__
Hatua hii inakuja siku moja baada ya chama hicho kueleza kuondolewa kwa kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani kutoka gereza la Keko, Dar eś salaam bila maelezo rasmi na haijulikani alipelekwa wapi
Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 14:35:49
Ni nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho la CAF, inayokwenda kuandika historia kwa pande zote
Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 11:15:56
Karibu 30% ya watu zaidi ya umri wa miaka 65 huanguka kila mwaka, na idadi hiyo inaongezeka hadi karibu 50% kwa watu zaidi ya umri wa miaka 80.
Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 06:33:01
Je, vita vya kibiashara vinaweza kuathiri ulimwengu wa michezo?
Jumamosi, 19 Aprili 2025 saa 04:18:04
Manchester City wanaongoza mbio za kumsajili Morgan Gibbs-White wa Nottingham Forest, huku Manchester United ikiwataka Antoine Semenyo wa Bournemouth na Tyler Dibling wa Southampton.
__
Rwanda imekubali kuruhusu wanajeshi wa jumuiya ya SADC waliokuwa wakipambana na waasi mashariki mwa DRC kuondoka kupitia ardhi yake hadi Tanzania, ripoti zasema.
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 10:16:08
Inaashiria Yesu kufufuka kutoka kwa wafu, baada ya kufa msalabani.
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 09:50:10
Madini adimu ni kundi la madini 17 yenye mfanano wa kikemikali ambazo ni muhimu sana katika utengenezaji wa bidhaa nyingi za teknolojia ya hali ya juu.
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 11:32:16
Ili kufanya kazi nchini Afrika Kusini, Starlink inahitaji kupata mtandao na leseni, ambazo zote zinapaswa umiliki wa 30% uende kwa watu weusi.
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 03:54:05
Kombora la Stinger lina urefu wa mita 1.52. Kombora lenyewe lina uzito wa kilo 10.1. Lakini kombora hilo na mfumo wake wa kulirusha kwa pamoja ya uzito wa takriban kilo 15.2.
Ijumaa, 11 Aprili 2025 saa 02:55:33
Ni idadi ndogo tu ya miji mikuu ya kifedha na kibiashara iliojivunia mandhari kubwa, kama vile Cairo, Johannesburg, Lagos na Nairobi.
Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 03:42:47
Wanasayansi wanakubali kwamba maziwa ya mama hutoa virutubisho na kingamwili kwa watoto na ni muhimu kwa ukuaji wao.
Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 09:53:50
Mamlaka ya Urusi imeteka maelfu ya makazi kutoka kwa wakaazi wa Ukraine waliotorioka mjini Mariupol, uchunguzi wa BBC Verify umegundua kuwa jiji hilo linaadhimisha miaka mitatu ya kukaliwa.
Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 13:55:00
Tangu kundi la Taliban kunyakua mamlaka mwaka 2021, wasichana wenye umri wa zaidi ya miaka 12 wamezuiwa kupata elimu, na wanawake kutoka kwenye kufanya kazi nyingi.
Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 03:57:07
Marekani ni soko kubwa kwa China, mwaka jana tu nchi hiyo iliuza bidhaa za thamani zaidi ya $400 bilioni nchini Marekani
Jumamosi, 12 Aprili 2025 saa 11:35:17
Kati ya vyama 19 vya siasa vilivyosajiliwa Tanzania, 18 vimesaini kanuni hizo, na Chadema pekee ndicho kilichosusia.
Jumapili, 13 Aprili 2025 saa 06:07:41
Shirika la Fedha Duniani IMF limetoa orodha ya mwaka 2025 ya nchi tajiri zaidi na masikini barani Afrika.
Jumatatu, 14 Aprili 2025 saa 03:44:48
Kesi inayofanana na kesi ya TunduLissu wa Tanzania, wawili kati yao walitoka jela na moja kwa moja kushinda urais
Alhamisi, 10 Aprili 2025 saa 10:12:44
Ripoti ya hivi majuzi iliofanywa na mtandao wa Marekani wa Global firepower {GFP} ilitathmini nguvu za kijeshi za nchi 145 ulimwenguni, kwa kuzingatia ukubwa wa vifaa, Idadi ya wanajeshi , uwezo wake, fedha, jiografia na rasilimali.
Ijumaa, 11 Aprili 2025 saa 04:59:41
April 10, 2025 Lissu, alifikishwa Mahakamani Jijini Dar es Salaam kwa kesi mbili zenye makosa manne, matatu ya uchochezi na moja la uhaini
Jumatano, 9 Aprili 2025 saa 09:17:49
Uchambuzi wa kina wa uchunguzi kwa kidijitali wa Titanic umefichua mapya kuhusu saa za mwisho za meli iliyokuwa hatarini.
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Ijumaa, 18 Aprili 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 17 Aprili 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatano, 16 Aprili 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumanne, 15 Aprili 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki