__
Benki ya Dunia imesema inaondoa marufuku ya mikopo kwa Uganda ambayo ilikuwa imeweka miaka miwili iliyopita wakati nchi hiyo ilipopitisha sheria mpya dhidi ya watu wa LGBTQ.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 12:37:13
Picha mpya za satelaiti za kituo cha anga cha Belaya cha Urusi katika eneo la Irkutsk zinaonyesha matokeo ya uvamizi wa ndege zisizo na rubani za Ukraine.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 10:44:19
Yamal, ambaye anatimiza umri wa miaka 18 mwezi Julai, amemzidi mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland, 24 kwa thamani ya pauni milioni 140 zaidi – Haalnd yuko katika nafasi ya pili
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 10:14:14
Kwa waangalizi wa Ukraine, operesheni nzima iliyoandaliwa kwa mwaka mmoja na nusu, inabaki kuwa ya kushangaza.
__
Benki ya Dunia imesema inaondoa marufuku ya mikopo kwa Uganda ambayo ilikuwa imeweka miaka miwili iliyopita wakati nchi hiyo ilipopitisha sheria mpya dhidi ya watu wa LGBTQ.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 05:19:50
Mmea wa aloe vera unajumuisha zaidi ya viungo 75 vinavyofanya kazi, ikiwa ni pamoja na vimeng’enya, asidi ya amino, vitamini, na madini.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 04:57:48
Rais Trump ametia saini agizo la kuwapiga marufuku raia kutoka matiifa 12 kuingia nchini Marekani.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 02:56:57
Aston Villa yaonyesha nia ya kumsajili Jadon Sancho, Newcastle inamuwania kipa wa Burnley James Trafford na Liverpool wanafikiria kumsajili Anthony Gordon.
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 04:04:16
Hijja ni ibada takatifu kwa waumini wa dini ya Kiislamu ambapo mamia ya maelfu ya waumini hukusanyika katika mji wa Makka huko Saudi Arabia kila mwaka.
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 03:00:15
Vijue vyuo vikuu 10 bora duniani, kulingana na jarida la elimu kutoka Uingereza la Times Higher Education.
Jumanne, 3 Juni 2025 saa 10:08:44
Wakati wa janga la UVIKO-19, Gwajima alikuwa mstari wa mbele kuendesha kampeni hadharani ya kupinga chanjo dhidi ya ugonjwa huo. Miongoni mwa kauli zake nyingi, alinukuliwa akisema chanjo hizo si salama, ingawa tatizo hakuwa anatoa ushahidi wowote wa madai yake.
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 12:40:49
Kwa miaka kadhaa sasa, mamlaka za Urusi zimekuwa zikifanya kwa bidii na kwa siri uboreshaji mkubwa wa vifaa vyao vya nyuklia vya kijeshi, kulingana na gazeti la Ujerumani Spiegel
Jumatatu, 2 Juni 2025 saa 10:51:32
Harusi za faragha hazina shinikizo kubwa, kwani hakuna muda wa kuzingatia matarajio ya wengine, ili kukidhi masilahi ya mashabiki. Na hilo huzifanya harusi hizi kuwa na gharama ndogo pia.
Jumatatu, 2 Juni 2025 saa 03:42:15
Rais wa zamani DRC Joseph Kabila amekuwa mjini Goma mashariki mwa nchi hiyo, eneo linalodhibitiwa na waasi wa M23, hatua iliyoibua maswali kuhusu hatma ya suluhu ya muda mrefu ya mzozo unaendelea nchini humo.
Jumanne, 3 Juni 2025 saa 02:56:06
Fatou Wurie amebakisha na miezi kadhaa kabla ya kuhitimu katika Chuo Kikuu cha Harvard lakini juhudi zake zote sasa zinakabiliwa na tishio.
Jumanne, 3 Juni 2025 saa 07:09:48
Utafiti wake ulisaidia kutengeneza roketi zilizorusha satelaiti ya kwanza ya China angani na makombora ambayo yalikuja kuwa sehemu ya silaha za nyuklia za China.
Jumanne, 3 Juni 2025 saa 07:04:04
Mwandiko wetu kwa kiasi fulani huathiriwa na anatomia yetu na sifa za urithi tunazorithi kutoka kwa wazazi wetu.
Jumatatu, 2 Juni 2025 saa 05:03:38
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa yuko katikati ya dhoruba ya kisiasa baada ya kuidhinisha sheria ambayo inaipa serikali mamlaka ya kuchukua baadhi ya ardhi inayomilikiwa na watu binafsi bila kuwalipa fidia.
Jumapili, 1 Juni 2025 saa 11:22:17
Kuna wakati wazazi wetu wanakuwa wazee na dhaifu. Hapo tunatakiwa, kuonyesha subira na rehema zaidi kwao.
Alhamisi, 29 Mei 2025 saa 09:54:38
Katika matukio nadra sana kutokea, marais William Ruto wa Kenya na Yoweri Museveni wa Uganda wameomba msamaha. Lakini nini hasa kilitokea?
Jumatano, 28 Mei 2025 saa 10:00:06
Wanawake na wasichana katika jimbo la Darfur nchini Sudan wako katika hatari ya kukabiliwa na ukatili wa kingono, shirika la matibabu lisilokuwa na mipaka Médecins Sans Frontières (MSF) limeonya.
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 5 Juni 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatano, 4 Juni 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 3 Juni 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 2 Juni 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 24 Januari 2025 saa 05:24:56
2025 ni mwaka unaotarajiwa kutawaliwa na matukio mengi ya kisiasa nchini Tanzania kutokana na uwepo wa uchaguzi mkuu wa urais wa Muungano na Zanzibar. Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Madiwani katika kata zipatazo 4,000 nchi nzima.
Alhamisi, 15 Mei 2025 saa 03:55:12
Kuna vita vya aina mbili ambavyo kwa sasa Chadema inapigana kwa wakati mmoja. Wao kwa wao na wao dhidi ya utawala.
Jumapili, 19 Januari 2025 saa 12:47:58
Hii leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wakitoa michango yao juu ya utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM walipendekeza mkutano huo kuwapitisha Rais Samia na Rais Mwinyi kama wagombea wa urais kutokana na maendelea walioyasimamia.