
__
Umoja wa Mataifa yasema mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamechangia 80% ya vifo vyote vya raia vinavyohusiana na migogoro.

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 10:55:38
Mnamo Mei 7, idara ya habari ya kijeshi ya Pakistan ilitoa picha ya kombora la Fateh-III katika video ya matangazo inayoashiria kuhusu utayari wa kijeshi wa nchi hiyo.

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 09:56:48
Nchi ambazo zimefuzu katika Kombe la Dunia la FIFA hupata heshima kubwa mbele ya ulimwengu, pamoja na faida za kifedha na furaha kubwa miongoni mwa watu wake.

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 07:54:33
Ingawa uagizaji wa silaha katika nchi za Afŕika umepungua kwa takriban -41%, kulingana na ŕipoti ya Taasisi ya Utafiti wa Amani ya Kimataifa ya Stockholm (SIPRI), nchi za Afŕika ya Jangwa la Sahaŕa zimeongeza uagizaji wao

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 05:45:40
Waandishi wa utafiti huo pia walisema kuwa utafiti huo unaweza kusaidia madaktari wa upasuaji kuepuka kuharibu kisimi wakati wa upasuaji wa fupanyonga

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 04:56:02
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, alisema kuwa nchi yake, ambayo imekuwa mpatanishi, ilipokea majibu ya Iran, lakini bila kutoa maelezo yoyote.

__
Iran inasema imetuma majibu yake kwa “pendekezo la hivi punde la Marekani la kusitisha vita” kupitia Pakistan

Jumapili, 10 Mei 2026 saa 11:24:28
Rais wa Urusi Vladimir Putin alitumia sherehe za kila mwaka za Siku ya Ushindi nchini mwake kuhalalisha vita vyake dhidi ya Ukraine na kushutumu NATO, katika hotuba yake aliyoitoa kwenye bustani ya Red Square katikati mwa jiji la Moscow.

Jumapili, 10 Mei 2026 saa 10:32:38
Aliahirisha kwenda hospitali kwa takriban wiki sita, ila alipomuona daktari wa familia, aliambiwa huenda ni saratani.

Jumapili, 10 Mei 2026 saa 07:30:55
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na pia kuwa na faida za kibiashara. Kyiv ina matumaini kuwa hatua hii itasababisha mikataba zaidi ya ulinzi na washirika matajiri wa Marekani.

Jumapili, 10 Mei 2026 saa 07:28:20
Uhusiano wa Uturuki na Israel umezorota katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita kutoka katika hatua ambayo ilikuwa inakaribia kuimarika kidiplomasia hadi kufikia hatua ambapo uwezekano wa makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi unaongezeka.

__
Meli hiyo ya kivita, HMS Dragon, ambayo ni aina ya Type 45 destroyer, itawekwa tayari katika eneo hilo kabla ya jukumu lake katika operesheni ambayo Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imeeleza kuwa ni “ya kujihami pekee na ya kujitegemea.”

Jumamosi, 9 Mei 2026 saa 12:00:13
Mamlaka za mataifa hayo, zimezuia kukata rufaa kwa yeyote atakayepatikana na hatia, na hata kuwanyanganya uraia wao.

Jumamosi, 9 Mei 2026 saa 10:50:16
Bado haijajulikana ni wanajeshi wangapi kati ya takriban 40,000 wa Marekani walioko Ujerumani ambao Trump atawaondoa, au kama ataachana kabisa na mpango wa kupeleka makombora ya masafa marefu nchini Ujerumani.

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 12:48:19
Huku bidhaa kadhaa za nyumbani kote ulimwenguni zikihesabu gharama za vita vya Marekani na Israel nchini Iran, baadhi ya makampuni yamekuwa yakihesabu faida kubwa badala yake.

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 13:11:46
Hifadhi ya dunia ya mbegu (Global Seed Vault) inahifadhi zaidi ya mbegu milioni moja, ambazo ziko chini ya uangalizi mkali.

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 10:19:31
Utawala wa Irani haungeweza kunusurika mashambulizi ya anga yaliyoamriwa na Trump na Netanyahu bila nguvu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 04:55:32
Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.

Jumatano, 6 Mei 2026 saa 02:54:45
Pendekezo la ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta huko Tanga, Tanzania limeibua mjadala mpana wa kisiasa na kiuchumi Afrika Mashariki, likifufua upya hoja ya utegemezi wa mafuta kutoka nje.

Jumatatu, 4 Mei 2026 saa 04:32:19
Hapa ni orodha ya nchi 7 ndogo duniani ambazo nchi hizi kwa moja moja unaweza kuitembelea karibu yote ndani ya siku moja ama kwa saa chache.

Jumatano, 29 Aprili 2026 saa 03:50:52
Mwili ulipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Masindi, ambapo matangazo yalitolewa kwa watu wenye watu waliopotea ili kusaidia katika utambuzi.

Jumamosi, 25 Aprili 2026 saa 10:55:57
Tanzania ina njia tatu za kuchagua kuhusu mustakabali wake, kufuatia ripoti ya Jaji Chande. BBC imezichambua njia hizo na kile kinachofuata Tanzania baada ya ripoti hiyo ya matukio ya Oktoba 29, 2025

Jumatatu, 27 Aprili 2026 saa 12:49:06
Kulingana na utafiti, lita moja ya bia inaweza kuwa na kati ya miligramu 0.3 hadi 1 ya vitamini B6.

Jumamosi, 25 Aprili 2026 saa 05:26:42
Donald Trump ameutaja uongozi wa Iran kuwa “umegawanyika” na kusema Marekani inasubiri Tehran kuwasilisha “pendekezo la umoja”.

Alhamisi, 23 Aprili 2026 saa 02:54:48
Baada ya mashambulizi ya 9/11, viongozi wengi muhimu wa Al-Qaeda na familia zao walikimbia Afghanistan na Pakistan na kwenda Iran.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 11:01:03
Togo inapania kuwahimiza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, kuja na ramani ambayo inaelezea ukubwa halisi wa bara Afrika na kutupilia mbali ramani ya Mercator.

__
Tume imesema idadi hyo inaweza kuwa kubwa zaidi kwani Tume inasema kuwa kuna uwezekano kuwa baadhi ya familia zimezika wapendwa wao bila kuwafikisha katika vituo vya kutolea huduma ya afya au hawakupata fursa ya kuja mbele ya tume.

Ijumaa, 24 Aprili 2026 saa 04:23:22
Maswali kadhaa muhimu yanaendelea kujitokeza miongoni mwa wananchi na wadau nchini Tanzania yakilenga si tu kuelewa yanayozunguka kilichotokea Oktoba 29, bali pia kilichoripotiwa na tume na mustakabali wa kesho

Alhamisi, 23 Aprili 2026 saa 13:11:46
Ni ripoti iliyokusanywa kwa miezi kadhaa chini ya Mwenyekiti Jaji Mohamed Chande, ambayo imewahoji maelfu ya watanzania, imetumia picha na video za wakati wa Oktoba 9 na siku zilizofua.

Alhamisi, 23 Aprili 2026 saa 06:27:21
Katika kipindi cha siku 153 za uchunguzi, Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imetembelea mikoa 11 na wilaya 21, ikikusanya ushahidi kutoka kwa Watanzania 63,603 kupitia njia mbalimbali, huku swali kuu likibaki iwapo ushahidi huo utaweza kuunganisha taifa au kufungua mjadala mpya wa kisiasa?

Jumatano, 22 Aprili 2026 saa 04:12:58
Naibu rais wa Marekani JD Vance anayetarajiwa kuongoza mazungumzo hayo nchini Pakistan, bado hajaondoka nchini Marekani na safari yake imehairishwa.

Jumanne, 21 Aprili 2026 saa 03:47:48
Ingawa Sultan anasema wageni wanakaribishwa katika eneo la jangwa la Slowjamastan, kwa sasa hakuna sehemu ya kulala kwa wageni wanaotaka kukaa usiku.

Jumatatu, 20 Aprili 2026 saa 09:08:13
Vipimo vya DNA na mchakato wa kisheria umefanikiwa kuwabaini baba wa watoto 20 wanajeshi wa Uingereza waliozaliwa karibu na kambi ya jeshi la Uingereza nchini Kenya.

Jumamosi, 18 Aprili 2026 saa 09:22:21
Ni miongoni mwa watu wachache ambao waliwaunganisha viongozi wa Marekani na Iran kupitia mawasiliano ya simu, akipitisha ujumbe kati ya pande hizo mbili kama mpatanishi anayeaminika.

Alhamisi, 23 Aprili 2026 saa 16:37:04
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Ijumaa, 17 Aprili 2026 saa 09:53:26
Serikali ya Colombia imetangaza mipango ya kuwaua hadi viboko 80 kati ya mamia ya “viboko wa kokeni” waliotokana na dume mmoja na majike watatu walioingizwa nchini na mfanyabiashara wa dawa za kulevya Pablo Escobar kwa ajili ya bustani yake binafsi ya wanyama.

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 11 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 8 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 7 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 6 Mei 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki