
__
Trump amesema uamuzi huo ulifikiwa kwa ushirikiano na Israel. Kauli hiyo imekuja wakati vyombo vya habari vya Marekani vikiripoti kuwa Marekani ilikuwa ikifikiria kufanya mashambulizi mapya na makali dhidi ya Iran mwishoni mwa wiki.

Jumapili, 2 Agosti 2026 saa 05:24:18
Mohamed Salah anakaribia kukamilisha uhamisho wake kwenda Trabzonspor, huku Bayern Munich ikimsaka mshambuliaji wa Manchester United, Benjamin Sesko. Wakati huohuo, kocha wa Manchester City, Enzo Maresca, anatamani kufanya kazi tena na winga wa Chelsea, Pedro Neto.

Jumamosi, 1 Agosti 2026 saa 07:14:58
Inaeleweka kwamba matatizo ya meno, kama vile bakteria kutoka katika fizi, wanaweza kuongeza hatari ya ugonjwa wa moyo na maambukizi katika mifumo ya kupumua.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 12:00:03
Hezbollah inakabiliwa na mtihani mgumu zaidi wa kisiasa na kijeshi katika kipindi cha miaka mingi. Kufuatia hasara iliyopata katika uongozi na mfumo wake wa kijeshi

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 10:46:22
Hamas inaishutumu Israel kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya Oktoba kwa kuhamisha Mstari wa Njano kuelekea magharibi.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 09:45:33
Tangu Marekani na Israel zilipoanzisha vita dhidi ya Iran tarehe 28 Februari, Saudi Arabia kwa kiasi kikubwa imejitahidi kuepuka kujihusisha moja kwa moja na mzozo huo.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 05:58:28
Kwa mujibu wa watafiti, ripoti hii inaonyesha kuwa maendeleo ya nchi hayawezi kupimwa kwa ukuaji wa uchumi pekee. Ubora wa maisha ya wananchi pia hutegemea mambo ya kijamii, kisiasa na kibinadamu ambayo mara nyingi ni magumu kupimika, lakini yana mchango mkubwa katika ustawi wa watu.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 04:57:40
Mazingira ya klabu yanasemekana kuwa rahisi kwa watu kuelewa masuala muhimu katika jamii ambayo yanawahusu au kuwagusa moja kwa moja.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 03:55:42
Illuminati ilianza kama “kundi la wasomaji” la siri la wanafunzi wa vyuo vikuu wanaopinga mafundisho ya kidini na waliojitolea kwa ugunduzi wa kisayansi.

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 12:16:45
Alla, ambaye kabla ya vita alikuwa mhadhiri na baadaye Mkuu wa Kitivo (Dean) katika Chuo Kikuu cha Udaktari cha Kharkiv nchini Ukraine, alijikuta akishindwa kurejea nyumbani baada ya Urusi kuvamia Ukraine tarehe 24 Februari mwaka 2022.

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 04:28:48
Utumiaji wa alama hii umeonekana hata kwa wasanii wengine zaidi kama Bentham, Le Barbier, Thomson, Barton na wengine wengi hivyo basi sio ushahidi tosha kuwa alama ya jicho inahusishwa na ushetani lakini pia inaweza kuwa nembo kama yoyote ile.

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 05:55:01
Wataalamu wanasisitiza kuwa kiwango cha chini cha talaka hakipaswi kutafsiriwa moja kwa moja kuwa ndoa katika nchi hizo zina mafanikio zaidi.

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 03:09:25
“Nilikuwa naumia sana kumtafutia dada yangu aliyeugua saratani hospitali, daktari na dawa. Hapo ndipo nilipoamua kwamba siku moja ningejenga hospitali ya saratani’’, anaeleza Dkt. Catherine Nyongesa.

Jumatano, 29 Julai 2026 saa 11:07:32
Mabadiliko mwilini huanza taratibu na huweza kuchukuliwa kuwa uchovu wa kawaida au mabadiliko ya maisha ya kila siku. Hata hivyo, zinaweza kuwa onyo la mapema kwamba mwili unapitia hali isiyo ya kawaida inayohitaji uchunguzi wa kitaalamu.

Jumatano, 29 Julai 2026 saa 13:02:07
Mipango ya kujenga kituo cha Kiislamu katika Fujisawa, mji tulivu wa pwani ulio takribani saa moja kwa gari kusini mwa Tokyo, imeibua hisia tofauti miongoni mwa wakazi.

Jumatano, 29 Julai 2026 saa 05:18:28
Kwa watu wengi, kupendwa kwa mara ya kwanza ni jambo wanalokumbuka kwamuda mrefu maishani.

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 09:30:26
Kusitishwa kwa mashambulio kati ya Iran na Marekani kumeimarisha juhudi za kidiplomasia na juhudi za wapatanishi za kutatua mizozo ya pande hizo mbili, kuu kwa sasa ni suala la usafiri wa meli katika Mlango Bahari wa Hormuz.

Ijumaa, 24 Julai 2026 saa 11:09:00
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuendelea kudai kupatikana kwa Katiba mpya yenye maridhiano ya kitaifa, akisema ndiyo msingi wa kuimarisha haki za binadamu, utawala bora na demokrasia nchini.

Jumatatu, 27 Julai 2026 saa 10:01:34
Wanahistoria walikuwa wakijua kwa muda mrefu kuhusu uwepo wa makaburi hayo kupitia kumbukumbu za makanisa, lakini eneo lake halisi lilikuwa limepotelea chini ya ardhi wakati jiji lilipokuwa likipanuka.

Jumatano, 22 Julai 2026 saa 04:16:59
Kulingana na Nduta ugonjwa huu una dalili zaidi ya 40 na kila mmoja ana dalili zake. Lakini anachokijua ni kwamba kadiri miaka inavyoongezeka ndivyo hali ya ugonjwa huu inavyoendelea kuwa mbaya.

Jumatano, 22 Julai 2026 saa 03:55:40
Sawa na maeneo mengine ya duniani, Afrika inaendelea kuwavutia watalii wa kimataifa mwaka wa 2026.

Jumatano, 22 Julai 2026 saa 02:59:41
Katika vitisho vyake vya hivi karibuni dhidi ya Iran, Rais wa Marekani Donald Trump amelitaja eneo ambalo halijulikani sana ikilinganishwa na vituo vingine vya nyuklia, “Koh Kalang,” eneo la chini ya ardhi lililo karibu na kituo cha nyuklia cha Natanz.

Ijumaa, 17 Julai 2026 saa 11:29:10
Kuanzia salamu za siri za mikono na kukunja ncha za suruali hadi tuhuma za upendeleo kwa watu wa karibu, uonevu na kukandamiza mageuzi, sifa ya Freemasons haijawahi kuwa nzuri wakati wote.

Jumamosi, 11 Julai 2026 saa 11:09:49
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu

Jumanne, 28 Julai 2026 saa 11:53:56
Austria imefungua kituo cha polisi katika nyumba ambayo Adolf Hitler alizaliwa. Jengo hilo liko katika mji wa Braunau am Inn, ulioko kaskazini mwa Austria, ambao una wakazi wapatao 17,000.

Alhamisi, 9 Julai 2026 saa 03:43:04
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.

Alhamisi, 16 Julai 2026 saa 03:30:05
Mwaka wa 2026 umeshuhudia visa vya kutisha vya uhuni ambavyo mpaka leo ni wachache ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka.

Jumanne, 14 Julai 2026 saa 02:54:27
Mojtaba Khamenei, ambaye alitangazwa kuteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, ndani ya wiki moja tangu kuuawa kwa baba yake, bado hajaonekana hadharani.

Ijumaa, 24 Julai 2026 saa 09:54:54
Ili kuelewa ni kwa nini wanaume na wanawake wana sauti tofauti, tunapaswa kuangalia kwanza injini kuu ya sauti: zoloto au kisanduku cha sauti na mikunjo inayosababisha sauti iliyo ndani yake.

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumatano, 29 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Jumanne, 28 Julai 2026 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Alhamisi, 30 Julai 2026 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki