__
Uchunguzi wa ripoti hiyo ulibaini kuwa mnamo mwaka 2024 mifumo ile ile ya ukiukwaji mkubwa katika maeneo yale yale, mara nyingi inahusisha ofisi zile zile za umma na za kijeshi.
Jumapili, 9 Machi 2025 saa 04:48:39
Ugonjwa huu, uliua mamilioni ya watu duniani kote
Jumapili, 9 Machi 2025 saa 10:46:01
Mara nyingi dalili huanza kwa uchofu, homa na maumivu ya misuli, hii hufuatwa kwa maumivu ya kichwa, kisunzi, baridi mwilini na matatizo ya tumbo.
Jumapili, 9 Machi 2025 saa 05:44:11
Kati ya wazungumzaji bilioni 1.52 wa lugha ya Kiingereza duniani, karibu robo (19.74%) wapo Marekani.
Jumapili, 9 Machi 2025 saa 09:20:20
Maporomoko ya ardhi katika jaa la Kiteezi Agosti mwaka jana yaliua watu 30, akiwemo rafiki yake Sanya Kezia.
Jumapili, 9 Machi 2025 saa 03:42:02
Tottenham iko tayari kuwasilisha ombi la takriban pauni milioni 33.6 kumsajili winga wa Bournemouth raia wa Ghana Antoine Semenyo
__
Takriban watu 20 wameuawa na wengine kama 30 kujeruhiwa kufuatia wimbi la mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine usiku kucha
Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 09:55:36
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, sio mgeni katika mchezo wa karata za kisiasa za ndani na nje ya taifa hilo la Afrika Mashariki. Katika miaka zaidi ya arobaini ambayo amekuwa akipiga siasa zake ndani ya Kenya, hajakosa kufanya maamuzi ya kisiasa yaliyowaacha wengi vinywa wazi.
Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 12:46:49
Je, dawa ya kupunguza maumivu ya gharama nafuu ya aspirini inaweza kuzuia kuenea kwa ugonjwa kama saratani? Wanasayansi wamegundua hivyo.
Jumamosi, 8 Machi 2025 saa 03:17:22
Wanawake watano walioibiwa kutoka kwa familia zao wakiwa watoto kwa kuwa machotara walishinda kesi yao ya kisheria ya kulipwa fidia dhidi ya serikali ya Ubelgiji mnamo Desemba 2024. Huu ni uamuzi wa kihistoria ambao wataalamu sasa wanasema unaweza kusababisha fidia zaidi. Mmoja wao anazungumza na mwandishi wa BBC Kaine Pieri.
Jumanne, 11 Februari 2025 saa 06:43:18
Ukosefu wa usingizi ni tatizo ambalo linaweza kuwapata wengi wetu wakati fulani wa maisha, lakini kwa baadhi ya watu, linapita na kuwa tatizo kubwa zaidi.
Jumapili, 2 Machi 2025 saa 09:42:43
Wiki tatu baada ya kugundulika kuwa na saratani ya shingo ya kizazi, Sayer Devi Modi mwenye umri wa miaka 88 aliamua kutotafuta matibabu. Badala yake, alichagua kufunga hadi kufa.
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 07:47:06
Ujerumani inahusishwa na asili ya Illuminati. Kulikuwa na kundi la ajabu lililoitwa Bavarians. Hii ilianza mnamo 1776. Watu wenye elimu walikusanyika na kukosoa utaratibu na muundo wa kidini.
Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 11:23:22
Inakadiriwa kuwa Rwanda inapokea zaidi ya dola bilioni 1 ya msaada wa kigeni.
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 11:37:07
Rais William Ruto na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kiongozi mkongwe wa upinzani wametia saini mkataba wa kufanya kazi baada ya wiki kadhaa za mashauriano nchini kote kuhusu mkataba huo wa kisiasa.
Jumatano, 5 Machi 2025 saa 13:23:14
Shirika la Afya Duniani (WHO) linapendekeza kuwa joto la chumbani liwe angalau 18°C (64.4°F) ili kulinda afya dhidi ya madhara ya baridi
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 09:58:53
Mazungumza ya malumbano huko Washington katika Ikulu ya rais, na Trump “kusitisha” misaada ya kijeshi ya Marekani, kumemlazimu Zelensky kupigia goti dira ya amani ya Trump.
Jumatano, 5 Machi 2025 saa 09:52:05
Kisiwa cha Idjwi nchini DRC kimekuwa kikipokea mamilioni ya watu wanaoathirika na vita nchini humo na nchi jirani ya Rwanda
Jumatatu, 3 Machi 2025 saa 13:10:40
Baada ya mzozo ulioibuka Ikulu ya Marekani, kati ya Rais Donald Trump na Zelensky, umeweka rehani uhusiano wa Marekani na Ukraine kuhusu kumaliza vita vya Ukraine
Alhamisi, 27 Februari 2025 saa 03:53:07
Kama umekuwa ukifuatilia mzozo unaoendelea wa DRC, bila shaka umesikia herufi FDLR zikitajwa mara kwa mara hasa Rwanda inapohusika. Lakini je, FDLR ni akina nani hasa?
Jumamosi, 1 Machi 2025 saa 11:00:21
Ujumbe wa Zelensky ulikata kiini cha kile ambacho wakosoaji wanasema ni makosa ya kimsingi ya Trump katika kushughulika na Urusi.
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 12:38:28
Mtaalamu wa masikio, koo na pua Moses Ayodele Akinola anazungumzia mambo mbalimbali yanayoathiri masikio na kusababisha upotevu wa kusikia.
Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 03:37:21
Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88 amekuwa akipitia maambukizi ya mfumo wa upumuaji kwa zaidi ya wiki moja.
Jumanne, 4 Machi 2025 saa 11:54:39
Kwa zaidi ya miaka 10 Iqbal Dar amekuwa akisumbuliwa na maradhi yaliyomfanya ashindwe kutembea.
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 7 Machi 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 6 Machi 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatano, 5 Machi 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 4 Machi 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki