
__
Kesi ya uhaini dhidi ya Kiongozi wa Upinzani nchini Tanzania imesikilizwa leo jijini Dar es Salamaa.

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 11:03:51
baada ya mechi za mwisho wa wiki za FA Cup na maamuzi mengi yaliyohusika ya utata, mjadala umeibuka kuhusu VAR. Ibaki au iondolewe? Uamuzi sahihi au kuharibu utamu?

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 09:53:23
Kufunga kwa wakatoliki hujikita sana kwa maisha ya kiroho na huruma ya mtu, kwa hivyo wakati wa kufunga si kubadilisha tu lishe,bali tabia na mienendo ya mtu.

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:06:05
Sumu, epibatidine, inaweza kupatikana kwa vyura porini Amerika Kusini au kutengenezwa katika maabara.

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:55:58
Mataifa yaliyo kusini mwa ikweta yatashuhudia mfungo wa muda mfupi.

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 03:11:32
Murillo anawaniwa na vilabu vya soka vya London, mchezaji mwenzake wa Nottingham Forest Morgan Gibbs-White huenda akaelekea Manchester City, na Everton inafukuzia Harry Wilson Fulham

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:45:56
Kuachana kimapenzi ni ngumu. Kutoka wakati mmoja hadi mwingine, unapoteza mtu ambaye ulishiriki naye kila kitu. Lakini kudumisha urafiki na mpenzi wako wa zamani kunaweza kuumiza vile vile.

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:41:22
Kundi la Boko Haram, wapiganaji wa Islamic State West Africa Province (ISWAP) na makundi mengine, yameongeza mashambulizi yao kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:47:21
Je, ungekuwa mtu tofauti iwapo ungekulia mahali pengine?

Jumapili, 15 Februari 2026 saa 06:43:46
Wanaume hunusa harufu ya mwili wa wanawake kuwa ya kuvutia zaidi wakati wa kipindi cha rutuba katika mzunguko wa hedhi, na isiyovutia sana wakati wa hedhi. Hali hii huenda iliwasaidia mababu zetu wa kale kutambua wenza bora wa kuzaa. Vilevile, viwango vya juu vya homoni ya testosteroni kwa wanaume vinaweza kuboresha harufu yao.

Jumamosi, 14 Februari 2026 saa 11:15:03
Wafanyabiashara hujipatia pesa haraka, wakiuza maua ambayo ndio tu yametoka mashambani, hasa ukizingatia kuwa Kenya ni mojawapo ya wazalishaji wakuu wa maua duniani.

Jumamosi, 14 Februari 2026 saa 03:49:43
Matumizi ya Brufen kwa wingi huleta uvimbe wa tumbo na baadaye vidonda vya tumbo

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 03:22:14
Februari 13 ya kila mwaka ni siku ya kondomu duniani, huadhimishwa siku moja kabla ya siku ya wapendanao maarufu kama Valentines Day.

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 03:13:40
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 09:55:07
Hatu zilizotangazwa na Waziri wa Fedha Bezalel Smotrich na Waziri wa Ulinzi Israel Katz ni pamoja na kuondoa sheria za muda mrefu zinazowazuia Wayahudi kununua ardhi katika Ukingo wa Magharibi.

Jumamosi, 7 Februari 2026 saa 06:43:23
Ukame unaoendelea katika Pembe ya Afrika sasa umeenea hadi maeneo ambayo hapo awali hayakuwa yakikumbwa sana na majanga ya ukame.

Jumamosi, 7 Februari 2026 saa 09:48:02
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani kwa miaka mingi.

Ijumaa, 30 Januari 2026 saa 03:05:05
Marekani inaonekana iko tayari kuishambulia Iran ndani ya siku chache. Ingawa malengo yanayowezekana yanaweza kutabirika kwa kiasi kikubwa, matokeo hayatabiriki.

Alhamisi, 12 Februari 2026 saa 05:31:46
Wavuvi waliokuwa wakiishi karibu na eneo hilo ghafla walizuiwa kuchota hata maji mahali ambapo walikuwa wakiegesha boti zao kwa vizazi.

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 03:03:11
Wanawake mashujaa wanakabiliana na baridi kali ili kuhesabu na kuhifadhi mnyama wa porini ambaye awali alikuwa unachukuliwa kama tishio katika vijiji vyao.

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 09:50:23
Ufichuzi huo unakuja wiki sita baada ya Rais Donald Trump, kuamuru kwamba nyaraka zote zinazohusiana na Epstein zitolewe kwa umma.

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 04:29:36
Huku uvumi wa kimataifa kuhusu ongezeko la uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika Mashariki ya Kati, viongozi wa Israel wameendelea kuonesha ukimya usio wa kawaida.

Jumapili, 8 Februari 2026 saa 10:54:10
Maduro na Flores wanasubiri katika seli zao katika Kituo cha Magereza cha Metropolitan huko Brooklyn (MDC), Machi 17, tarehe ya kufikishwa kwao mbele ya mahakama ya shirikisho.

Jumatatu, 2 Februari 2026 saa 07:00:32
Marekani inaashiria kwamba kurejesha demokrasia sio kipaumbele tena na iko tayari kufanya kazi na Burkina Faso, Mali na Niger.

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 05:15:04
DRC imekanusha madai yaliyochapishwa katika ripoti ya Human Rights Watch kuhusu usalama wa eneo la Uvira kwa kusema kuwa madai yao hayakuwa ya kweli, na yamechukuliwa nje ya muktadha wa kisheria na kiusalama.

Alhamisi, 29 Januari 2026 saa 06:41:48
Marekani, yenye jeshi lenye nguvu zaidi duniani, tayari imeshawahi kuonyesha uwezo wake wa kuishambulia Iran. Mnamo Juni mwaka jana, ilitekeleza operesheni iliyopewa jina Operation Midnight Hammer, iliyolenga vituo vya nyuklia vya Iran.

Jumatatu, 12 Januari 2026 saa 04:53:27
Raia wa Uganda walio na umri wa chini ya miaka 40 - na ambao ni zaidi ya robo tatu ya watu - wamemfahamu rais mmoja tu.

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 16 Februari 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 13 Februari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 12 Februari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 11 Februari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 10 Februari 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki