-Bissau

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 03:06:34

Mazingira mengine ya tukio hilo yameibua maswali, huku Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko na Rais wa zamani wa Nigeria Goodluck Jonathan wakiungana na wengine wanaoamini kuwa kutwaa madaraka huko kulipangwa na Embaló mwenyewe.

Jinsi Wasomali watakavyoathirika kutokana na shutuma za Rais Trump

Jinsi Wasomali watakavyoathirika kutokana na shutuma za Rais Trump

Jumatano, 3 Desemba 2025 saa 09:35:45

“Marekani wanaleta athari kubwa kiuchumi kwa nchi ya Somalia kwa sababu wanaipa serikali ruzuku… wamekuwa na athari kubwa kwetu kiuchumi, kijamii na kisiasa”, Dkt. Shafi Sharif Mohamed, mtafiti wa Mogadishu, ameiambia BBC Somali.

Maandamano Tanzania: Serikali yamburuza Mahakamani mwanaharakati Mange Kimambi

Maandamano Tanzania: Serikali yamburuza Mahakamani mwanaharakati Mange Kimambi

Jumatano, 3 Desemba 2025 saa 05:42:54

Tovuti rasmi ya Mahakama nchini Tanzania, inaonesha kuwa kesi hiyo itatajawa kwa mara ya kwanza Alhamisi wiki hii ya Disemba 4, 2025

Jinsi Wasomali watakavyoathirika kutokana na shutuma za Rais Trump

Jinsi Wasomali watakavyoathirika kutokana na shutuma za Rais Trump

Jumatano, 3 Desemba 2025 saa 09:35:45

“Marekani wanaleta athari kubwa kiuchumi kwa nchi ya Somalia kwa sababu wanaipa serikali ruzuku… wamekuwa na athari kubwa kwetu kiuchumi, kijamii na kisiasa”, Dkt. Shafi Sharif Mohamed, mtafiti wa Mogadishu, ameiambia BBC Somali.

Tanzania kwenye mzani wa nani ‘beberu’ nani mfadhili

Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili

Jumatano, 3 Desemba 2025 saa 02:54:13

Katika dhana ya ubeberu, kuna pia neno la “vibaraka” watu wanaotumika au wanaoonekana kutumika na masilahi ya mataifa makubwa yanayotajwa ya mabeberu.

‘Who are you?’ na hoja 6 zilizotikisa hotuba ya Rais Samia

'Who are you?' na hoja 6 zilizotikisa hotuba ya Rais Samia

Jumanne, 2 Desemba 2025 saa 13:50:17

Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, ambayo ilichukua takribani saa moja, iligusa masuala kadhaa kuzungumza maandamano ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya uchaguzi ambayo BBC imeyachambua kupata hoja sita kubwa

Rais Samia -Nguvu Iliyotumika Oktoba 29 ilistahili

Rais Samia -Nguvu Iliyotumika Oktoba 29 ilistahili

Jumanne, 2 Desemba 2025 saa 10:30:32

Akizungumza na wazee wa Dar es Salaam, Rais Samia alisema nguvu iliyotumika na vyombo vya dola ilikuwa ya lazima kulinda amani na kuzuia kile alichokitaja kama jaribio la kuvuruga utulivu wa nchi na mapinduzi.

Mandamano Tanzania: Maswali 9 magumu kwa Tume ya Oktoba 29

Mandamano Tanzania: Maswali 9 magumu kwa Tume ya Oktoba 29

Jumatatu, 1 Desemba 2025 saa 14:15:18

Jaji Othman Chande alisema uchunguzi utafanyika zaidi katika maeneo yaliyoathirika na ghasia Tanzania, lakini pia tume itakusanya ushahidi kutoka maeneo ambayo hakukuwa na matukio ili “kuelewa tofauti za mazingira na sababu

Tanzania: Tunashughulikia azimio la Umoja wa Ulaya kidiplomasia

Tanzania: Tunashughulikia azimio la Umoja wa Ulaya kidiplomasia

__

Waziri wa Mambo ya nje wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, leo amekutana na wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania.

Hatua ya bunge la Ulaya dhidi ya Tanzania ina maana gani?

Hatua ya bunge la Ulaya dhidi ya Tanzania ina maana gani?

Ijumaa, 28 Novemba 2025 saa 03:29:33

Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya umedumu kwa miongo kadhaa, ukijengwa juu ya misaada, mikopo nafuu, ushirikiano wa kibiashara na miradi ya mageuzi ya kiuchumi na kijamii.

Bunge la Ulaya lapitisha azimio la kuitaka kamisheni kusitisha ufadhili kwa Tanzania

Bunge la Ulaya lapitisha azimio la kuitaka kamisheni kusitisha ufadhili kwa Tanzania

Alhamisi, 27 Novemba 2025 saa 15:34:34

Hatahivyo, jukumu kuu la kusitisha ama kuendelea kuifadhili Tanzania lipo mikononi mwa kamisheni hiyo ya umoja wa Ulaya.

Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu kuhusu Oktoba 29 Tanzania

Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu kuhusu Oktoba 29 Tanzania

Jumatano, 26 Novemba 2025 saa 09:22:10

Idadi ya vifo, miili kutopatikana, tuhuma za kaburi la halaiki, utekaji, uhuru wa habari na madai ya hujuma za kiuchumi yalikuwa maeneo yaliyogusiwa na kujibiwa na Waziri Mkuu

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka ICC kuichunguza serikali ya Tanzania

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka ICC kuichunguza serikali ya Tanzania

__

Muungano wa kimataifa wa wanasheria na makundi ya haki za binadamu umeiomba rasmi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumchunguza rais wa Tanzania, na serikali yake kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Gen Z Tanzania wanavyozima udini kwa utani na ubunifu

Gen Z Tanzania wanavyozima udini kwa utani na ubunifu

Jumanne, 25 Novemba 2025 saa 03:28:54

Kwa takribani wiki moja sasa, mijadala ya udini imechukua nafasi kubwa katika mazungumzo ya mtandaoni nchini Tanzania, kufuatia matamko ya baadhi ya viongozi wa dini kuhusu maandamano na mabadiliko ya kisiasa nchini humo.

Machafuko yaliyoshuhudiwa Tanzania yalichochewa kutoka nje- Waziri Mkuu

Machafuko yaliyoshuhudiwa Tanzania yalichochewa kutoka nje- Waziri Mkuu

__

Serikali ya Tanzania, imedai kuwa maandamano yaliyosababisha maafa mabaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya taifa hilo, yalipangwa na kudhaminiwa na watu wenye nia mbaya na maslahi ya taifa hilo.

Maandamano Tanzania: Kwanini vuguvugu la Gen Z si la Tanzania peke yake?

Maandamano Tanzania: Kwanini vuguvugu la Gen Z si la Tanzania peke yake?

Jumatatu, 24 Novemba 2025 saa 02:54:30

Ripoti ya taasisi ya utafiti na maarifa ya Tricontinental imeweka bayana mambo saba yanayozungumzia harakati za kisiasa za Gen Z na namna wanavyoonesha na kuwasilisha malalamiko na hasira zao.

Zijue hoja 7 za kuchunguzwa kuhusu kilichotokea Oktoba 29 Tanzania

Zijue hoja 7 za kuchunguzwa kuhusu kilichotokea Oktoba 29 Tanzania

Alhamisi, 20 Novemba 2025 saa 09:29:21

Rais Samia hakukubali wala kupinga hoja ya kuundwa kwa tume ya kimataifa, bali alisisitiza kuwa tume ya ndani iwe ya kwanza kufanya kazi ili timu zitakazokuja kutoka nje zishirikiane na watoa taarifa waliokwishaanza uchunguzi.

Serikali ya Tanzania yavikosoa vyombo vya habari vya kimataifa

Serikali ya Tanzania yavikosoa vyombo vya habari vya kimataifa

Jumapili, 23 Novemba 2025 saa 12:01:03

Msemaji wa serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amevikosoa vyombo vya habari vya nje akivitaka kufuata maadili ya habari.

Rais Samia: “Yaliyotokea yametutia doa”

Rais Samia: "Yaliyotokea yametutia doa"

Jumanne, 18 Novemba 2025 saa 11:17:33

Rais Samia alisema kuwa uchumi wa Tanzania bado unategemea kwa kiwango kikubwa mikopo ya nje, na kwamba sintofahamu ya kisiasa iliyojitokeza inaweza kurudisha nyuma jitihada za kusaka fedha nje

Jinsi polisi walivyotumia nguvu kuvunja maandamano Tanzania

Jinsi polisi walivyotumia nguvu kuvunja  maandamano Tanzania

Jumatatu, 17 Novemba 2025 saa 08:21:01

Umoja wa Mataifa unasema mama ya watu waliuawa kwenye maandamano. Video tulizothibitisha zinaonyesha polisi walitumia nguvu kubwa katika katika harakati za kuzima maandamano hayo.

Jumuiya ya Madola yamteua Chakwera kuwa msuluhishi Tanzania

Jumuiya ya Madola yamteua Chakwera kuwa msuluhishi Tanzania

Jumatatu, 17 Novemba 2025 saa 16:37:46

Maandamano ya siku 3 kuanzia Oktoba 29 , 2025 siku ya uchaguzi, yameacha alama kubwa inayoashiria mpasuko mkubwa wa kisiasa nchini humo.

Vita vya Siku 12; Iran yatoa video za mashambulizi ya Israel kwenye kituo cha mfumo wa ulinzi

Vita vya Siku 12; Iran yatoa video za mashambulizi ya Israel kwenye kituo cha mfumo wa ulinzi

Jumanne, 2 Desemba 2025 saa 03:14:25

Katika hali isiyo ya kawaida, Shirika la Utangazaji la Iran (IBRC) lilitoa video za mashambulizi ya Israel dhidi ya kituo cha udhibiti wa ulinzi wa anga na kituo cha ulinzi cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Maelfu ya watu wanadhaniwa kuathiriwa na kemikali hatari wakati wa maandamano ya kupinga serikali Georgia

Maelfu ya watu wanadhaniwa kuathiriwa na kemikali hatari wakati wa maandamano ya kupinga serikali Georgia

Jumatatu, 1 Desemba 2025 saa 07:32:54

Mamlaka ya Georgia ilisema kwamba matokeo ya uchunguzi wetu ni “upuuzi” na kwamba polisi walitenda kisheria kama jibu kwa “matendo haramu ya wahalifu wenye ukatili.”

Nchi 10 za Afrika zilizoathirika na tathmini mpya ya ‘Green Card’, Tanzania ipo?

Nchi 10 za Afrika zilizoathirika na tathmini mpya  ya 'Green Card', Tanzania ipo?

Jumatatu, 1 Desemba 2025 saa 09:47:49

Masharti mapya yanaweza kuongeza ucheleweshaji wa vibali, kufunga milango ya uhamiaji, na kuongeza wasiwasi miongoni mwa familia zilizo katika hatua mbalimbali za maombi ya kadi kijani ‘Green Card’.

Viongozi 10 maarufu Afrika waliowahi kushtakiwa Mahakama ya ICC

Viongozi 10 maarufu Afrika waliowahi kushtakiwa Mahakama ya ICC

Alhamisi, 27 Novemba 2025 saa 03:33:54

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi uliopita

Kwanini vita dhidi ya ukatili wa wanawake ni ya kipekee?

Kwanini vita dhidi ya ukatili wa wanawake ni ya kipekee?

Jumamosi, 29 Novemba 2025 saa 10:08:58

Umoja wa Mataifa (UN) inakadiria zaidi ya wanawake 818 milioni duniani wamepitia ukatili wa kimwili au kijinsia idadi inayokaribia idadi ya watu wote wa Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Benjamin Netanyahu amuomba rais wa Israel amsamehe

Benjamin Netanyahu amuomba rais wa Israel amsamehe

__

Netanyahu amekuwa akikabiliwa na kesi kwa miaka mitano iliyopita kwa tuhuma za hongo, ulaghai na uvunjaji wa uaminifu kuhusiana na kesi tatu tofauti.

Yafahamu mambo 9 yatakayojadiliwa na Bunge la Ulaya kuhusu Tanzania

Yafahamu mambo 9 yatakayojadiliwa na Bunge la Ulaya kuhusu Tanzania

Alhamisi, 27 Novemba 2025 saa 05:16:56

Bunge la Ulaya leo Novemba 27, 2025 litajadili azimio linalohusiana na matukio ya Oktoba 29, 2025 siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi nchini Tanzania, haki za binadamu, ikiwemo kesi ya kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.

Ligi ya Mabingwa: Jedwali, matokeo na timu zipi ziko mbioni kufuzu kwa awamu ya mtoano

Ligi ya Mabingwa: Jedwali, matokeo na timu zipi ziko mbioni kufuzu kwa awamu ya mtoano

Alhamisi, 27 Novemba 2025 saa 12:08:10

Huku mashindano ya ligi ya mabingwa yakielekea katika raundi ya moandoano jumla ya mechi 18 zilichezwa siku ya Jumanne na Jumatano.

Nani wa kuizuia Arsenal msimu huu?

Nani wa kuizuia Arsenal msimu huu?

Jumatatu, 24 Novemba 2025 saa 04:54:08

Siku mbili baada ya sare ya kustaajabisha ya The Gunners dhidi ya Sunderland kuwapa wapinzani wao wa Ligi Kuu matumaini mapya, ushindi wa Jumapili dhidi ya Tottenham umewarudisha kwenye kilele.

Kuwasaka wauaji na wauzaji wa viungo vya miili ya binadamu kwa ajili ya ‘matambiko’

Kuwasaka wauaji na wauzaji wa viungo vya miili ya binadamu kwa ajili ya 'matambiko'

Jumatatu, 24 Novemba 2025 saa 09:57:45

Huku familia nyingi zikiachwa na kiwewe kutokana na mauaji yanayohusishwa na mila za kichawi nchini Sierra Leone, BBC Africa Eye inachunguza wale wanaofanya biashara ya viungo vya mwili wa binadamu.

Marais na mawaziri wakuu waliowahi kufungwa duniani

Marais na mawaziri wakuu waliowahi kufungwa duniani

Jumatano, 26 Novemba 2025 saa 03:58:44

Katika dunia ambayo zamani ilionekana kutokufikika kwa marais waliomaliza muda wao, mkondo wa haki unaendelea kuwafikia wale waliowahi kushikilia madaraka makubwa.

Kwa nini wanawake hawawaoneshi wapenzi wao kwenye mtandao?

Kwa nini wanawake hawawaoneshi wapenzi wao kwenye mtandao?

Jumatatu, 24 Novemba 2025 saa 10:55:18

Wafuasi zaidi ya 33,000 wa Tawana Musaburi kwenye ukurasa wake wa Instagram wanaweza kudhani kuwa wanajua kila kitu kuhusu maisha yake, lakini wengi wao hawajaona uso wake.

Kwa nini Trump ameshindwa kumshawishi Putin kumaliza mzozo wa Ukraine?

Kwa nini Trump ameshindwa kumshawishi Putin kumaliza mzozo wa Ukraine?

Jumatano, 19 Novemba 2025 saa 02:57:36

Mwanzoni mwa muhula wa pili wa Trump, kwa mara ya kwanza tangu Urusi ivamie Ukraine kikamilifu, serikali za Marekani na Urusi zilifanya mazungumzo ya ana kwa ana.

“Kazi yetu ni kuua tu”

"Kazi yetu ni kuua tu"

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 10:50:37

Mwezi Oktoba, picha zinaonyesha mwanaume akiwa amefungwa mikono na miguu na kuning’inizwa kichwa chini miguu juu kwenye minyororo ya chuma.

Kwa nini Papa anataka ‘kusahihisha’ sifa ya Bikira Maria, mama yake Yesu?

Kwa nini Papa anataka 'kusahihisha' sifa ya Bikira Maria, mama yake Yesu?

Jumatatu, 17 Novemba 2025 saa 05:27:17

Marekebisho kuhusu sifa na hadhi ya Maria hayakulenga kupinga makanisa ya kiinjili, bali kutoa uelewa wazi kuwa Kristo pekee ndiye Mwokozi na Mpatanishi, jambo linalosaidia kuondoa changamoto za kimtazamo wa kitheolojia.

Wanyama wanaokwepa kifo kupitia uwezo wa kinga zao

Wanyama wanaokwepa kifo kupitia uwezo wa kinga zao

Jumapili, 30 Novemba 2025 saa 04:01:04

Wanasayansi wanaanza kufunua ulinzi huu wa ajabu wa antitoxin na wanatumai kwamba utafiti huu utasababisha matibabu bora ya sumu kwa wanadamu.

Kwa nini Trump sasa anataka faili za Esptein ziwekwe hadharani?

Kwa nini Trump sasa anataka faili za Esptein ziwekwe hadharani?

Jumanne, 18 Novemba 2025 saa 09:58:37

Trump amekuwa akikabiliwa na uwezekano wa uasi baada ya idadi kubwa ya Wabunge wa Republican kuashiria kuwa watapiga kura kuunga mkono kuachiliwa faili hizo licha ya upinzani wa hapo awali wa rais huyo.

Tamko la Umoja wa Mataifa dhidi ya madai ya mauaji ya Tanzania lina maana gani?

Tamko la Umoja wa Mataifa dhidi ya madai ya mauaji ya Tanzania lina maana gani?

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 09:58:01

Kwa ujumla, siku za hivi karibuni, matamko kutoka Umoja wa Mataifa yamekuwa yakipuuzwa au kutokuchukuliwa kwa uzito unaostahili.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 5 Desemba 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 5 Desemba 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 4 Desemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 3 Desemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 2 Desemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatatu, 1 Desemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki