world-service-rss

BBC News Swahili

Marekani na Iran zaanza mazungumzo kuhusu makubaliano ya awali ya amani Uswizi

Marekani na Iran zaanza mazungumzo kuhusu makubaliano ya awali ya amani Uswizi

__

Mazungumzo ya Marekani na Iran yanaanza nchini Uswizi huku Tehran ikisema imefunga mlango wa bahari wa Hormuz

Tanzania kwa nini Namibia?

Tanzania kwa nini Namibia?

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 11:06:28

Katika kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja uliopita, marais wa Tanzania na Namibia wamekutana mara kadhaa, wamefanya ziara za pande zote na kuendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wao. Lakini kwa nini Tanzania inaweka nguvu Namibia?

Mkataba wa Iran wamuweka Netanyahu katika changamoto kubwa kisiasa

Mkataba wa Iran wamuweka Netanyahu katika changamoto kubwa kisiasa

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 07:43:39

Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamemweka Waziri Mkuu wa Israel katika hali ngumu kisiasa, yakivunja nguzo tatu kuu za taaluma ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kumwacha akikabiliwa na changamoto mpya ya usalama.

Ugonjwa nadra unaomfanya mtu amjue kile anayemuona

Ugonjwa nadra unaomfanya mtu amjue kile anayemuona

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 05:57:37

Ana ugonjwa nadra wa neva unaosababisha kila mtu anayemwona kuonekana kama rafiki ambaye amemfahamu kwa miaka mingi, akiwa na kumbukumbu zisizo wazi za sherehe au vicheko kazini.

Wakati mila za mazishi zinapokutana na tishio la Ebola

Wakati mila za mazishi zinapokutana na tishio la Ebola

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 05:30:52

Imani, mila na desturi za DR Congo zimefanya baadhi ya familia kuendelea kushinikiza kurejeshewa miili ya wapendwa wao waliofariki dunia kutokana na ebola hata pale ambapo kuna hatari ya kueneza maambukizi.

Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz

Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz

Jumapili, 21 Juni 2026 saa 04:39:16

Chelsea wanazingatia kumsajili Florian Wirtz, Felix Nmecha yuko tayari kurejea England, na Aston Villa ni miongoni mwa wanaomtaka Nick Woltemade

Tunafunga Mlango-Bahari wa Hormuz - Iran

Tunafunga Mlango-Bahari wa Hormuz - Iran

__

Hii inafuatia makubaliano yaliyotiwa saini mapema wiki hii kati ya Marekani na Iran, yaliyolenga kumaliza mzozo huo.

Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast yaumizwa dakika za mwisho na Ujerumani

Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast yaumizwa dakika za mwisho na Ujerumani

__

Ujerumani imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Ivory Coast, waliotangulia kupitia kwa nahodha wake Cassie. Denis Undav akitokea benchi amefunga mabao yote ya Ujerumani, la pili akifunga dakika ya mwisho ya mchezo.

Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo

Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58

Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16

Ajenda ya nishati safi ya kupikia Tanzania nini kimebadilika?

Ajenda ya nishati safi ya kupikia Tanzania nini kimebadilika?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 20:02:09

Kupitia Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024–2034) Tanzania imepanga kutumia dola za Marekani bilioni 1.75, kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.

Chanjo ya kwanza duniani iliyoundwa na akili unde (AI)

Chanjo ya kwanza duniani iliyoundwa na akili unde (AI)

Jumamosi, 20 Juni 2026 saa 07:37:50

Timu kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge inasema hii ni mara ya kwanza kwa chanjo kubuniwa na akili unde (AI) moja kwa moja na kisha kufanyiwa majaribio kwa wanadamu.

Kisa cha mume kumlazimisha mkewe kushiriki ngono na wanaume 120

Kisa cha mume kumlazimisha mkewe kushiriki ngono na wanaume 120

Jumamosi, 20 Juni 2026 saa 05:04:29

Mahakama ilitoa hukumu kuwa mwanaume huyo alimtishia na kumuogofya mkewe, na kumlazimisha kujiweka mitandaoni kwa nia ya kuwavutia wateja wanaotaka kushiriki ngono.

Kutafuna chakula vizuri kunaimarisha ubongo wako - Utafiti

Kutafuna chakula vizuri kunaimarisha ubongo wako - Utafiti

Jumapili, 31 Mei 2026 saa 04:34:35

Kutafuna zaidi kunaweza kutoa faida nyingi, kutoka kwa kuboresha usagaji chakula na kusababisha ulaji wa chini wa kalori, kupunguza mafadhaiko na wasiwasi, na kuboresha uwezo wa utambuzi kwa kuimarisha ustadi wa kumbukumbu na kuongeza muda wa umakini.

Je, tunajua nini kuhusu fedha za Iran zilizozuiwa ugenini?

Je, tunajua nini kuhusu fedha za Iran zilizozuiwa ugenini?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 14:54:48

Iran inadai kupewa zaidi ya dola bilioni 100 za fedha ambazo inasema inamiliki, lakini ambazo zimegandishwa au kuzuiwa nje ya nchi.

Kuna hatari gani kuingia ndani ya nyumba ukiwa umevaa viatu?

Kuna hatari gani kuingia ndani ya nyumba ukiwa umevaa viatu?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 06:40:25

Kuvaa viatu ndani ya nyumba kunaweza kuwa hatari kwa afya?

Fuatilia taarifa za moja kwa moja

Fuatilia taarifa za moja kwa moja

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58

Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.

Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume

Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume

Jumatano, 17 Juni 2026 saa 04:42:57

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.

Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo

Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58

Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16

Mambo muhimu 14 waliyokubaliana Iran na Marekani

Mambo muhimu 14 waliyokubaliana Iran na Marekani

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 04:51:08

Makubaliano ya Marekani na Iran ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano kati ya nchi hizo mbili yamesainiwa na sasa yameanza kutekelezwa, afisa mmoja kutoka ikulu ta White House ameiambia BBC.

Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?

Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?

Jumamosi, 13 Juni 2026 saa 07:09:19

Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.

Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?

Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 04:55:40

Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.

CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?

CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?

Jumatano, 3 Juni 2026 saa 09:49:54

Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - “Yuda”. Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?

Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?

Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 10:49:41

Baadhi ya viongozi wa Marekani wanaiona mkataba huo kama mbaya zaidi ikilinganishwa na ule wa Barack Obama ulioafikiwa mwaka wa 2015, kwani hii ya sasa inaipa Iran nafuu zaidi.

Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni ‘vigogo’ 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani

Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani

Jumanne, 26 Mei 2026 saa 05:44:09

Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.

Hali ya maisha katika nchi tano salama zaidi duniani 2026

Hali ya maisha katika nchi tano salama zaidi duniani 2026

Jumapili, 14 Juni 2026 saa 09:49:47

Viwango vya jumla vya amani vilizorota katika nchi 99, ikiashiria mwaka wa kumi na mbili mfululizo wa kushuka kwa hali ya usalama ulimwenguni.

Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?

Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 12:01:08

Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.

Mataifa 10 ya Afrika yaliyo na uwezo mkubwa wa kiviwanda: Morocco yaipiku Afrika Kusini

Mataifa 10 ya Afrika yaliyo na uwezo mkubwa wa kiviwanda: Morocco yaipiku Afrika Kusini

Ijumaa, 12 Juni 2026 saa 09:54:07

Afrika imeshuhudia mabadiliko katika ukuaji wa kiuchumi kati ya Morocco na Afrika Kusini mwaka uliopita 2025, kulingana na Kielezo cha Maendeleo ya Viwanda cha Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB)

Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?

Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?

Alhamisi, 4 Juni 2026 saa 05:32:03

Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama rais.

‘Tunahofia maisha yetu’: Muda wa mwisho kwa wahamiaji kuondoka Afrika Kusini wakaribia

'Tunahofia maisha yetu': Muda wa mwisho kwa wahamiaji kuondoka Afrika Kusini wakaribia

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 03:25:28

Waandamanaji wameweka tarehe 30 Juni kuwa siku ya mwisho kwa wahamiaji wote wasio na nyaraka halali kuondoka nchini.

Simulizi ya kijana aliyempeleka kuku wake mgonjwa hospitalini ilivyobadili maisha yake

Simulizi ya kijana aliyempeleka kuku wake mgonjwa hospitalini ilivyobadili maisha yake

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 05:22:17

Kijana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Ethiopia amekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuchukua hatua isiyo ya kawaida ya kumpeleka kuku wake mgonjwa katika hospitali inayotibu binadamu ili apatiwe matibabu.

Kwa nini aina hizi 11 za saratani zinaangamiza sana vijana?

Kwa nini aina hizi 11 za saratani zinaangamiza sana vijana?

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 04:31:38

Saratani za utumbo na matiti ndizo zinazojitokeza zaidi kwa vijana, zikiwa na jumla ya kesi 11,500 kwa mwaka, wakati saratani za kongosho na kibofu cha nyongo ni chache zaidi.

Mwanamke anayeokoa nyoka dhidi ya binadamu

Mwanamke anayeokoa nyoka dhidi ya binadamu

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 12:12:18

‘Kulinda nyoka si suala la uhifadhi wa viumbe pekee, bali pia ni hatua muhimu katika kuokoa maisha ya binadamu kupitia maendeleo ya dawa zinazotokana na sumu ya nyoka’, anasema mtaalam wa wanyama Taiwo Okikiola.

Tanzania inaandika hadithi mpya ya urani ya Mkuju barani Afrika?

Tanzania inaandika hadithi mpya ya urani ya Mkuju barani Afrika?

Jumatano, 10 Juni 2026 saa 15:28:45

Julai 30, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alizindua kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa urani katika eneo la Mkuju River, Namtumbo. Je, nchi hiyo inaandika hadithi mpya ya urani ya Mkuju barani Afrika?

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 17 Juni 2026 saa 16:30:00

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 16 Juni 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 19 Juni 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 18 Juni 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki