
__
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kufungwa kwa njia hiyo muhimu ya baharini hadi itakapotolewa taarifa nyingine.

Jumapili, 12 Julai 2026 saa 07:55:53
Miongoni mwa mikusanyiko ya hivi karibuni iliyovutia idadi kubwa ya watu ni mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei. Kwa mujibu wa mamlaka za Iran, takribani watu milioni 43 walihudhuria shughuli za mazishi hayo.

Jumapili, 12 Julai 2026 saa 06:04:05
Lowri ni mmoja wa watu wachache nchini Uingereza wanaogunduliwa kila mwaka kuwa na maambukizi ya ubongo, yanayosababishwa na mabuu ya minyoo ya nguruwe.

Jumapili, 12 Julai 2026 saa 05:11:56
Manchester United na Liverpool zimeanza mawasiliano ya kumwania Joao Gomes, Chelsea iko kwenye mazungumzo ya kumsajili Jonathan Rowe, huku klabu ya MLS ikipanga kufanya jaribio la kumsaka Mohamed Salah.

Jumamosi, 11 Julai 2026 saa 11:09:49
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu

Jumapili, 12 Julai 2026 saa 03:59:21
Mara ya mwisho kwa Norway kushiriki Kombe la Dunia ilikuwa mwaka wa 1998, wakati ambapo Erling Haaland alikuwa bado hajazaliwa.

__
Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ameapa “kulipiza kisasi damu ya baba yake isiyo na hatia,” akiongeza kuwa ni jukumu la taifa hilo kulipiza kisasi.

Jumamosi, 11 Julai 2026 saa 09:19:29
Wanakijiji wanasema kuwa Kalubhai amelazwa katika hospitali kuu ya Sir Takhtsinhji mjini Bhavnagar, baada ya kupata majeraha mabaya.

__
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kushambulia maeneo kadhaa katika majimbo matano kusini mwa Iran kufuatia mashambulizi dhidi ya meli zilizokuwa zikipita eneo hilo.

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 10:59:17
Zawadi hiyo ya bastola iliwekwa ndani ya kisanduku cha mbao chenye mpangilio wa rangi nyeusi. Kisanduku hicho kilikuwa na bendera ya Uturuki, nembo ya NATO na kibao kilichoandikwa kwa Kituruki na Kiingereza: “Gumusay, bastola ya kwanza ya aina ya revolver kutengenezwa nchini mwetu.”

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 12:04:52
Kabla ya mashindano ya Kombe la Dunia 2026, mfumo wa VAR uliweza kutumika katika hali nne pekee, mabao, maamuzi ya penalti, matukio ya kadi nyekundu na makosa ya kumtambua mchezaji.

__
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewakosoa wanaharakati kwa kutegemea vurugu ili kuendesha maisha yao kwa maslahi ya wengine.

Alhamisi, 9 Julai 2026 saa 03:43:04
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.

Jumanne, 7 Julai 2026 saa 08:39:49
Sasa wanandoa wenye furaha, Francília na Luiza wamedumisha ari yao ya umisionari iliyowasukuma kuingia kwenye nyumba ya watawa ambako walikutana.

Jumanne, 9 Juni 2026 saa 03:51:58
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.

__
Hali ya ulinzi imeonekana kuimarishwa zaidi katika jiji kuu la kibiashara la Tanzania Dar es Salaam, huku mamia ya maafisa polisi na jeshi wakionekana kutanda katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.

Jumatano, 1 Julai 2026 saa 03:42:22
Isipokuwa iwapo umeruka darasa la elimu ya ngono, labda una ufahamu wa kimsingi jinsi watoto wanavyoumbwa.

Jumanne, 30 Juni 2026 saa 03:01:29
Vyuo vikuu barani Afrika vinazidi kutambulika katika jukwaa la kimataifa, kwa kuchochewa na matokeo yenye nguvu ya utafiti, ushirikiano wa kimataifa, na ushawishi unaokua wa kitaaluma.

Jumanne, 30 Juni 2026 saa 10:03:54
Sababu nyingine inayochochea wanawake kutofika kileleni wanapokuwa na wenzi wao ni ugumu wa kuzungumza na uwazi kuhusu wanachokipenda wakati wanashiriki ngono.

Jumatatu, 29 Juni 2026 saa 03:41:43
Huku mivutano ya kijiografia ikiongeza duniani na kusababisha vita na migogoro, mahitaji ya vifaa vya kijeshi, kupitia biashara ya silaha, yanazidi kuongezeka katika ulimwengu.

Jumapili, 28 Juni 2026 saa 06:17:38
“Hivi kweli mwananchi wa kipato cha chini hapo umewasaidiaje? NHC leteni miradi ya nyumba za kawaida za milioni 30 au 50. Mikopo ya nyumba iwe miaka 25 au 30,” Vanessa Stafford aliandika kwenye ukurasa wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Jumapili, 28 Juni 2026 saa 09:54:08
Watu wengi wanafikiri kuwa msongo wa mawazo ndio chanzo. Wengine wanahusisha hali na sababu mbaya za kiafya. Hata hivyo, kuamka nyakati hizo kunaweza kuwa ishara ya matatizo mbalimbali.

Jumatano, 17 Juni 2026 saa 04:42:57
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.

Ijumaa, 26 Juni 2026 saa 03:59:59
Huku sehemu za bara zikiendelea kukabiliana na ugaidi, uasi, na ukosefu wa utulivu wa kisiasa, nchi kadhaa zimedumisha viwango vya juu vya amani na usalama.

Alhamisi, 25 Juni 2026 saa 11:09:15
'’Vijana Afrika Mashariki hatutakubali kunyamazishwa na viongozi ambao hawana nia ya kuheshimu katiba na demokrasia, viongozi wa Afrika Mashariki wajue hilo’’, Ezekiel ambaye ni mwanaharakati Kenya aiambia BBC.

Jumatano, 8 Julai 2026 saa 03:53:14
Watafiti wanasema kuwa matukio mengi ya mabomu kudondoka kwa bahati mbaya hutokea katika eneo la Belgorod nchini Urusi, linalopakana na eneo la Kharkiv nchini Ukraine ambalo lina viwanda vingi.

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 06:25:55
Mandhari ya anga ya Afrika Mashariki inabadilika kwa kasi huku majengo marefu ya Nairobi, Dar es Salaam, na Kigali yakichukua nafasi ya juu, jambo linaloakisi ukuaji wa uchumi na azma ya maendeleo ya mijini katika eneo hili.

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 04:29:49
Kuondoka kwa makampuni mengi ya kigeni baada ya uvamizi wa Ukraine kuliacha nafasi kubwa katika soko la Urusi. Nafasi hiyo ilijazwa haraka na wafanyabiashara wenye uhusiano wa karibu na Kremlin, ambao waliruhusiwa kununua biashara na mali zenye faida kubwa kwa bei za chini sana.

Alhamisi, 25 Juni 2026 saa 09:59:05
Nchi za Kiarabu za Ghuba, ambazo ziko katikati ya mivutano kati ya Washington na Tehran, zinafuatilia kwa wasiwasi mkubwa maendeleo haya. Ikiwa mivutano itazidi tena, huenda ndizo nchi zitakazobeba mzigo mkubwa zaidi wa madhara.

Jumatano, 24 Juni 2026 saa 10:58:29
Airforce One: Rais wa Marekani Donald Trump ameitembelea ndege mpya ya rais, aliyokabidhiwa na Qatar mwaka mmoja uliopita, akiielezea kama “ndege ya kifahari zaidi duniani.”

Jumamosi, 27 Juni 2026 saa 07:05:20
Ukosefu wa imani na kuaminiana katika uhusiano, ambao unaweza kufanya kuishi pamoja kuwa na migogoro au wasiwasi, na hatimaye unaweza kusababisha kutengana.

Jumatano, 24 Juni 2026 saa 12:14:10
Baada ya maelezo ya makubaliano ya maelewano kati ya Iran na Marekani kuchapishwa, imebainika kwamba Lebanon ilichukua nafasi muhimu katika maandishi na vipengele vya makubaliano hayo.

Jumapili, 5 Julai 2026 saa 09:42:27
Utafiti uliotajwa na Maktaba ya Kitaifa ya Tiba uligundua kuwa moshi wa vijiti vya udi unaweza kuongeza vifo vinavyotokana na magonjwa ya moyo na kiharusi kwa takriban asilimia 12.

Jumatatu, 6 Julai 2026 saa 02:38:55
Mazishi ya Khamenei ni ukumbusho mwingine wa mabadiliko yaliyoikumba Iran, lakini uongozi wake mpya unalenga nini?

Jumamosi, 13 Juni 2026 saa 07:09:19
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 9 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 8 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 7 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 10 Julai 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 9 Julai 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 9 Julai 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki