__
Marekani imetangaza vikwazo vipya vinavyolenga makampuni mawili makubwa zaidi ya mafuta nchini Urusi - Rosneft na Lukoil ili kuishinikiza Moscow kufanya mazungumzo ya makubaliano ya amani nchini Ukraine.
Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 03:26:27
Wakati Tanzania ikielekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, kuna ahadi za wagombea urais ambazo huzusha mijadala mikubwa miongoni mwa wananchi. Mijadala hii huibuka kwa sababu nyingi ya ahadi hizi huonekana ni ngumu kutekelezeka au ni vituko.
Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 02:55:27
“Marekebisho hayo yanalenga kudhibiti uhuru wa kujieleza kisiasa. Hatujasahau kwamba mnamo Juni 2024, vijana walipopinga Mswada wa Fedha, Rais Ruto aliwataja kuwa wahalifu na magaidi.” alisema David Maraga.
Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 04:22:19
Newcastle United inataka kumrejesha Elliot Anderson, mkuu wa Bayern Munich anasema hakuna kipengele cha kutolewa katika mkataba wa Michael Olise na Harry Maguire bado hakijapewa mkataba mpya na Manchester United.
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 07:43:55
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche amekamatwa asubuhi hii akiwa nje ya Mahakama Kuu Tanzania.
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 04:55:05
Wanawake wa Kisomali hawakujua kwamba picha zao zimetumiwa kuunda akaunti za mitandao ya kijamii ili kushiriki ujumbe wa kisiasa kuhusu Somalia, UAE na vita nchini Sudan.
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 09:34:30
Mkutano wa kilele uliofutwa wa viongozi hao ni mabadiliko ya hivi punde zaidi katika juhudi za Trump za kumaliza vita, anaandika Anthony Zurcher.
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 02:50:14
Hungary isiyo na bandari si eneo rahisi kufikiwa na rais wa Urusi ambaye mara chache sana anatembea nje ya nchi na hajasafiri kwenda Umoja wa Ulaya kwa miaka.
Jumanne, 21 Oktoba 2025 saa 11:28:03
Ayatollah Khamenei amezitaja kauli za hivi karibuni za Trump katika safari yake ya Israel na Misri wakati wa kutia saini makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kuwa ni upuuzi.
Jumanne, 21 Oktoba 2025 saa 10:39:38
Katika miezi ya hivi karibuni, dunia imeendelea kushuhudia maandamano makubwa yanayoongozwa na vijana ‘Gen-Z’ na kuibua mijadala kuhusu haki za kijamii, nafasi ya vijana katika siasa, na mustakabali wa uchumi.
Jumanne, 21 Oktoba 2025 saa 05:04:18
BBC inazungumza na mwanaanga Eileen Collins, mwanamke wa kwanza kuendesha na kuamuru chombo cha anga.
Ijumaa, 17 Oktoba 2025 saa 03:52:10
Licha ya kutofanikiwa kushinda urais, alisifiwa kwa kusaidia kusambaratisha utawala wa chama kimoja cha Kenya chini ya rais Daniel arap Moi mwaka wa 1992 na kupigania katiba ya mwaka wa 2010, ambayo ilileta mageuzi makubwa ya kisiasa.
Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 10:25:22
Siku zimepita ambapo upasuaji wa urembo ulikuwa ni wamatajiri waliozeeka. Sasa vijana wamekumbatia mtindo wa kuunda wajihi ili kubadilisha muonekano.
Jumatano, 15 Oktoba 2025 saa 02:53:13
Wakati huu Tanzania ikijiandaa na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, na kampeni za wagombea mbalimbali zikiendelea. Swali linaloibuka: Je, ilani za vyama vya siasa zinazingatia mahitaji ya vijana?
Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 02:59:15
Zimesalia wiki mbili pekee kabla ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kufanyika Oktoba 29, 2025.
Jumatatu, 6 Oktoba 2025 saa 02:54:26
Upinzani wenye nguvu umezongwa na kila aina ya kashikashi hata umekwama kushiriki uchaguzi kikamilifu. Uhuru wa vyombo vya habari bado ni suala lenye utata.
Jumatano, 8 Oktoba 2025 saa 03:52:34
Ingawa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uchaguzi wa Zanzibar hujitofautisha kwa njia nyingi za kipekee zinazofanya matokeo yake kuwa na uzito mkubwa zaidi ya kura.
Jumatatu, 29 Septemba 2025 saa 02:56:19
Wanawake watatu wamejitokeza kukitaka kiti cha urais Tanzania, kinachokaliwa kwa sasa na Rais Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, wakichuana na wanaume 14
Ijumaa, 19 Septemba 2025 saa 05:10:32
Ripoti ya mwaka 2025 ya Country Governance and Government Index (CGGI) imeiweka Tanzania miongoni mwa nchi 10 bora barani Afrika kwa viwango vya utawala bora, ikiwa ya sita barani Afrika na ya 78 duniani.
Jumatatu, 22 Septemba 2025 saa 02:57:36
Wakati uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 ukikaribia nchini Tanzania, na kampeni za uchaguzi zikizidi kushika kasi. Kumejitokeza baadhi ya ahadi ambazo kwa baadhi ya watu zimewaacha vinywa wazi. Ni ahadi gani?
Jumatano, 17 Septemba 2025 saa 03:50:21
Maalim Seif katika kila hatua, aliibeba Zanzibar kwenye majukwaa ya siasa za upinzani kitaifa na kimataifa.
Alhamisi, 11 Septemba 2025 saa 04:44:28
Mgombea wa CCM Samia anapambana na vyama 16 kumi na sita ambavyo jumla ya kura walizozipata wagombea wake wote katika uchaguzi uliopita ni nusu milioni ambazo hazifikii hata nusu ya kura ilizopata Chadema.
Jumatatu, 1 Septemba 2025 saa 03:24:03
Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Julai, 1992, mwaka huu itakuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya uchaguzi mkuu pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani.
Jumanne, 2 Septemba 2025 saa 03:27:20
Bila shaka kampeni za uchaguzi mara nyingi hutoa ahadi kedekede, na asilimia kubwa ya ahadi hizo ni nzuri. Ni mara chache sana kukutana ahadi mbaya za wanasiasa wakati wa kuelekea katika uchaguzi mkuu. Lakini utekelezwaji wa ahadi ni jambo jingine.
Ijumaa, 29 Agosti 2025 saa 02:58:30
Maamuzi makubwa kama kutengua uongozi wa vyama vya siasa, kutengua wagombea yanayofanywa na ofisi ya Msajili ndio yaliibua wasiwasi mwaka 2019, na kuvisukuma vyama 10 vya siasa kufungua kesi katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki (EACJ)
Jumapili, 31 Agosti 2025 saa 07:28:13
Wagombea wa CHAUMMA, Salum Mwalimu kwa urais na mgombea mwenza wake, Devotha Minja, ni waandishi wa habari maarufu wa Tanzania. Hii ndiyo mara ya kwanza katika historia ya Tanzania kwa wana habari wawili kupata fursa hii katika chama kimoja.
Alhamisi, 28 Agosti 2025 saa 03:00:40
Changamoto kubwa ya tiketi hii ya Samia na Nchimbi kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 ipo katika maeneo makubwa mawili ya kitaifa na kimataifa.
Jumatano, 30 Julai 2025 saa 02:59:58
Kuna tofauti ya takribani wapiga kura milioni 6.2 kati ya waliotangazwa kuwa kwenye daftari la wapiga kura (milioni 37.6) na wale waliotarajiwa kuwa na sifa ya kupiga kura, (milioni 31.4) kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022.
Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 02:52:49
Matukio ya kisiasa ambayo yalibadilisha uhusiano wa Raila na Ruto ama kuonekana marafiki au maadui machoni mwa wafuasi wao katika safari yao ya kisiasa ya takriban miaka 30.
Jumapili, 19 Oktoba 2025 saa 13:34:24
Tovuti inayounga mkono Kremlin PolitNavigator inasema ziara ya Rais wa Urusi Vladimir Putin nchini Tajikistan, ni jaribio la kukabiliana na “kuundwa kwa kambi ya kijeshi na kisiasa ya mataifa ya Turkic”
Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 12:51:49
Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya hayati Raiala Odinga amewahi kuwa na raia wa Tanzania kwa miaka mitatu.
Ijumaa, 17 Oktoba 2025 saa 11:52:16
Sindano ya muda mrefu, inayotolewa mara sita kwa mwaka au kila mwezi, ni mbadala ya kuchukua tembe za kila siku ili kujikinga na virusi.
Jumatano, 15 Oktoba 2025 saa 13:00:48
Raila Odinga alikuwa mmoja wa watu mashuhuri wa kisiasa nchini Kenya kwa miongo kadhaa licha ya kuwania urais mara tano bila mafanikio.
Ijumaa, 17 Oktoba 2025 saa 10:55:41
“Silaha ya siri ya Israel ni usaidizi wake kwa makabila na vikundi vya kijeshi vinavyopinga Hamas,” ripoti za Ma’ariv zaeleza.
Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 09:31:24
Kabla ya wikendi iliyopita, watu wengi nchini Madagascar hawakujua Kanali Michael Randrianirina alikuwa nani.
Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 02:51:35
Hatua ya karibu zaidi ya Raila kuchukua urais ilikuja mwaka wa 2007, alipowania urais chini ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM). Matokeo ya awali yalionyesha anaongoza, lakini Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Kibaki kuwa mshindi.
Ijumaa, 10 Oktoba 2025 saa 10:58:34
Leo, tarehe 10/10/2025, Machado ametunikiwa Tuzo ya Amani ya Nobel “kwa kazi yake ya kukuza na kuendeleza haki za kidemokrasia kwa watu wa Venezuela na kwa mapambano yake kufikia mabadiliko ya haki na ya amani kutoka kwa udikteta hadi demokrasia.”
Jumanne, 7 Oktoba 2025 saa 09:57:15
Kabla ya Polepole kuripoti kwa DCi Jumatatu ya Octoba 6, 2025 Taanzania iliamka na taarifa za kutekwa kwake na watu wasiofahamika ambao wanaripotiwa kuvamia nyumbani kwa Polepole usiku, kuvunja milango tofauti na kuondoka naye kwenda sehemu isiyojulikana.
Ijumaa, 10 Oktoba 2025 saa 06:18:18
Panya hawa wanaoishi kwenye mashimo wanaweza kuishi hadi karibu miaka 40, na kuwafanya kuwa panya walioishi kwa muda mrefu zaidi duniani.
Jumanne, 21 Oktoba 2025 saa 02:49:16
Mwishoni mwa mwezi Rais wa Marekani Donald Trump na Xi Jinping wanatarajiwa kukutana huko Budapest. Mbio ya uongozi wa dunia kati ya Marekani na China katika karne ya 21 inaenda vizuri kwa upande mmoja ukisaidiwa na makosa ya upande mwingine
Jumatano, 8 Oktoba 2025 saa 02:56:57
Wengine walisema ana matatizo ya mifupa. Mwingine alipendekeza upasuaji na kadhalika. Lakini hakuna hata mmoja aliyetoa suluhisho.
Jumatano, 8 Oktoba 2025 saa 10:02:46
Ukraine kwa sasa ina idadi kubwa ya makombora ya kurusha kwa masafa marefu yaliyotengenezwa na kutolewa na nchi za Magharibi.
Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 09:50:46
Ushawishi wa Raila Odinga ambaye alikuwa kiongozi mwanzilishi wa ODM, haukuwa na kifani.
Jumanne, 14 Oktoba 2025 saa 11:57:40
Katika hatua iliyozua mjadala ndani na nje ya Misri, Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amemtunuku Rais wa Marekani, Donald Trump, Nishani ya Nile (Order of the Nile), ambayo ni heshima ya juu kabisa ya kiraia nchini humo, kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Ikulu ya Rais.
Jumanne, 14 Oktoba 2025 saa 07:01:11
Mfalme Abdullah II wa Jordan ameonya kuwa Mashariki ya Kati itaangamia iwapo hakutakuwa na mchakato wa amani utakaopelekea taifa la Palestina.
Jumanne, 14 Oktoba 2025 saa 10:26:55
Mara tu awamu ya kwanza itakapokamilika, mazungumzo yanatarajiwa kuanza kwa awamu nyingine.
Jumanne, 23 Septemba 2025 saa 02:39:04
Wicknell Chivayo, si jina geni katika eneo hili la Afrika mashariki, amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na aina ya Maisha ya kifahari anayoishi, Pamoja na picha zake na viongozi mbali mbali wa nchi za Afrika.
Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 22 Oktoba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 21 Oktoba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 17 Oktoba 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki