world-service-rss

BBC News Swahili

Rais Samia atangaza ‘msamaha’ kwa vijana waliokamatwa kwenye maandamano

Rais Samia atangaza 'msamaha' kwa vijana waliokamatwa kwenye maandamano

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 13:26:33

Akizungumza leo wakati wa kulifungua bunge, Rais Samia alisema kuwa vijana hao wengine walifuata mkumbwa hivyo waachiwe kwa utaratibu na kurejeshwa kwa familia zao.

BBC yamwomba Trump msamaha lakini yakataa kulipa fidia

BBC yamwomba Trump msamaha lakini yakataa kulipa fidia

__

Mawakili wa Trump wametishia kuishtaki BBC kwa fidia ya $1bn (£759m).

Mwigulu Nchemba: Kutoka kuchunga ng’ombe hadi Uwaziri Mkuu wa Tanzania

Mwigulu Nchemba: Kutoka kuchunga ng'ombe hadi Uwaziri Mkuu wa Tanzania

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 08:27:40

“Mimi umasikini wa Tanzania sijausoma kwenye kitabu nimeuishi, miaka takribani 32 nimeishi katika maisha hayo ya umasikini”, alisema Nchemba mara baada ya kuthibitishwa bungeni. “ Mwigulu anakuwa Waziri wa 12 tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania.

AFCON 2025: Je, unayajua majina ya timu zitakazoshiriki Kombe la Mataifa ya Afrika?

AFCON 2025: Je, unayajua majina ya timu zitakazoshiriki Kombe la Mataifa ya Afrika?

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 11:59:26

Haya ni majina ya timu za mpira wa miguu za Afrika, ambazo baadhi yake hubuniwa na waandishi wa habari wenye bashasha na ubunifu katika kuripoti ushujaa katika mchezi huu adhimu.

Sukari iliyofichika: Unakula kiasi gani kwa kweli?

Sukari iliyofichika: Unakula kiasi gani kwa kweli?

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 09:48:32

Sukari nyingi tunazotumia kila siku zimefichwa, na wengi wetu tunakula zaidi ya kiwango kinachopendekezwa.

Tunachojua kuhusu barua pepe mpya za Epstein zinazomtaja Trump

Tunachojua kuhusu barua pepe mpya za Epstein zinazomtaja Trump

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 06:57:32

Wabunge wa Marekani wamefichua zaidi ya kurasa 20,000 za hati kutoka kwa mali ya mfadhili aliyefedheheshwa na mhalifu wa ngono Jeffrey Epstein, ikiwemo baadhi zinazomtaja Rais Donald Trump.

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa: Man United kumnunua Karim Adeyemi kutoka Borussia Dortmund

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa: Man United kumnunua Karim Adeyemi kutoka Borussia Dortmund

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 03:32:22

Manchester United wanatazamia dili la Januari kwa Karim Adeyemi, Chelsea kuandaa ofa ya kumnunua Julian Alvarez na Liverpool na Tottenham kumnasa Antoine Semenyo.

Zaidi ya Wakenya 200 wamesajiliwa katika jeshi la Urusi - waziri

Zaidi ya Wakenya 200 wamesajiliwa katika jeshi la Urusi - waziri

__

Mudavadi alibainisha kuwa inakadiriwa kwamba mitandao ya usajili ingali inaendelea na kazi hiyo nchini Kenya na Urusi.

Tamko la Umoja wa Mataifa dhidi ya madai ya mauaji ya Tanzania lina maana gani?

Tamko la Umoja wa Mataifa dhidi ya madai ya mauaji ya Tanzania lina maana gani?

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 09:58:01

Kwa ujumla, siku za hivi karibuni, matamko kutoka Umoja wa Mataifa yamekuwa yakipuuzwa au kutokuchukuliwa kwa uzito unaostahili.

Wapiganaji wa Hamas waliojificha kwenye mahandaki wawasilisha kikwazo kipya kuhusu kusitisha mapigano Gaza

Wapiganaji wa Hamas waliojificha kwenye mahandaki wawasilisha kikwazo kipya kuhusu kusitisha mapigano Gaza

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 12:02:38

Mambo muhimu bado hayajatatuliwa, kama vile kupokonya silaha Hamas, ujenzi mpya na utawala wa baadaye wa Gaza, au kupelekwa kwa kikosi cha usalama cha kimataifa katika eneo hilo.

Kuitunza amani wakati wa mageuzi changamoto na funzo Tanzania

Kuitunza amani wakati wa mageuzi changamoto na funzo Tanzania

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 04:35:23

Kwa miongo kadhaa, Tanzania imekuwa mfano wa amani na utulivu katika ukanda uliojaa migogoro. Lakini hivi karibuni iamani yake imeingia majaribuni

“Mwindaji ndani ya nyumba”: Wazazi wasema Chatbot ziliwashawishi watoto wao kujitoa uhai

"Mwindaji ndani ya nyumba":  Wazazi wasema Chatbot ziliwashawishi watoto wao kujitoa uhai

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 11:58:04

Ingawa roboti hizi zinachukuliwa kuwa za kuburudisha, ushahidi unaonyesha hatari zake ni kubwa.

Homa ya mapafu: ‘Muuaji’ mkubwa wa watoto duniani

Homa ya mapafu: 'Muuaji' mkubwa wa watoto duniani

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 09:35:42

Homa ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa ambukizi yanaongoza kwa kusabisha vifo vingi miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.

Umoja wa Mataifa waitaka Tanzania kuchunguza mauaji ya siku ya uchaguzi

Umoja wa Mataifa waitaka Tanzania kuchunguza mauaji ya siku ya uchaguzi

__

Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za binadamu ameitaka Tanzania kuchunguza madai haya mazito ya ukiukaji wa haki za binadamu, kikamilifu na kwa uwazi, na kuwawajibisha wale waliohusika.

“Kazi yetu ni kuua tu”

"Kazi yetu ni kuua tu"

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 10:50:37

Mwezi Oktoba, picha zinaonyesha mwanaume akiwa amefungwa mikono na miguu na kuning’inizwa kichwa chini miguu juu kwenye minyororo ya chuma.

Wajue marais wa Afrika walioshinda kwa zaidi ya asilimia 90

Wajue marais wa Afrika walioshinda kwa zaidi ya asilimia 90

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 03:18:21

Je, ushindi wa viongozi hawa huakisi kweli kukubalika kwao au kuna mambo mengine ya haramu nyuma ya pazia yanayosukuma ushindi huu?

Tanzania inahitaji maridhiano ya aina gani?

Tanzania inahitaji maridhiano ya aina gani?

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 03:09:25

Ili kuzuia kisitokee kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 , Tanzania lazima ichague aina ya maridhiano yenye mizizi katika ukweli, uwajibikaji na matumaini ya pamoja. Nchi za Afrika Kusini, Rwanda, Kenya, Chile au Colombia ni mifano mizuri ya aina mbalimbali za maridhiano ambayo Tanzania inaweza kujifunza.

Nini mustakabali wa Tanzania baada ya maandamano?

Nini mustakabali wa Tanzania baada ya maandamano?

Jumatatu, 10 Novemba 2025 saa 03:16:03

Zaidi ya vijana 400 wamefikishwa Mahakamani katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kwa makosa ya uhaini na kuharibu mali kutokana na maandamano ya siku tatu, kuanzia Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi mkuu.

Heche na viongozi wengine wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana Tanzania

Heche na viongozi wengine wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana Tanzania

__

Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche alikamatwa zaidi ya wiki tatu zilizopita bila kufikishwa mahakamani, na hata familia yake haikujua alipo.

Maandamano Tanzania: Askofu Gwajima, makada wa Chadema wasakwa na polisi

Maandamano Tanzania: Askofu Gwajima, makada wa Chadema wasakwa na polisi

Jumamosi, 8 Novemba 2025 saa 05:35:05

Jeshi la polisi nchini Tanzania limetangaza msako mkali wa kuwatafuta watu wanaowatuhumu kwa kupanga kuratibu na kutekeleza maandamano ya vurugu ya Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 katika mikoa mbalimbali nchini humo

Masuala yaliyoibuliwa na waangalizi wa uchaguzi mkuu wa Tanzania

Masuala yaliyoibuliwa na waangalizi wa uchaguzi mkuu wa Tanzania

Ijumaa, 7 Novemba 2025 saa 09:59:41

Ni takriban juma moja sasa tangu Tanzania imalize uchaguzi mkuu wake. Hata hivyo matukio yaliyofanyika nchini humo wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 bado yanaendelea kujadiliwa ndani na nje ya Tanzania.

SADC yasema Uchaguzi wa Tanzania uligubikwa na dosari

SADC yasema Uchaguzi wa Tanzania uligubikwa na dosari

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 14:36:42

Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025 ulishindwa kukidhi viwango vya kidemokrasia vya jumuiya hiyo,

Uchaguzi Tanzania 2025: Wapinzani kukamatwa, vurugu na ‘ushindi wa kihistoria’- matukio muhimu

Uchaguzi Tanzania 2025: Wapinzani kukamatwa, vurugu na 'ushindi wa kihistoria'- matukio muhimu

Jumamosi, 1 Novemba 2025 saa 07:59:16

Soma kuhusu matukio muhimu yaliyoibua kipindi kibaya cha machafuko ya hivi karibuni katika historia ya Tanzania .

Samia Suluhu Hassan aliyeshinda uchaguzi Tanzania kwa zaidi ya asilimia 97 ni nani?

Samia Suluhu Hassan aliyeshinda uchaguzi Tanzania kwa zaidi ya asilimia 97 ni nani?

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 08:54:05

Kutoka kuwa afisa wa maendeleo na serikali ya mkoa wa Zanzibar hadi Raisi wa Jamhuri ya Tanzania. Mfahamu Samia Suluhu Hassan.

Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Kura au maandamano? mizani ya haki za kikatiba inavyopimwa

Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Kura au maandamano? mizani ya haki za kikatiba inavyopimwa

Jumanne, 28 Oktoba 2025 saa 04:48:24

Oktoba 29, 2025, ni siku muhimu kwa Tanzania. Ni siku ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani tukio la kikatiba linalotazamwa kama kilele cha demokrasia ya taifa. Lakini mwaka huu, siku hiyo hiyo imechukua sura mbili. Uchaguzi wengine wakiitisha maandamano.

Uchaguzi Tanzania 2025: Maandamano ya siku ya uchaguzi yana maanisha nini?

Uchaguzi  Tanzania 2025: Maandamano ya siku ya uchaguzi yana maanisha nini?

Ijumaa, 31 Oktoba 2025 saa 07:09:44

Kwa mara ya kwanza kabisa maandamano yameshuhudiwa siku ya uchaguzi katika baadhi ya sehemu za Tanzania nchi ambayo ilikuwa imejiwekea hadhi ya ujamaa.

‘Ni kutawazwa sio ushindani’ - Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania akabiliwa na upinzani mdogo

'Ni kutawazwa sio ushindani' - Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania akabiliwa na upinzani mdogo

Jumatatu, 27 Oktoba 2025 saa 08:44:06

Rais Samia Suluhu Hassan hana ushindani thabiti kwenye uchaguzi unaokaribia.

Mstari mwembamba kati ya dini na siasa unavyotikisa uchaguzi Tanzania

Mstari mwembamba kati ya dini na siasa unavyotikisa uchaguzi Tanzania

Jumatatu, 27 Oktoba 2025 saa 04:56:10

Katika kila jukwaa la siasa, utasikia maneno ya maombi; katika kila madhabahu, maneno ya haki, amani, uadilifu au uwajibikaji. Lugha hizi, zenye mizizi ya kiimani, mara nyingi huibua mijadala ya kisiasa

‘Baada ya kushambuliwa, sasa napata hofu nyakati za uchaguzi Tanzania’

'Baada ya kushambuliwa, sasa napata hofu nyakati za uchaguzi Tanzania'

Jumamosi, 25 Oktoba 2025 saa 08:33:28

Ualbino, ambao unaathiri takriban watu 30,000 nchini Tanzania, ni tatizo la kimaumbile ambalo hupunguza melanini – inayoifanya ngozi, macho na nywele kuwa na rangi.

Matamanio ya Watanzania ughaibuni kuhusu uchaguzi wa nyumbani

Matamanio ya Watanzania ughaibuni kuhusu uchaguzi wa nyumbani

Ijumaa, 24 Oktoba 2025 saa 02:49:48

Katiba ya sasa ya Tanzania haiwaruhusu raia wa nchi hiyo kuwa na uraia pacha. Sheria hiyo iliyopitishwa mwaka 1965 inasema Mtanzania mwenye uraia wa nchi nyingine anapotimiza umri wa miaka 18 anapoteza uraia wake wa Tanzania moja kwa moja.

Uchaguzi Tanzania 2025: Ahadi tano za urais zilizoibua mshangao Zanzibar

Uchaguzi Tanzania 2025: Ahadi tano za urais zilizoibua mshangao Zanzibar

Alhamisi, 23 Oktoba 2025 saa 03:26:27

Wakati Tanzania ikielekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, kuna ahadi za wagombea urais ambazo huzusha mijadala mikubwa miongoni mwa wananchi. Mijadala hii huibuka kwa sababu nyingi ya ahadi hizi huonekana ni ngumu kutekelezeka au ni vituko.

Uchaguzi Tanzania 2025: Ahadi za wagombea zinazingatia mahitaji ya vijana?

Uchaguzi Tanzania 2025: Ahadi za wagombea zinazingatia mahitaji ya vijana?

Jumatano, 15 Oktoba 2025 saa 02:53:13

Wakati huu Tanzania ikijiandaa na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, na kampeni za wagombea mbalimbali zikiendelea. Swali linaloibuka: Je, ilani za vyama vya siasa zinazingatia mahitaji ya vijana?

Uchaguzi Tanzania 2025: Jinsi wagombea wa upinzani ‘walivyo hoi’ katika kampeni

Uchaguzi Tanzania 2025: Jinsi wagombea wa upinzani 'walivyo hoi' katika kampeni

Alhamisi, 16 Oktoba 2025 saa 02:59:15

Zimesalia wiki mbili pekee kabla ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kufanyika Oktoba 29, 2025.

Kwanini Samia ameshindwa kukamilisha mageuzi kwa namna na kiwango alichoahidi?

Kwanini Samia ameshindwa kukamilisha mageuzi kwa namna na kiwango alichoahidi?

Jumatatu, 6 Oktoba 2025 saa 02:54:26

Upinzani wenye nguvu umezongwa na kila aina ya kashikashi hata umekwama kushiriki uchaguzi kikamilifu. Uhuru wa vyombo vya habari bado ni suala lenye utata.

Uchaguzi Tanzania 2025: Mambo matatu yanayoutofautisha uchaguzi wa Zanzibar na Tanzania

Uchaguzi Tanzania 2025: Mambo matatu yanayoutofautisha uchaguzi wa Zanzibar na Tanzania

Jumatano, 8 Oktoba 2025 saa 03:52:34

Ingawa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uchaguzi wa Zanzibar hujitofautisha kwa njia nyingi za kipekee zinazofanya matokeo yake kuwa na uzito mkubwa zaidi ya kura.

Kwanini Rais Samia anatupiwa lawama?

Kwanini Rais Samia anatupiwa lawama?

Jumatatu, 10 Novemba 2025 saa 11:07:43

Tanzania bado imegubikwa na matokeo ya ghasia mbaya zaidi za baada ya uchaguzi, mgogoro ambao umetikisa sifa yake ya muda mrefu kama mwanga wa amani na utulivu barani Afrika.

Ahmed Sharia Ikulu; Je, wanajeshi wa Marekani kuelekea Damascus?

Ahmed Sharia Ikulu; Je, wanajeshi wa Marekani kuelekea Damascus?

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 11:23:33

Kusainiwa kwa makubaliano ya Syria kujiunga na “Muungano wa Kimataifa wa Marekani wa Kupambana na ISIS” katika Mashariki ya Kati, kuboresha uhusiano na Israel, na kuijenga upya Syria itakuwa miongoni mwa malengo muhimu zaidi ya ziara hii.

Kwanini Israel haitaki vikosi vya Uturuki Gaza?

Kwanini Israel haitaki vikosi vya Uturuki Gaza?

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 04:56:32

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar amesema kuwa Israel haitakubali kuwepo kwa wanajeshi wa Uturuki huko Gaza.

Rais Museveni akiri wanaharakati wa Kenya walikamatwa Uganda

Rais Museveni akiri wanaharakati wa Kenya walikamatwa Uganda

__

Kiongozi huyo wa muda mrefu wa Uganda anayalaumu “makundi ya kigeni” kwa kuchochea machafuko.

Elon Musk: Bilionea anayeishi kimasikini

Elon Musk: Bilionea anayeishi kimasikini

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 05:38:24

Musk ametoa mabilioni ya dola katika hisa kwa mashirika ya misaada na kuahidi mamilioni zaidi kwa mashirika mbalimbali, kulingana na nyaraka za kisheria za Marekani.

Binti wa rais wa zamani wa Afrika Kusini anayekabiliwa na mashtaka ya ugaidi

Binti wa rais wa zamani wa Afrika Kusini anayekabiliwa na mashtaka ya ugaidi

Jumapili, 9 Novemba 2025 saa 08:30:09

Urais wa miaka tisa wa Jacob Zuma, uliojaa utata, ulikoma mwaka wa 2018 huku kukiwa na madai mengi ya ufisadi, yote yakikanushwa.

Alipata pesa zake kwa kuuza ngamia na dhahabu. Sasa mbabe huyu wa kivita anadhibiti nusu ya Sudan

Alipata pesa zake kwa kuuza ngamia na dhahabu. Sasa mbabe huyu wa kivita anadhibiti nusu ya Sudan

Jumanne, 4 Novemba 2025 saa 08:43:12

Mohamed Hamdan Dagolo aidha ataongoza eneo lililojitenga ama atachukua udhibiti wa nchi nzima, Wasudan wanasema.

Jinsi kuzimwa kwa mtandao Tanzania kunavyosababisha habari potofu

Jinsi kuzimwa kwa mtandao Tanzania kunavyosababisha habari potofu

Jumatatu, 3 Novemba 2025 saa 13:06:35

Ni siku ya sita sasa ambapo mtandao wa intaneti umeminywa nchini Tanzania.

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga?

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga?

Jumatatu, 20 Oktoba 2025 saa 09:50:46

Ushawishi wa Raila Odinga ambaye alikuwa kiongozi mwanzilishi wa ODM, haukuwa na kifani.

Humphrey Polepole anayeripotiwa kutekwa Tanzania ni nani?

Humphrey Polepole anayeripotiwa kutekwa Tanzania ni nani?

Jumanne, 7 Oktoba 2025 saa 09:57:15

Kabla ya Polepole kuripoti kwa DCi Jumatatu ya Octoba 6, 2025 Taanzania iliamka na taarifa za kutekwa kwake na watu wasiofahamika ambao wanaripotiwa kuvamia nyumbani kwa Polepole usiku, kuvunja milango tofauti na kuondoka naye kwenda sehemu isiyojulikana.

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 14 Novemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 13 Novemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 12 Novemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 11 Novemba 2025 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki