
__
Israel inasema kuwa inafanya mashambulizi kote Iran na Lebanon huku mawaziri wa fedha wa G7 wakitarajiwa kufanya mkutano wa dharura kuhusu bei ya mafuta.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 14:09:36
Nchi za Mashariki ya Kati na Ghuba, pamoja na Marekani, zimeiomba Ukraine iwauzie vifaa vya kuzuia ndege zisizo na rubani ili kukabiliana na ndege zisizo na rubani za “Shahed” za Iran.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 11:48:12
Shambulio la torpedo lililoipiga meli ya kivita ya Iran katika Bahari ya Hindi ilirushwa kutoka kwa manowari USS Charlotte.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 10:52:17
Katika miongo ya hivi karibuni, Marekani imeingilia kijeshi katika nchi kadhaa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, wakati mwingine kama mhusika mkuu na nyakati zingine ambapo imekuwa na jukumu maalum zaidi.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 03:41:15
Wengi wanatarajia mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 56, ambaye kwa kiasi kikubwa amejificha, kuendeleza sera kali za baba yake.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 07:40:28
Wanawake hao wawili walishuka kwenye treni kwenye kituo kilichofuata na kubadilishana namba.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 05:06:13
Iran haiwezi kushinda kwa njia ya kawaida, lakini mkakati wake ni kuhakikisha ushindi wa wengine unakuja kwa gharama kubwa na usio na uhakika

Jumapili, 8 Machi 2026 saa 10:14:31
Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Haki, usawa na matendo kwa wanawake na wasichana wote”, ikisisitiza kwamba haki na usawa si ndoto tu bali ni malengo yanayohitaji matendo halisi (hatua halisi) na uangalizi wa kimkakati.

Jumapili, 8 Machi 2026 saa 06:16:59
Msamaha wa Rais Pezeshkian unaweza kudokeza kujipanga upya kisiasa ndani ya Iran, anaandika mwandishi wa BBC Persian Amir Azmi.

Jumapili, 8 Machi 2026 saa 08:34:45
Kim Jue Ae anaonekana zaidi pamoja na baba yake, lakini mengi kumhusu bado ni fumbo.

Jumapili, 8 Machi 2026 saa 06:28:27
Huku Arsenal na Manchester City zikiwa bado katika mbio za kuwania mataji manne msimu huu, BBC inaangalia ni klabu gani nyingine alikaribia kutwaa mataji manne.

Jumapili, 8 Machi 2026 saa 03:24:43
Wanawake wapiganaji wanakumbuka jinsi mgogoro katika eneo la kaskazini la Tigray ulivyoharibu maisha yao, huku hofu ikiongezeka kwamba mapigano yanaweza kuanza tena.

Jumamosi, 7 Machi 2026 saa 12:07:09
Mchambuzi wa masuala ya usalama Gordon Corera anaangazia kile kinachoweza kutokea baada ya viongozi wengi wakuu wa Iran kuuawa.

Jumamosi, 7 Machi 2026 saa 11:01:59
Katika mwaka wa 1990, watu wenye umri wa miaka 16 hadi 44 waliripoti kufanya tendo la ndoa takriban mara tano kwa mwezi.

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 10:34:49
Wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani, kuna ongezeko la hamu ya kula vyakula mbalimbali.

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 12:41:04
Hivi ni vita ambavyo serikali za Kiarabu hazikutaka vitokee na zilijaribu kuvizuia. Swali ni ikiwa nao wataingia katika vita baada ya mashambulizi waliyoyaitaya ya “usaliti” ya Iran.

Jumamosi, 7 Machi 2026 saa 09:19:59
Mamilioni ya waumini wa kiislamu hushiriki Umrah nchini Saudi Arabia katika mwezi wa Ramadhan.

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 04:19:18
Muda mfupi baada ya Marekani na Israeli kuanza kuishambulia Iran mnamo Februari 28, Rais Donald Trump aliishutumu Tehran kwa kujenga silaha za nyuklia ambazo zinatishia washirika wa Marekani na zinaweza “kufikia nchi ya Marekani hivi karibuni”.

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 04:17:11
Serikali, vikundi vya kidini, na viongozi wa kijamii wamejibu kwa njia tofauti, wakionyesha uhusiano wa kidini na kisiasa wa muda mrefu kati ya Afrika na Iran.

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 12:04:05
China bado haijahisi mshtuko wa vita Mashariki ya Kati. Lakini tayari inahisi athari zake za awali.

Jumatano, 4 Machi 2026 saa 09:59:47
Waziri mkuu wa Italia, kwa upande wake, hajajihusisha na mashambulizi yanayoendelea Iran.

Jumatatu, 2 Machi 2026 saa 12:03:17
Jeshi la Israel lilisema liliwauwa viongozi wakuu 40 wa jeshi la Iran

Jumatano, 25 Februari 2026 saa 12:12:12
Msemaji huyo aliuawa kupitia shambulio la angani lililotekelezwa na FARDC eneo la Rubaya Jumanne usiku, shambulio ambalo liliwaacha viongozi kadhaa wa M23 na majeruhi.

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 10:59:56
Marekani inafaa kupiga marufuku usafiri wa anga ili kuwalinda wapiganaji wa Kikurdi.

Jumatano, 25 Februari 2026 saa 03:43:05
Kiongozi wa kidini ndiye kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran na anadhibiti vyombo vyote vya usalama.

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 09:59:14
Historia inaonyesha kwamba vita vyote vya Sudan vimekuwa vya muda mrefu na kudumu hadi miaka 20.

Jumanne, 17 Februari 2026 saa 05:54:08
Sukari inayopatikana kwa tende husaidia kuongeza viwango ya sukari mwilini kwa haraka ikilinganishwa na vyakula vingine ambavyo huchukua muda kumengenywa.

Jumatano, 25 Februari 2026 saa 03:44:32
Kwa miongo kadhaa, Amerika Kusini imeshuhudia mapambano kati ya mamlaka za ndani na viongozi wa magenge ya biashara ya dawa za kulevya, viongozi wa magenge ambao wamejulikana kwa majina na sura zao na wamekuwa wakikimbia kwa miaka mingi.

Jumanne, 27 Januari 2026 saa 03:13:40
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 10:02:17
Kudhoofika kwa Hezbollah kulichangia kuondolewa kwa Bashar al-Assad, na kuicha Tehran upweke.

Jumamosi, 31 Januari 2026 saa 09:02:24
Utumwa ni sehemu chungu ya historia ya Afrika iliyonyang’anya watu wengi, hasa watu weusi, heshima yao na kuacha majeraha ya kudumu.

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Jumatatu, 9 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 6 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 5 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 4 Machi 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki