world-service-rss

BBC News Swahili

Vita vya Iran: Trump asema ‘mashambulizi ya mabomu’ yatarejea iwapo makubaliano hayataafikiwa

Vita vya Iran: Trump asema  'mashambulizi ya mabomu' yatarejea iwapo makubaliano hayataafikiwa

__

Kauli hiyo imekuja wakati ambapo bado kuna sintofahamu kuhusu uwezekano wa kufanyika kwa mazungumzo mapya ya kumaliza vita kati ya pande hizo mbili huko Pakistan.

Ufahamu Mlango Bahari wa Malacca na umuhimu wake kwa biashara ya kimataifa

Ufahamu Mlango Bahari wa Malacca na umuhimu wake kwa biashara ya kimataifa

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 09:56:27

Njia hii ya bahari huunganisha bahari ya kusini mwa China, ambapo husafirisha theluthi tatu ya biashara zote duniani.

Kwanini Afrika inataka ramani mpya ya dunia?

Kwanini Afrika inataka ramani mpya ya dunia?

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 11:01:03

Togo inapania kuwahimiza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, kuja na ramani ambayo inaelezea ukubwa halisi wa bara Afrika na kutupilia mbali ramani ya Mercator.

Sababu 4 kwa nini mazungumzo ya Iran na Marekani yako shakani

Sababu 4 kwa nini mazungumzo ya Iran na Marekani yako shakani

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 04:10:33

Hatma ya mazungumzo kati ya Iran na Marekani imeingia katika hali ya sintofahamu kubwa huku muda wa kusitisha mapigano ukikaribia kuisha.

Vijue vizuizi vingine saba vya majini vilivyowahi kutokea duniani

Vijue vizuizi vingine saba vya majini vilivyowahi kutokea duniani

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 05:56:13

Marekani na Iran zote zimetumia vizuizi vya majini katika vita hivi. Historia inatufundisha nini kuhusu vizuizi hivi?

Slowjamastan: Taifa jipya nchini Marekani

Slowjamastan: Taifa jipya nchini Marekani

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 03:47:48

Ingawa Sultan anasema wageni wanakaribishwa katika eneo la jangwa la Slowjamastan, kwa sasa hakuna sehemu ya kulala kwa wageni wanaotaka kukaa usiku.

Tetesi za soka Ulaya: Gordon kuuzwa Bayern kwa £75m

Tetesi za soka Ulaya: Gordon kuuzwa Bayern kwa £75m

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 02:51:30

Newcastle United wako tayari kumuuza Anthony Gordon kwenda Bayern Munich kwa dau la pauni milioni 75, huku Manchester United wakimfuatilia kwa karibu Aurelien Tchouameni na Yan Diomande kumrithi Mo Salah Liverpool.

‘Waliniambia amekufa’: Wanajeshi wa Uingereza waliotelekeza watoto Kenya kufuatiliwa

'Waliniambia amekufa': Wanajeshi wa Uingereza waliotelekeza watoto Kenya kufuatiliwa

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 09:08:13

Vipimo vya DNA na mchakato wa kisheria umefanikiwa kuwabaini baba wa watoto 20 wanajeshi wa Uingereza waliozaliwa karibu na kambi ya jeshi la Uingereza nchini Kenya.

Tazama: Dakika za mwisho kabla ya Marekani kukamata meli ya Iran

Tazama: Dakika za mwisho kabla ya Marekani kukamata meli ya Iran

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 14:04:56

Marekani imekamata meli ya mizigo iliyokuwa na bendera ya Iran katika eneo la Ghuba kama sehemu ya kutekeleza zuio la majini, Donald Trump asema.

Kutoka kwa Appolo hadi Artemis: Jinsi dunia ilivyobadilika katika miaka 58

Kutoka kwa Appolo hadi Artemis: Jinsi dunia ilivyobadilika katika miaka 58

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 10:27:48

Tofauti na mwaka wa 1968, mwaka 2026 satelaiti nyingi zimekuwa zikipiga maelfu ya picha za dunia kila siku.

Mzozo kati ya Trump na Papa hadharani, utamgharimu vipi kisiasa?

Mzozo kati ya Trump na Papa hadharani, utamgharimu vipi kisiasa?

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 05:51:27

Historia inaonyesha kwamba kwa Wakatoliki wengi nchini Marekani, siasa huja kabla ya imani.

Pango linalobadili mtazamo wa dunia kutokana na siri za miaka milioni 49

Pango linalobadili mtazamo wa dunia kutokana na siri za miaka milioni 49

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 04:51:23

Mimea huwa ya kijani kwa sababu ina chlorophyll, ambayo hufyonza nishati ya mwanga. Katika mchakato wa usanisinuru au photosynthesis, nishati hii hubadilisha hewa ya carbondioxide kuwa oksijeni.

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema timu ya Marekani inaelekea Pakistan kwa mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema timu ya Marekani inaelekea Pakistan kwa mazungumzo na Iran

__

Akionya kuwa hakutakuwa tena na “huruma” iwapo mazungumzo yatashindikana, Trump amesema madaraja na vituo hivyo vya umeme “vitaanguka haraka, na vitaanguka kwa urahisi.”

Wanaanga wa Artemis II : ‘Tuliondoka kama marafiki,tukarudi tukiwa marafiki zaidi’

Wanaanga wa Artemis II : 'Tuliondoka kama marafiki,tukarudi tukiwa marafiki zaidi'

Jumapili, 19 Aprili 2026 saa 12:06:59

Katika kikao chao cha kwanza na wanahabari baada ya kurejea Ijumaa iliyopita, Reid Wiseman, Victor Glover, Christina Koch na Jeremy Hansen walisema walienda angani kama marafiki na wakarudi wakiwa na uhusiano wa karibu sana.

Asim Munir: Kutoka mkuu wa ujasusi hadi kuwa mpatanishi wa vita vya Iran

Asim Munir: Kutoka mkuu wa ujasusi hadi kuwa mpatanishi wa vita vya Iran

Jumamosi, 18 Aprili 2026 saa 09:22:21

Ni miongoni mwa watu wachache ambao waliwaunganisha viongozi wa Marekani na Iran kupitia mawasiliano ya simu, akipitisha ujumbe kati ya pande hizo mbili kama mpatanishi anayeaminika.

Wanyama wanaofugwa nyumbani wanavyozikwa kifahari nchini Kenya

Wanyama wanaofugwa nyumbani wanavyozikwa kifahari nchini Kenya

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 04:57:31

'’Sio paka wakula panya, ni rafiki anayekutoa msongo wa mawazo’’, Muthoni Nyokabi, daktari wa mifugo anaiambia BBC.

Marekani itawezaje kuzuia meli za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz?

Marekani itawezaje kuzuia meli za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz?

Jumatano, 15 Aprili 2026 saa 03:59:52

Marekani itategemea meli zake za majini kudhibiti bandari za Iran, na hivyo kuzuia uwezo wa Tehran kufaidika na mauzo ya mafuta nje ya nchi katika jaribio la kuweka shinikizo kwa nchi hiyo. Itawezekana?

Uchunguzi wa siri wa BBC wabaini kuwa wahamiaji hujifanya wapenzi wa jinsi moja ili kupata hifadhi

Uchunguzi wa siri wa BBC wabaini kuwa wahamiaji hujifanya wapenzi wa jinsi moja ili kupata hifadhi

Alhamisi, 16 Aprili 2026 saa 03:14:56

BBC imefichua sekta ya kificho inayowatoza wahamiaji maelfu ya pauni ili kuwasaidia kukwepa mfumo wa kutoa hifadhi.

Silaha ambazo Iran ilizitengeneza chini ya vikwazo vilivyobadilisha sheria za mapigano ya angani

Silaha ambazo Iran ilizitengeneza chini ya vikwazo vilivyobadilisha sheria za mapigano ya angani

Jumapili, 19 Aprili 2026 saa 09:46:16

Ni silaha ya bei nafuu, inayoweza kutupwa ambayo inaweza kuzalishwa kwa urahisi na kwa wingi. Silaha ambayo haihitaji rubani, haihitaji ardhi adimu, na inaweza kuzalishwa hata chini ya shinikizo la kiuchumi la kizuizi kilichowekwa dhidi ya Iran.

Viboko wa kokeni: Kwa nini Colombia inataka kuwaua viboko wa Pablo Escobar?

Viboko wa kokeni: Kwa nini Colombia inataka kuwaua viboko wa Pablo Escobar?

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 09:53:26

Serikali ya Colombia imetangaza mipango ya kuwaua hadi viboko 80 kati ya mamia ya “viboko wa kokeni” waliotokana na dume mmoja na majike watatu walioingizwa nchini na mfanyabiashara wa dawa za kulevya Pablo Escobar kwa ajili ya bustani yake binafsi ya wanyama.

‘Natumai vita havitaanza tena’: Wairan wana wasiwasi baada ya mazungumzo kutibuka

'Natumai vita havitaanza tena': Wairan wana wasiwasi baada ya mazungumzo kutibuka

Jumanne, 14 Aprili 2026 saa 12:58:52

Mazungumzo dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamezidi kuwa magumu baada ya juhudi za kumaliza vita kati ya pande hizo mbili nchini Pakistan kumalizika bila makubaliano.

Sababu tano zinazotajwa kukwamisha mazungumzo ya Marekani na Iran

Sababu tano zinazotajwa kukwamisha mazungumzo ya Marekani na Iran

Jumapili, 12 Aprili 2026 saa 06:21:45

Kabla ya mazungumzo hayo, kulikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa Pakistan na wadau wa kimataifa kwamba huenda yakaleta mwanga wa suluhisho la kudumu.

Papa atoa kipaumbele kwa Afrika ambako Ukatoliki unakuwa kwa kasi zaidi

Papa atoa kipaumbele kwa Afrika ambako Ukatoliki unakuwa kwa kasi zaidi

Jumatatu, 13 Aprili 2026 saa 04:40:07

Leo XIV anataka dunia ielekeze macho yake katika bara lenye umuhimu mkubwa kwa mustakabali wa Kanisa Katoliki, amesema msaidizi wake.

Jinsi Iran Ilivyogeuza Mlango wa Hormuz kuwa silaha yenye nguvu zaidi duniani

Jinsi Iran Ilivyogeuza Mlango wa Hormuz kuwa silaha yenye nguvu zaidi duniani

Jumamosi, 11 Aprili 2026 saa 07:53:51

Ikiwa Iran itajaribu kutoza ada kwa meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz, swali kuu ni kama Marekani, nchi za Magharibi, na washirika wa kikanda watakubali hatua hiyo.

Mwaka mmoja wa Tundu Lissu gerezani; nini kinaendelea?

Mwaka mmoja wa Tundu Lissu gerezani; nini kinaendelea?

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 08:33:02

Leo Aprili 9, 2026, imetimia mwaka mmoja tangu Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA), kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa mashtaka ya uhaini na uchochezi.

Mataifa 10 yanayoongoza katika uzalishaji wa mafuta duniani

Mataifa 10 yanayoongoza katika uzalishaji wa mafuta duniani

Ijumaa, 10 Aprili 2026 saa 03:57:52

Kulingana na mamlaka ya nishati duniani EIA, Iran ina hifadhi kubwa ya mafuta ghafi duniani.

Christina Koch: Mwanamke wa kwanza kusafiri kwenda mwezini

Christina Koch: Mwanamke wa kwanza kusafiri kwenda mwezini

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 09:59:26

Mwaka wa 1968, Bill Anders, mmoja wa wanamisheni wa Apollo 8, alipiga picha ya Dunia ambayo iliandika historia, kuathiri maisha ya wengi, na kuhamasisha kizazi kizima.

Kusitisha mapigano kwa muda kunaweza kumaliza vita?

Kusitisha mapigano kwa muda kunaweza kumaliza vita?

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 05:22:21

Licha ya kuwepo na makubaliano, vita vinaweza kuendelea baada ya vipengele vilivyokubaliwa kutotekelezwa.

Jinsi vikosi maalum vya jeshi la Marekani hufanya oparesheni ya uokoaji wakati wa vita

Jinsi vikosi maalum vya jeshi la Marekani hufanya oparesheni ya uokoaji wakati wa vita

Jumatatu, 6 Aprili 2026 saa 04:48:45

Operesheni za kuokoa marubani wa Marekani waliopotea au kuanguka zimekuwa chache katika miongo ya hivi karibuni.

Jinsi Pakistan ilivyosaidia kusitisha vita kati ya Marekani na Iran

Jinsi Pakistan ilivyosaidia kusitisha vita kati ya Marekani na Iran

Alhamisi, 9 Aprili 2026 saa 10:24:36

Ila Pakistan ikiwa mwenyeji wa mazungumzo hayo, swali la kujiuliza ni iwapo matakwa muhimu za kila pande zitakubalika.

Wanaanga wa Artemis II wavunja rekodi kwa safari ya kihistoria mwezini

Wanaanga wa Artemis II wavunja rekodi kwa safari ya kihistoria mwezini

Jumanne, 7 Aprili 2026 saa 05:43:36

Lengo la misheni hii ilikuwa kuweka msingi kwa ajili ya kutua mwezini katika misheni ijayo ya Artemis III.

Kutana na ‘mmiliki’ wa mwezi aliyeuza ardhi mwezini na kuwa bilionea

Kutana na 'mmiliki' wa mwezi aliyeuza ardhi mwezini na kuwa bilionea

Jumanne, 7 Aprili 2026 saa 10:53:54

Wanunuzi walikuwa watu maarufu kama marais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan, Jimmy Carter na hoteli kubwa kama Hilton na Marriot.

Jinsi rubani wa Marekani aliyetoweka Iran alivyookolewa

Jinsi rubani wa Marekani aliyetoweka Iran alivyookolewa

Jumapili, 5 Aprili 2026 saa 10:09:12

Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea baada ya ndege ya kivita ya nchi hiyo kudunguliwa kusini mwa Iran.

Sayansi ya anga: Je, dunia itaisha vipi na lini?

Sayansi ya anga: Je, dunia itaisha vipi na lini?

Jumapili, 5 Aprili 2026 saa 04:47:33

Abrom Zabot anaongeza kuwa baadhi ya makadirio yanazungumzia trilioni za miaka, huku mengine yakihusisha muda mrefu zaidi.

Kwa nini saa ina dakika 60, na sio 100?

Kwa nini saa ina dakika 60, na sio 100?

Jumamosi, 4 Aprili 2026 saa 12:28:24

Wanamapinduzi waliamua kuwa siku igawanywe katika saa 10 badala ya 24. Kila saa ingekuwa na dakika 100 za desimali, na kila dakika ingegawanywa katika sekunde 100.

Jinsi mkakati wa vita wa Iran ulivyowashangaza Marekani na Israel

Jinsi mkakati wa vita wa Iran ulivyowashangaza Marekani na Israel

Ijumaa, 3 Aprili 2026 saa 04:08:52

Balozi wa zamani wa Marekani katika NATO, Ivo Dalder, akijibu hotuba hiyo, alisema kuwa kauli ya Trump imezua “mashaka kuhusu malengo ya vita” na kuacha maswali kadhaa muhimu bila majibu.

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Kutoka Gorée hadi Cape Coast haya ni maeneo 5 muhimu ya utumwa Afrika

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24

Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 16 Aprili 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 15 Aprili 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki