__
Rais wa Marekani amesema anataka nchi yake ichukue” umiliki wa muda mrefu “wa Gaza, na kuibadilisha kuwa” eneo la kitalii la Mashariki ya Kati “.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 12:40:04
Kumekuwa na makosa 13 ya waamuzi wasaidizi wa video (VAR) katika Ligi ya Premia hadi sasa msimu huu – yakiwa ya chini kutoka 20 yaliofanyika katika hatua sawa muhula uliopita - kulingana na wakuu wa ligi.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 11:05:40
Gaza ilikuwa tayari makazi ya Wapalestina waliokimbia au kulazimishwa kutoka makwao katika vita vilivyochangia kuimarika kwa Israeli.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 11:05:40
Gaza ilikuwa tayari makazi ya Wapalestina waliokimbia au kulazimishwa kutoka makwao katika vita vilivyochangia kuimarika kwa Israeli.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 09:55:20
Msichana mwenye umri wa miaka 22 alidaiwa kubakwa, kuuawa na mwili wake ukiwa mtupu kutupwa kwenye shimo la maji huko Ayodhya, mji ulioko kaskazini mwa jimbo la Uttar Pradesh nchini India.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 07:58:48
Kuna uwezekano mkubwa kwamba ndani ya simu yako ya mkononi kuna kiasi kidogo cha chuma kilichoanza safari yake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambako vita vinaendelea hivi sasa.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 02:53:43
Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameuteka mji muhimu wa mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma… lakini je, M23 kuiteka Goma pamoja na miji na vijiji vingine katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini kunaweza kuleta suluhu ya vita?
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 04:09:56
Hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kusaini agizo la kuiondoa nchi hiyo katika Shirika la Afya Duniani (WHO) siku chache zilizopita imeanza kuleta athari kadhaa hususan barani Afrika kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 03:34:20
Manchester United bado iko tayari kumuuza winga wa Argentina Alejandro Garnacho, 20, na kiungo wa kati wa Uingereza Kobbie Mainoo, 19, msimu wa kiangazi
__
Vyanzo vya Umoja wa Mataifa vinasema Uganda kupeleka wanajeshi wa ziada kaskazini mwa Goma ni kuunga mkono jeshi la Rais wa Congo Felix Tshisekedi dhidi ya jeshi lingine la waasi.
Jumanne, 4 Februari 2025 saa 12:06:47
OpenAI iliunga mkono katika taarifa ambayo ilisema Wachina na kampuni nyingine “zinajaribu kila wakati kuweka mifano ya kampuni bora za Marekani.”
Jumanne, 4 Februari 2025 saa 06:29:46
“Niligundua uvimbe usio na maumivu kwenye shingo yangu ambao ulikataa kuondoka,” mama huyo wa watoto wawili ameiambia BBC. Madaktari baadaye walithibitisha ‘uvimbe huo aliokuwa akiutibu kwa dawa za kawaida ni saratani.
Jumamosi, 1 Februari 2025 saa 03:53:42
Tarehe 24 January 2025 Rais Tshisekedi alikatiza ziara yake mjini Davos baada ya mapigano makali kuzuka nchini mwake.
Jumatatu, 3 Februari 2025 saa 05:08:02
“Tutalipiza kisasi … dola kwa dola,” ameiambia BBC, akikejeli sababu ya Trump juu ya dawa za kulevya za fentanyl na kusema Canada “itajibu.”mgombeaji wa nafasi ya waziri mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney anasema.
Ijumaa, 31 Januari 2025 saa 06:21:37
Vikwazo hivyo vinalenga kuzuia usambazaji wa mafuta kwenda China - mteja mkuu wa mafuta ya Urusi na Iran. Ni vikwazo ambavyo vimesababisha uhaba wa mafuta duniani kote katika wiki za hivi karibuni na kusababisha bei ya mafuta kupanda.
Alhamisi, 30 Januari 2025 saa 04:04:13
Kuachiliwa kwa mateka, kunatazamwa kote ulimwenguni, kumekuja baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo ya mvutano yenye lengo la kumaliza vita vilivyoanza tarehe 7 Oktoba 2023.
Jumanne, 28 Januari 2025 saa 03:32:18
Japo eneo la mashariki mwa Congo linalojumuisha majimbo ya Ituri, Kivu kusini na Kivu Kaskazini, yana jumla ya makundi ya wapiganaji zaidi ya 129, kundi la waasi la M23 ndilo lenye historia ya kuzua ghasia.
Jumatano, 29 Januari 2025 saa 08:37:28
Hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kusaini agizo la kuiondoa nchi hiyo katika Shirika la Afya Duniani (WHO) siku chache zilizopita imeanza kuleta athari kadhaa hususan barani Afrika kama ilivyotarajiwa
Alhamisi, 30 Januari 2025 saa 11:44:03
Bilionea kutoka China, amesifiwa kwenye mitandao ya kijamii kama ‘shujaa wa AI’ baada ya programu yake ya gharama ya chini kuvamia ulimwengu wa akili mnembo - lakini mtu huyu aliyeifanya dunia imzungumzie ni nani?
Jumatano, 29 Januari 2025 saa 11:04:27
Wakuu hao wa nchi walikubaliana kuvutia mitaji kutoka sekta binafsi na kuhakikisha fedha zinazohitajika kwa ajili ya miradi ya mabadiliko ya nishati zinapatikana.
Jumatatu, 3 Februari 2025 saa 12:18:26
Wakati DR Congo na Rwanda zikitupiana shutuma, watumiaji wa mitandao ya kijamii walikuwa wakizusha madai ambayo hayajathibitishwa.makao yao yaliyoko kisiwani cha Chile.
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 4 Februari 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 4 Februari 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 5 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 4 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 3 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 31 Januari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki