world-service-rss

BBC News Swahili

Trump atangaza Mlango Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani

Trump atangaza Mlango Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani

__

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwa sasa Mlango Bahari wa Hormuz ni eneo la Marekani na Iran inaonekana haipo tayari kufikia makubaliano.

Mfungwa aliyeepuka kunyongwa mara nane, afariki dunia

Mfungwa aliyeepuka kunyongwa mara nane, afariki dunia

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 09:00:03

Francis Clifford Smith aliandaliwa “mlo wake wa mwisho” mara nane tofauti. Hata hivyo, utekelezaji wa hukumu yake uliahirishwa katika kila moja ya nyakati hizo, na akawa mfungwa aliyekaa gerezani kwa muda mrefu zaidi nchini Marekani kabla ya kufariki dunia mwezi Juni akiwa na umri wa miaka 101.

Siri Yafichuliwa: Kwa nini Bomu la Nagasaki halikuweza kuzuiwa

Siri Yafichuliwa: Kwa nini Bomu la Nagasaki halikuweza kuzuiwa

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 06:33:47

Mnamo tarehe 9 Agosti 1945, bomu la plutonium liliangushwa katika mji wa Nagasaki nchini Japan, na hivyo kuhitimisha Vita vya Pili vya Dunia.

“Ingekuwa rahisi zaidi kuoa au kuolewa, lakini kwa sasa nitahifadhi mayai yangu ya uzazi” Mbunge wa Marekani

"Ingekuwa rahisi zaidi kuoa au kuolewa, lakini kwa sasa nitahifadhi mayai yangu ya uzazi" Mbunge wa Marekani

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 08:43:32

Idadi ya wanawake wanaotaka kuhifadhi mayai yao ya uzazi imeongezeka zaidi ya mara sita kati ya mwaka wa 2014 na 2024, kutoka 6,090 hadi 38,930.

Nywele bandia zahusishwa na saratani

Nywele bandia zahusishwa na saratani

Jumamosi, 22 Agosti 2026 saa 06:08:19

Nywele bandia zinazoongezewa kwenye nywele, zinazotumiwa na mamilioni ya wanawake duniani kote zinaweza kuwa na kemikali zinazohusishwa na saratani ya matiti, kuvurugika kwa mfumo wa homoni na hatari kwa mfumo wa uzazi, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa.

Kilichonileta hapa sio uhaini ni vita vya kisiasa - Lissu

Kilichonileta hapa sio uhaini ni vita vya kisiasa - Lissu

__

Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu imeahirishwa kwa muda hadi Jumatatu wiki ijayo atakapoendelea kujitetea mbele ya mahakama.

Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?

Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 11:30:27

Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?

Lissu akutwa na kesi ya kujibu

Lissu akutwa na kesi ya kujibu

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 08:02:12

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na kumkuta ana kesi ya kujibu

Iran yaapa kujibu kwa nguvu vikwazo vya Marekani

Iran yaapa kujibu kwa nguvu vikwazo vya Marekani

__

Iran imesema itajibu vikali vitisho vipya kutoka kwa Marekani, baada ya Marekani kusema inapania kuweka vikwazo vikali zaidi vya kifedha dhidi ya Iran, vitakavyoporomosha utawala wa taifa hilo.

“Najiona kama Mrusi”: Waukraine waliochukua silaha dhidi ya nchi yao

"Najiona kama Mrusi": Waukraine waliochukua silaha dhidi ya nchi yao

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 04:37:41

Magharibi mwa Ukraine, nyuma ya kuta ndefu na safu za malango yaliyofungwa, kuna kambi iliyojaa wanaume waliotekwa wakiipigania Urusi.

Silaha 9 za teknolojia ya juu zitakazobadili vita vya siku zijazo

Silaha 9 za teknolojia ya juu zitakazobadili vita vya siku zijazo

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 03:29:14

Leo uwanja wa vita unaelekea kwa kasi kwenye silaha zisizoonekana, kupitia akili unde, sumakuumeme, na anga ya juu.

Akili Mnemba (AI) yatikisa Ajira: Kazi gani ziko Hatarini?

Akili Mnemba (AI) yatikisa Ajira: Kazi gani ziko Hatarini?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:53:02

Kampuni zinazojihusisha na nyanja ya akili mnemba (AI) hutoa madai mapana kuhusu uwezo wa zana zao kuchukua nafasi ya nguvu kazi ya binadamu.

Je, Iran itaishambulia Ulaya?

Je, Iran itaishambulia Ulaya?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:05:01

Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.

Kwa nini mojawapo ya misimu isiyotabirika zaidi ya Ligi Kuu ya Uingereza inakuja?

Kwa nini mojawapo ya misimu isiyotabirika zaidi ya Ligi Kuu ya Uingereza inakuja?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 11:42:37

Msimu wa Ligi Kuu wa 2026-27 bado haujaanza, lakini tayari umeweka historia.

Jiwe la kilo 3.1 laondolewa kwenye kibofu cha mwanaume

Jiwe la kilo 3.1 laondolewa kwenye kibofu cha mwanaume

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 05:58:14

Madaktari nchini Sri Lanka wamemwondolea mwanamume jiwe la kibofu lenye uzito wa kilo 3.1 ambalo wanaamini kuwa ndilo kubwa zaidi la aina yake kuwahi kurekodiwa.

Bidhaa 8 zilizobadilisha dunia

Bidhaa 8 zilizobadilisha dunia

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 04:58:16

Apple inatimiza miaka 50, safari yenye mafanikio makubwa, changamoto na bidhaa zilizobadilisha dunia. Tunaangazia bidhaa zilizoifanya Apple kuwa kampuni tunayoijua leo.

Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?

Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 03:20:31

Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?

Kazungu: Kada wa CCM azungumza na BBC alivyotekwa na kuteswa

Kazungu: Kada wa CCM azungumza na BBC alivyotekwa na kuteswa

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 08:26:14

Kazungu alitekwa tarehe 04 Agosti akiwa nyumbani kwake akijiandaa kuoga, ambapo watekaji walimchukua kwa nguvu, kumuingiza katika gari aina ya Land Cruizer na kuzunguka naye kwa masaa mengi, kwa mwendo wa kasi huku akiwa amefungwa kitambaa cheusi usoni na pingu mikononi.

Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?

Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 09:46:52

Hivi karibuni, Elon Musk alitangaza mpango wa kujenga mji kwenye Mwezi; alisema kuwa mpango huo unaweza kutekelezwa ndani ya muda usiozidi muongo mmoja na kwamba mji huo utakuwa na uwezo wa kukua na kuendelea kwa kujitegemea.

Arsenal wamuweka Kenan Yildiz kwenye rada yao

Arsenal wamuweka Kenan Yildiz kwenye rada yao

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 02:07:35

Arsenal yaingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Kenan Yildiz, Atletico Madrid wanaharakisha kukamilisha dili la Nicolas Jackson, huku Manchester City ikiwa kwenye mazungumzo ya kumsajili Allan Elias.

‘Falcon Strike Force’ ni nini, na kwa nini Marekani ‘inahaha’ kukiimarisha?

'Falcon Strike Force' ni nini, na kwa nini Marekani 'inahaha' kukiimarisha?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 03:47:43

Marekani inapanua matumizi ya droni za mashambulizi Mashariki ya Kati. Lakini “Falcon Strike Force” ni nini, na kwa nini Washington inatafuta washirika wa kikanda kujiunga na mpango huo?

Iran na Marekani kuingia awamu mpya ya vita?

Iran na Marekani kuingia awamu mpya ya vita?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 04:25:13

Iran na Marekani zimeingia katika hatua mpya ya mvutano, huku makubaliano yakikwama na vita vya kiuchumi vikiongezeka. Nani atalegeza kamba?

Mambo yanayokuwezesha kurejesha nyuma umri wako

Mambo yanayokuwezesha kurejesha nyuma umri wako

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 10:54:11

Sayansi inaonyesha kuwa ni wakati wa kutafakari upya na kuchukua udhibiti wa umri wa miili yetu. Hivi ndivyo unavyoweza kupunguza kasi, kusimamisha, na huenda hata kurudisha nyuma saa yako ya kibiolojia.

Ellen: Binti anayewafuatilia simba 300 wenye vitambulisho Serengeti

Ellen: Binti anayewafuatilia simba 300 wenye vitambulisho Serengeti

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 03:11:14

Kwa miaka mitatu, mwanasayansi huyo amekuwa akiwafuatilia simba katika Serengeti, akijifunza maisha yao mmoja baada ya mwingine, huku akikabili hatari za kuwa karibu nao.

Mji unaomtengenezea Trump makombora

Mji unaomtengenezea Trump makombora

Jumatatu, 17 Agosti 2026 saa 11:56:36

Mkazi mmoja anasema kuwa katika eneo la Kingsport, Tennessee, lililoko katika ukanda wa milima ya Appalachian, kuna makanisa mengi kiasi kwamba inaonekana kana kwamba kuna kanisa katika kila barabara.

Ndege 5 za kivita zenye kasi zaidi

Ndege 5 za kivita zenye kasi zaidi

Jumatatu, 17 Agosti 2026 saa 04:01:48

Wakati wa vita vya Iran/Iraq katika miaka ya 1980, inaaminika kwamba ndege za kivita za Iran aina ya F-14 zilisababisha vifo vya takriban watu 150 katika mapigano ya angani.

Kwa nini Tanzania inawashirikisha majaji wa nje kuchunguza ghasia za Oktoba 29?

Kwa nini Tanzania inawashirikisha majaji wa nje kuchunguza ghasia za Oktoba 29?

Jumamosi, 8 Agosti 2026 saa 07:11:46

Vyama vya upinzani nchini Namibia, na CHADEMA cha Tanzania vimepinga uwepo wa majaji wa nje, kwa mantiki mbalimbali ikiwmeo uhuru wa kimahakama Namibia na hofu ya kutopatikana ukweli kwa Tanzania.

WARIDI WA BBC: ‘Nina miaka 23 na nywele zangu zinanyonyoka’

WARIDI WA BBC: 'Nina miaka 23 na nywele zangu zinanyonyoka'

Jumatano, 12 Agosti 2026 saa 03:41:16

Tatizo la kung’oka au kunyoyoka nywele linakadiriwa kuwaathiri watu milioni 160 duniani kote.

Tishio la Iran lashinikiza Trump kufichwa katika lori la chakula

Tishio la Iran lashinikiza Trump kufichwa katika lori la chakula

Jumanne, 11 Agosti 2026 saa 11:35:52

Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti kuwa Donald Trump alibadilisha ndege kwa siri wakati akiondoka kwenye mkutano wa kilele wa NATO nchini Uturuki mwezi uliopita, kutokana na tishio linalowezekana kutoka Iran

Viumbe 10 vyenye sura mbaya zaidi duniani

Viumbe 10 vyenye sura mbaya zaidi duniani

Alhamisi, 6 Agosti 2026 saa 09:28:36

Watu wengi huvutiwa na wanyama wenye sura kama za watoto - fikiria macho makubwa, pua ndogo, nyuso za mviringo. Ni kwa sababu tunawajali watoto wetu.

Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?

Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30

Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

VAR, kupoteza muda na uingizaji wa wachezaji wa akiba - Sheria mpya kwa msimu mpya

VAR, kupoteza muda na uingizaji wa wachezaji wa akiba - Sheria mpya kwa msimu mpya

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 10:42:42

Msimu wa 2026-27 utashuhudia idadi kubwa ya sheria mpya, ambazo nyingi zinalenga kushughulikia suala la kuvurugwa kwa kasi ya mchezo na kuufanya mchezo huo uwe wa kasi zaidi.

Wadudu ambao ni tunu ya maarifa iliyofichwa katika ulimwengu wa asili

Wadudu ambao ni tunu ya maarifa iliyofichwa katika ulimwengu wa asili

Alhamisi, 13 Agosti 2026 saa 11:14:44

Kuanzia mende hadi nzi, kuna mengi tunayoweza kujifunza kutokana na mienendo yao kuhusu jinsi ya kufanya maamuzi bora.

Kwa nini baadhi ya wanafunzi wa vyuo hugeuza mahusiano kuwa biashara?

Kwa nini baadhi ya wanafunzi wa vyuo hugeuza mahusiano kuwa biashara?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 05:40:26

Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaweza kujikuta wakitumia mahusiano kama njia ya kujipatia fedha, hali ambayo inaweza kuwaweka katika mazingira yenye changamoto za kiafya, kiakili na kijamii.

Roboti zinaweza kuwa wanajeshi wa vita vijavyo?

Roboti zinaweza kuwa wanajeshi wa vita vijavyo?

Ijumaa, 14 Agosti 2026 saa 03:45:43

Hawana hofu, hawachoki na hawahitaji kuwa na binadamu pembeni yao. Roboti hawa wanaingia vitani na kubadilisha namna mapigano yanavyofanyika.

Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu ‘imalizwe’ ndani ya siku 30

Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu 'imalizwe'  ndani ya siku 30

Jumamosi, 11 Julai 2026 saa 11:09:49

Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Dira Ya Dunia

Jumanne, 18 Agosti 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Amka Na BBC

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki