Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 09:51:40
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na madiwani, utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025.
__
Takriban mtu mmoja kati ya watatu katika Ukanda wa Gaza wanakaa kwa siku kadhaa bila kula, mpango wa msaada wa chakula wa Umoja wa Mataifa umeonya.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 09:11:27
Mahusiano kati ya Umoja wa Ulaya na China yamefikia kilele katika mwaka wao wa maadhimisho ya miaka 50, na jaribio jipya la upatanisho limegonga mwamba katika mkutano wa kilele wa maadhimisho huko Beijing wiki hii.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 03:18:59
Pande zote mbili hazijafungwa na Wenyeji hao wa Afrika Magharibi wameruhusu bao moja pekee katika mechi tano katika safari yao ya kuelekea Uwanja wa Olimpiki wenye uwezo wa kuchukua watu 21,000 huko Rabat.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 03:09:20
Vilabu vya Saudi Arabia vinawataka Antony na Luke Shaw wa Manchester United, Newcastle inae mbadala wa Isak na Bayern hajakata tamaa kwa Diaz.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 03:26:10
Jopo la wazee kwa ushirikiano na usimizi wa wilaya ya Xamaro, iliyopo katika eneo la Erer nchini Somalia, wametoa kakuni mpya zinazotarajiwa kuongoza jamii huko katika shughuli ya kuposa na gharama nzima ya harusi.
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 09:57:32
Katika mkesha wa mazungumzo na nchi tatu za Ulaya, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi kwa mara nyingine amesisitiza masharti ya Tehran katika mazungumzo na Washington
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 11:41:40
Je! Unajua nini kuhusu wavumbuzi wanawake kama Mary Anderson au Ann Tsukamato? Huenda hujui majina haya, lakini wanawake hawa waliunda vifaa ambavyo vilitoa mchango mkubwa kwa sayansi tunayotumia kila siku.
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 06:31:20
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe Brigitte wamewasilisha kesi dhidi ya mshawishi wa Marekani Candace Owens kwa kumdhalilisha bi Brigitte Macron .
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 06:00:39
Humphrey Polepole, Josephat Gwajima ama Lugaha Mpina ni majina ya viongozi wa sasa wanaonekana kuikosoa CCM kutoka ndani, lakini wapo vigogo wakubwa waliowahi ‘kuasi’ na kuitikisa zaidi CCM.
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 03:28:27
Wanazaliwa katika familia maarufu zaidi katika nchi zao na mazingira ya kifahari. Baadhi ya Mabinti hawa wa wanaume wenye mamlaka zaidi barani Afrika, wameonekana kuwa na mvuto kwa jamii zao kutokana na kazi zao, mafanikio yao katika jamii au hata mtindo wao wa maisha.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 03:54:37
Kwa muda sasa, kuna mvutano mkubwa unaoendelea hadharani kati ya vyama viwili vikuu vya upinzani Tanzania, CHADEMA na ACT Wazalendo.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 04:28:59
Kufuatia shambulio la Israel dhidi ya Iran, maafisa wa usalama wa Iran na maafisa wa serikali wamedai mara kwa mara kwamba WhatsApp hutumika kama “chombo cha kijasusi.”
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 02:59:16
Ripoti za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uhaba wa chakula katika Ukanda wa Gaza umefikia kiwango cha 5 (janga), kiwango cha juu zaidi katika viwango vinavyoonyesha hatari ya njaa, kulingana na Mgawanyo wa Viwango vya Usalama wa Chakula (IPC).
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 09:47:37
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Lammy alilaani mwenendo wa Israel huko Gaza, akisema kuwa Uingereza “huenda ikatathmini msimamo wake wiki zijazo” ikiwa serikali ya Israel haitabadilisha mtazamo wake wa kuendesha vita katika Ukanda huo.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 12:03:39
Wanasema kwamba huko Marekani, ndoto hutimia, hata ikiwa inaonekana kuwa haiwezekani. Lakini vipi ikiwa ndoto hiyo inaingia Ikulu?
Jumanne, 22 Julai 2025 saa 03:30:29
Kwa mujibu wa katiba na sheria za Kenya, mtu binafsi au kundi la watu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya ugaidi ikiwa makosa yao yamefikisha vigezo vifuatavyo
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 04:28:59
Kufuatia shambulio la Israel dhidi ya Iran, maafisa wa usalama wa Iran na maafisa wa serikali wamedai mara kwa mara kwamba WhatsApp hutumika kama “chombo cha kijasusi.”
Jumatatu, 21 Julai 2025 saa 03:46:09
Katika miezi miwili iliyopita, David Kenani Maraga, jaji mkuu mstaafu wa Kenya amejipatia umaarufu mitandaoni na hata mitaani ambapo vijana wanamuona kama sura mpya ya uongozi ambao wanahisi taifa linakosa.
Jumamosi, 19 Julai 2025 saa 03:15:15
Katika Jeshi la Anga la Marekani, hawawaiti wanajeshi wao askari, wanawaita Walinzi. Wakitazama skrini zao kwenye kituo nje ya Denver, Colorado, wanaweza kufuatilia uzinduzi wa kombora kutoka popote ulimwenguni.
Ijumaa, 18 Julai 2025 saa 02:50:15
Hii huenda ikaonekana kuwa jambo la kushangaza, lakini ni ukweli uliofichuliwa na ripoti iliyochapishwa na shirika la Oxfam mnamo Julai 2025.
Jumamosi, 19 Julai 2025 saa 13:09:08
Wakati ambapo mwanamume anamwagaa manii akiwa usingizini, wataalamu wanaeleza hali hiyo kama ndoto pevu. Wanaume wengi huwajawa na wasiwasi, kwasababu wanahisi kwamba hatua hiyo ni ishara ya mapema ya kupungukiwa kwa manii au hata kuwa na ugumba.
Jumanne, 15 Julai 2025 saa 02:56:56
Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitatu, Vienna iliondolewa katika nafasi ya kwanza.
Jumapili, 13 Julai 2025 saa 11:28:00
Imetoa utajiri mkubwa kwa miaka mingi kwa vikundi mbalimbali vyenye silaha ambavyo vimeisimamia kwa nyakati tofauti, likiwemo jeshi.
Jumamosi, 12 Julai 2025 saa 11:23:18
Zaidi ya watu 100 wameuawa katika wimbi la maandamano hivi karibuni na kusababisha hasira ya umma dhidi ya Rais Ruto.
Jumamosi, 26 Julai 2025 saa 09:51:40
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na madiwani, utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025.
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 03:54:37
Kwa muda sasa, kuna mvutano mkubwa unaoendelea hadharani kati ya vyama viwili vikuu vya upinzani Tanzania, CHADEMA na ACT Wazalendo.
Jumatatu, 7 Julai 2025 saa 03:59:29
Tangu Bunge la 12 la Tanzania kukamilisha rasmi shughuli zake tarehe 27 Juni 2025. Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kumesheheni picha za watia nia hasa katika nafasi ya Ubunge
Ijumaa, 24 Januari 2025 saa 05:24:56
2025 ni mwaka unaotarajiwa kutawaliwa na matukio mengi ya kisiasa nchini Tanzania kutokana na uwepo wa uchaguzi mkuu wa urais wa Muungano na Zanzibar. Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Madiwani katika kata zipatazo 4,000 nchi nzima.
Ijumaa, 27 Juni 2025 saa 04:02:50
Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limehitimisha rasmi shughuli zake Juni 27, 2025 na Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia alilitunuku hotuba ya mwisho. Litavunjwa rasmi Agosti 03 litakapohitimisha ukomo wake kikatiba.
Jumanne, 10 Juni 2025 saa 04:07:29
Hizi ni siasa na harakati zisizo na silaha, bali hashtags, ujumbe, picha, sauti na video. Harakati zisizo na maandamano wala matusi, bali machapisho mitandaoni.
Jumamosi, 28 Juni 2025 saa 05:56:27
Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekamilisha rasmi shughuli zake tarehe 27 Juni 2025 kwa Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia. Litavunjwa rasmi Agosti 03, 2025 litakapokamilisha kipindi chake kikatiba.
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 25 Julai 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 24 Julai 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatano, 23 Julai 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 22 Julai 2025 saa 15:55:00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki